NesiWangu: CSI- Yatoa Undani wa Changamoto ya Huduma ya Afya ...
![](http://1.bp.blogspot.com/-4s2XKJsQlf0/VfbCnpPkJjI/AAAAAAAAKvc/eh3JzGWrXYw/s72-c/IMG-20150913-WA0027.jpg)
NesiWangu: CSI- Yatoa Undani wa Changamoto ya Huduma ya Afya ...: Waanzilishi wa CSI wavunja ukimya kwa mazungumzo tulivu yenye UZITO na uchochezi wa MWAMKO katika uwanja wa kuboresha huduma ya afy...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Hq53kwYruC8/VWxoib-va9I/AAAAAAAC5YA/sOY-FYMhLl8/s72-c/MOHAS%2BPIC%2B1.jpg)
Serikali yatoa changamoto kwa watafiti wa sayansi ya afya
![](http://4.bp.blogspot.com/-Hq53kwYruC8/VWxoib-va9I/AAAAAAAC5YA/sOY-FYMhLl8/s640/MOHAS%2BPIC%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ixyGQ18c5VE/VWxoio78J9I/AAAAAAAC5YI/ucaXc7qbrsM/s640/MOHAS%2BPIC%2B2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog01 Jul
NSSF yatoa huduma za afya bure Maonesho ya Sabasaba
![Mmoja wa Maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) mbele aliyekaa akitoa huduma katika Banda lao kwenye maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba. viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam wakiwahudumia wateja wao.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_0098.jpg)
Mmoja wa Maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) mbele aliyekaa akitoa huduma katika Banda lao kwenye maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba. viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam wakiwahudumia wateja wao.
Dk. Suzan Lymo toka Hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam (wa kwanza kulia) akimuhudumia mteja akipatiwa huduma za afya bure zinazotolewa na NSSF.
![Baadhi ya maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wakitoa huduma katika Banda la NSSF kwenye maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba. viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam tayari kwa kuwahudumia wateja wao.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_01042.jpg)
Baadhi ya maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wakitoa huduma...
11 years ago
MichuziNHIF yatoa huduma za upimaji afya bure wiki ya Utumishi wa Umma
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PSTz7Qbt8yU/Xm54mpl4JHI/AAAAAAALjww/rR1Mfo55lygl0fEbLkBjleTVGMiUqgKrwCLcBGAsYHQ/s72-c/03c006a1-dc07-42e4-95c9-bc205f2cd875.jpg)
Serikali yatoa wito wananchi kujiepusha na rushwa wakati huduma za afya-Dkt. Subi
Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii
SERIKALI imetoa wito kwa wananchi kuacha kutoa rushwa kwa wahudumu wa afya pindi wanapopatiwa huduma kwani kutoa kutoa huduma ni wajibu wao.
Hayo ameyasema Mkurugenzi wa Huduma za Kinga wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Leonard Subi wakati wa Uzinduzi wa Kampeni ya Wanawake Wanataka Nini inayoratibiwa na Muungano wa Utepe Mweupe wa Uzazi Salama Tanzania ikiwa ni maadhimisho ya Utepe Mweupe Tanzania ambayo hufanyika Kila Machi...
5 years ago
MichuziDOCTORS WITH AFRICA YATOA ELIMU YA CORONA KWA WATOA HUDUMA ZA AFYA NGAZI YA JAMII SHINYANGA
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dr. Yudas Ndungile akisisitiza jambo kwa washiriki wa mafunzo ya namna ya utoaji wa elimu na kukabiliana na ugonjwa wa Corona.
Na Damian Masyenene - Shinyanga Press Club Blog
JUMLA ya watoa huduma za Afya ngazi ya jamii 109 kutoka Wilaya ya Shinyanga Mkoani Shinyangawamepewa mafunzo na mbinu mbalimbali za namna ya kukabiliana na homa kali ya mapafu inayosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19).
Mafunzo hayo yametolewa kwa watoa huduma hao 53 kutoka...
5 years ago
MichuziWORLD VISION TANZANIA YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA NA KINGA KUWAKINGA NA CORONA WATOA HUDUMA ZA AFYA SHINYANGA
Shirika la World Vision Tanzania limetoa msaada wa vifaa tiba na kinga vyenye thamani ya shilingi milioni 29 kwa ajili ya kusaidia watumishi wa sekta ya afya katika mkoa wa Shinyanga kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya Corona ‘Covid 19’ wanapohudumia wagonjwa.
Vifaa hivyo vimekabidhiwa leo Ijumaa Mei 8, 2020 na Meneja wa World Vision Tanzania Kanda ya Ziwa John Massenza kwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Shinyanga.
Massenza alisema wao kama...
10 years ago
Vijimambo26 Apr
NesiWangu: HUDUMA YA MENO KWA 50% OFF INAFIKA KIKOMO.
10 years ago
Vijimambo01 Jun
NesiWangu: YAMEBAKI AMASAA MACHACHE KUPATA HUDUMA YA MENO KW...
10 years ago
Vijimambo01 Jun
VIJIMAMBO: NesiWangu: YAMEBAKI MASAA MACHACHE KUPATA HUDUMA ...