Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mipango ya Madee 2015 ikoje? Shilole na tattoo nyingine? Harmonize je? #255 (+Audio)

Ni January 2016 tarehe zimeanza kusomeka mdogomdogo mtu wangu na mwaka ndio umeanza kihivyo yani !! Msanii kutoka Tip Top Connection, Madee amesema mbali ya muziki wake mwaka 2016 mpango mkubwa mwingine alionao ni kuanzisha kampuni ya kukodisha magari… Yes yes, mambo yako hivyo na Madee amethibitisha kwamba mzigo unaanza time yoyote soon kuanzia sasahivi […]

The post Mipango ya Madee 2015 ikoje? Shilole na tattoo nyingine? Harmonize je? #255 (+Audio) appeared first on...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Shilole kuchora tattoo nyingine ya Nuh Mziwanda kalioni!

Hivi karibuni Zuwena Mohamed ‘Shilole’ alichora tattoo yenye jina la boyfriend wake Naftari Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ kwenye kifua chake, ikiwa ni ishara ya kuwa mapenzi yao yanazidi kushamiri. Kama vile haitoshi Shishi bado ana mpango wa kuongeza mchoro mwingine kwenye sehemu za siri. Akizungumza na Global Publishers, Staa huyo wa mduara, Shishi amesema ana mpango […]

 

9 years ago

MillardAyo

Stori za 255 zilizobeba uzito wa mwaka 2015 >> Daz Baba, B Hitz, Stereo na Cyril.. (+Audio)

Leo 255 inasimama na baadhi ya stori ambazo ziligusa vichwa vya habari kwa mwaka 2015… ilikuwepo ishu ya uzushi wa Daz Baba kuonekana ana hali mbaya na anaonekana ni mgonjwa aliyechoka… Daz Baba mwenyewe alisikika January 2015 akaonekana kusikitishwa sana na stori hizo kwa sababu yeye ni mzima na yuko poa kabisa. Director Kelvin Bosco […]

The post Stori za 255 zilizobeba uzito wa mwaka 2015 >> Daz Baba, B Hitz, Stereo na Cyril.. (+Audio) appeared first on...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Harmonize achora tattoo ya picha ya boss wake Diamond na kuandika ‘Simba’

h n d

Msanii wa label ya WCB anayekuja juu kwa sasa, Harmonize ameamua kuuthibitishia ulimwengu kuwa anajivunia kuwa mtoto wa kimuziki wa staa wa Tanzania, Diamond Platnumz kwa kuchora tattoo yenye picha yake na kuandika a.k.a ya Boss wake iliyozua utata hivi karibuni ‘Simba’.

h n d

Hiki ndicho alichokiandika Harmonize kwenye picha aliyoipost Instagram kuelezea sababu za kuchora tattoo hiyo:

Harmonize tattoo

“Katika Maisha Yangu Sikuwahi Kuwaza Kuwa Itatokea Siku Nikajichora Tatoo But Diamond Nimtu Mwenye Mchango...

 

9 years ago

Mtanzania

Shilole achekelea kufuta tattoo ya Nuh

shshiNA CHRISTOPHER MSEKENA

DIVA matata kwenye muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amesema anajisikia fahari kufuta tattoo iliyokuwa na jina la aliyekuwa mpenzi wake, Nuh Mziwanda.

Akibonga na Swaggaz, Shilole alisema kwa muda mrefu alikuwa kwenye uhusiano usio na maana, lakini sasa anafurahi kujiondoa kwa Nuh na kufanikiwa ku­futa tattoo yenye jina la zilipendwa wake huyo.

“Ni maamuzi tu, huu ni mwili wangu kwahiyo wakati nilipokuwa naye niliamua kuandika jina lake na sasa nimeondoa...

 

9 years ago

GPL

SHILOLE ATOBOA SIRI TATTOO YA NUH

Gladness Mallya
STAA wa muziki na filamu Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ametoboa siri ya kujichora tattoo yenye jina la mpenzi wake Naftari Mlawa ‘Nuh’ akisema alifanya hivyo ili kumpa imani mwanaume huyo kuwa anampenda sana. Staa wa muziki na filamu Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Akizungumza na gazeti hili juzikati, Shilole alisema siku zote mpenzi wake hakuwa akiamini kama anampenda, licha ya ukweli kwamba...

 

11 years ago

GPL

NUH MZIWANDA: NITAKWENDA KABURINI NA TATTOO YA SHILOLE

Nuhu Mziwanda akiwa na mpenzi wake Zuwena Mohamed 'Shilole'. Nuhu Mziwanda akiwa amejichora Tattoo yenye jina la mpenzi wake, Shilole ikiwa imeandikwa ‘ShiShiBaby’. Juzi, Nuhu Mziwanda alipost picha kwenye Instagram ikionesha Tattoo…

 

11 years ago

GPL

9 years ago

Bongo5

Sitochora tena tattoo ya jina la mpenzi wangu – Shilole

shilole-2

Shilole ameapa kutorudia tena kuchora tattoo yenye jina la mpenzi wake.

SHISHI-tattoo-mpya

Hivi karibuni muimbaji huyo alilazimika kuifuta tattoo ya jina la aliyekuwa mpenzi wake, Nuh Mziwanda.

Shilole amesema kujichora tattoo ya jila Nuh kumemharibia issue kibao.

“Tattoo hapa ni empty,” aliambia 255 katika kipindi cha XXL cha Clouds FM Jumatatu hii.

“SiwezI tena kuchora tattoo kwaajili ya mapenzi. Nimeamua kama tutapendana tutapenda rohoni kwa sababu nishaona hakuna sababu ya kuchora tattoo. Unaweza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani