Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NEEC yawadhamini wajasiriamali 185 milioni 244.5 Benki ya posta

Benki ya Posta Tanzania imetoa mikopo ya jumla ya million 244,500,000.00 kwa wajasiriamali 185 kwa ajili ya kukuza shughuli zao na kuchangia ukuaji wa uchumi wa taifa. Mikopo hii imedhaminiwa na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC)  Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, Bi. Anna Dominick, amewambia waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana kuwa wajasiriamali hao 185 ni wanachama wa vicoba vinane.  “Kati yao wanawake 137 sawa na asilimia 74 na wanaume 48 sawa na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

NEEC kutoa dhamana ya mamilioni kwa Benki ya Posta

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) linatarajia kutoa shilingi milioni 700 kwa Benki ya Posta Tanzania kama dhamana ya mikopo itakayotolewa na benki hiyo kwa wajasiriamali hapa nchni.
Mpango huu uko chini ya Mfuko wa Taifa wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi ulioanzishwa mwaka 2008 ambao pamoja na majukumu mengine unatumika kutoa au kudhamini mikopo yenye masharti nafuu kwa wajasiriamali nchini.
Fedha hizo zitawekwa katika akaunti maalum katika...

 

10 years ago

Habarileo

NEEC, TIB wakubaliana kuwawezesha wajasiriamali

BARAZA la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) na Benki ya Rasilimali Tanzania (TIB), wameingia mkataba wa kuwawezesha kwa mikopo wajasiriamali vijana wanaomaliza vyuo vikuu nchini.

 

10 years ago

Habarileo

Sheria ya Benki ya Posta yapita

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu NchembaBUNGE limepitisha muswada wa sheria ya Benki ya Posta Tanzania wa mwaka 2015, inayolenga kufuta sheria iliyoanzisha benki hiyo na kuweka masharti ya mpito, kuwezesha isajiliwe kuwa kampuni, kama benki nyingine.

 

11 years ago

Mwananchi

CAG aibua madudu Benki ya Posta

Wakati Watanzania waliohitimu vyuo mbalimbali ndani na nje ya nchi wakihaha kutafuta kazi, Benki ya Posta Tanzania (TPB) imeajiri wafanyakazi 40 katika nafasi mbalimbali, huku matangazo ya nafasi hizo za kazi yakitolewa kupitia barua pepe na anuani za ndani za benki hiyo.

 

11 years ago

Michuzi

Benki ya Posta yaipiga tafu Taswa SC

Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Moses Manyata (wa kwanza kushoto)akikabidhi mfano w hundi kwa mwenyekiti wa Taswa SC, Majuto Omary (wa kwanza kulia)ikiwa sehemu ya benki hiyo kusaidia michezo nchini. Katikati ni Afisa Mawasiliano wa wa benki hiyo, Chichi Hilda Banda. Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Moses Manyata (wa kwanza kushoto)akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kuhusiana na hatua ya benki hiyo kuisaidia timu ya...

 

11 years ago

Dewji Blog

Benki ya Posta yadhamini klabu ya waandishi, TASWA SC

1

Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Moses Manyata (wa kwanza kushoto)akikabidhi  mfano wa hundi kwa mwenyekiti wa Taswa SC, Majuto Omary (wa kwanza kulia)ikiwa sehemu ya benki hiyo kusaidia michezo nchini.  Katikati ni Afisa Mawasiliano wa wa benki hiyo, Chichi Hilda Banda.

 Na Mwandishi wetu

Benki ya Posta Tanzania (TPB) imeidhamini klabu ya waandishi wa habari za michezo nchini (Taswa SC), kufuatia juhudi zake za kuhamasisha na kuendeleza michezo nchini.

Benki...

 

10 years ago

Habarileo

Benki ya Posta wakabidhi vifaa vya usafi

BENKI ya Posta imekabidhi msaada wa vifaa vya usafi vyenye thamani ya Sh milioni nne kwa uongozi wa soko kuu la samaki la Feri.

 

10 years ago

Dewji Blog

Singida wasogezewa karibu huduma ya Benki ya Posta Tanzania

DSC05754

Mwenyekiti wa Benki ya Posta nchini, Lettice Rutashobya (kulia) akimkabuidhi kadi ya benki Mwenyekiti wa mtaa wa Majengo mjini Singida, Stamili Shomari baada ya kupewa offer na benki hiyo kufungua akaunti.

Na Nathaniel Limu, Singida

BENKI nyingi nchini zimeacha utamaduni wa kuwanufaisha wateja wake kwa kuwapatia  riba nzuri, na badala yake zimejikita zaidi katika kuwakata gharama kubwa ya uendeshaji,kitendo kinachochangia Watanzania wengi kuogopa kuhifadhi fedha zao...

 

10 years ago

Vijimambo

Janet Mbene apokea madawati kutoka benki ya Posta

Naibu waziri wa Viwanda na Biashara Janet Mbene, akiwa amekaa kwenye madawati amabayo amekabidhiwa na benki ya Posta kwa ajili ya shule za ilejeNaibu Waziri wa Viwanda na Biashara Janet Mbene akimkabidhi katibu wa CCM Wilaya ya Ileje Hamida Mbogo madawati ya kwa ajili ya shule za sekondari na msingi wilayani ileje ambayo yametolewa na benki Posta Tawi la Tunduma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani