Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NEW AUDIO: SHILOLE - NAMCHUKUA

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

New Video: Shilole — Namchukua

Video mpya kutoka kwa Shilole wimbo unaitwa “Namchukua” video imeongozwa na Kevin Bosco Jnr kutoka Kenya

 

11 years ago

Bongo5

Video teaser: Shilole — Namchukua

Mwezi uliopita Shilole alienda Nairobi, Kenya kushoot video ya single yake mpya ‘Namchukua’, video ambayo imeongozwa na director Kevin Bosco Jnr. Shilole amesema video hii imemgharimu si chini ya shilingi milioni 10. Hii ni teaser ya video hiyo inayotarajiwa kutoka ‘soon’.

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

MillardAyo

Mipango ya Madee 2015 ikoje? Shilole na tattoo nyingine? Harmonize je? #255 (+Audio)

Ni January 2016 tarehe zimeanza kusomeka mdogomdogo mtu wangu na mwaka ndio umeanza kihivyo yani !! Msanii kutoka Tip Top Connection, Madee amesema mbali ya muziki wake mwaka 2016 mpango mkubwa mwingine alionao ni kuanzisha kampuni ya kukodisha magari… Yes yes, mambo yako hivyo na Madee amethibitisha kwamba mzigo unaanza time yoyote soon kuanzia sasahivi […]

The post Mipango ya Madee 2015 ikoje? Shilole na tattoo nyingine? Harmonize je? #255 (+Audio) appeared first on...

 

10 years ago

Vijimambo

Kinenuka..Audio: Shilole na Nuhu Mziwanda wameongea haya juu ya kuachana kwao walipo hojiwa


Ugomvi baina ya wapenzi waliodumu kwa takribani miaka miwili namzungumzia Shilole na Nuhu Mziwanda umeonekana kuthibitishwa kuwa sio kutafuta Kick kama ilivyo dhaniwa bali niukweli wamemwagana kama wenyewe walivyo thibitisha kwaGossip Cop wa XXL ya Clouds FM.
Shilole ameweka wazi kuwa Nuhu kwake sio mpenzi tena na ikibidi kutafuta mwingine atakaye weza kumfaa na kukaa naye maisha yakaendelea, Akimainisha kuwa walishafanya ngoma ya pamoja lakini hawezi kuitoa kwa sasa kutokana na kuachana...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mwanaume aliyezaa na Shilole Atoboa Haya Kuhusu Yeye na Shilole

Yule mwanaume aliyezaa na Staa wa Bongo Movies na Fleva,Shilole,aitwaye Elias Makala ameibuka na kuzungumza na U heard na Soudy Brown kuwa hakuwahi kumbaka msaniii huyo kama ambayo anazungumza kwenye vyombo vya habari.

‘’Mimi namshangaa sana Shilole anavyosema kuwa nilimbaka,sijawahi kumbaka nilikuwa naishi naye kama mume na mke kwa zaidi ya miaka saba, na nilimuuliza kwanini anasema uongo kuwa nilimbaka alinijibu kuwa habari hiyo inamsaidia kumpaisha (kick) kwenye muziki wake,’’alisema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani