NEW AUDIO: SHILOLE - NAMCHUKUA
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo522 Oct
New Video: Shilole — Namchukua
11 years ago
Bongo513 Sep
Video teaser: Shilole — Namchukua
10 years ago
Vijimambo
11 years ago
Michuzi04 Jul
10 years ago
Vijimambo
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Mipango ya Madee 2015 ikoje? Shilole na tattoo nyingine? Harmonize je? #255 (+Audio)
Ni January 2016 tarehe zimeanza kusomeka mdogomdogo mtu wangu na mwaka ndio umeanza kihivyo yani !! Msanii kutoka Tip Top Connection, Madee amesema mbali ya muziki wake mwaka 2016 mpango mkubwa mwingine alionao ni kuanzisha kampuni ya kukodisha magari… Yes yes, mambo yako hivyo na Madee amethibitisha kwamba mzigo unaanza time yoyote soon kuanzia sasahivi […]
The post Mipango ya Madee 2015 ikoje? Shilole na tattoo nyingine? Harmonize je? #255 (+Audio) appeared first on...
10 years ago
Vijimambo
Kinenuka..Audio: Shilole na Nuhu Mziwanda wameongea haya juu ya kuachana kwao walipo hojiwa

Ugomvi baina ya wapenzi waliodumu kwa takribani miaka miwili namzungumzia Shilole na Nuhu Mziwanda umeonekana kuthibitishwa kuwa sio kutafuta Kick kama ilivyo dhaniwa bali niukweli wamemwagana kama wenyewe walivyo thibitisha kwaGossip Cop wa XXL ya Clouds FM.
Shilole ameweka wazi kuwa Nuhu kwake sio mpenzi tena na ikibidi kutafuta mwingine atakaye weza kumfaa na kukaa naye maisha yakaendelea, Akimainisha kuwa walishafanya ngoma ya pamoja lakini hawezi kuitoa kwa sasa kutokana na kuachana...
10 years ago
Bongo Movies04 Jul
Mwanaume aliyezaa na Shilole Atoboa Haya Kuhusu Yeye na Shilole
Yule mwanaume aliyezaa na Staa wa Bongo Movies na Fleva,Shilole,aitwaye Elias Makala ameibuka na kuzungumza na U heard na Soudy Brown kuwa hakuwahi kumbaka msaniii huyo kama ambayo anazungumza kwenye vyombo vya habari.
‘’Mimi namshangaa sana Shilole anavyosema kuwa nilimbaka,sijawahi kumbaka nilikuwa naishi naye kama mume na mke kwa zaidi ya miaka saba, na nilimuuliza kwanini anasema uongo kuwa nilimbaka alinijibu kuwa habari hiyo inamsaidia kumpaisha (kick) kwenye muziki wake,’’alisema...