New Music: Cjamoker f/ Mabeste – Sijaona
Ngoma mpya ya rapper Cjamoker aliomshirikisha Mabeste, ‘Sijaona.’
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo503 Mar
New Music: Cjamoker f/ Mabeste — Good Time
9 years ago
Michuzi16 Nov
10 years ago
Bongo522 Jan
New Music: Mabeste — Usiwe Bubu
10 years ago
Bongo521 Dec
Mabeste: Mabeste asimulia mke wake alivyougua kwa muda mrefu hadi kudhani atampoteza
11 years ago
Michuzi07 Apr
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WA*Dv5OWc2hB1zMx2keekWhZv*9QqvXMcr9ZywEB-czLVXfJB-eIph7ixlWGGK*CYIpD1szo2jFHoWgzugJu4IByf-5YamnZ/maya.jpg?width=650)
MAYA: SIJAONA WA KUZAA NAYE
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/JOKATE-3.jpg?width=650)
JOKATE: SIJAONA WA KUMWAMINI KIMAPENZI
9 years ago
Bongo Movies14 Sep
Jokate: Sijaona wa Kumwamini Kimapenzi
LICHA ya kuzagaa kwa tetesi juu ya uhusiano wake na msanii wa Bongo Fleva, Ali Kiba, mwanamitindo Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amesema kutokana na kuumizwa na mapenzi mara kwa mara, kwa sasa hajaona mwanaume wa kumuamini hivyo anaelekeza nguvu na akili zake kwenye kazi.
Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, Jokate alisema ni ngumu kwa watu kuamini kuwa amekuwa akiumizwa na mapenzi mara kwa mara, kutokana na muonekano wa urembo alionao, lakini ukweli unabaki kuwa, anaumizwa na...
9 years ago
Bongo Movies21 Aug
Gabo:Sijaona Muigizaji wa Kushindana Naye
Msanii wa filamu aliyejizolea umaarufu miaka ya hivi karibuni, Salim Ahmed maarufu kwa jina la Gabo amesema haoni msanii anayempa changamato.
Akizungumza kwenye kipindi cha Take One cha Clouds TV, Gabo alisema wengi wamekuwa wakimwambia anaringa kutokana na kuwaambia ukweli.
“Kwa hapa Tanzania sijui ndio maana wanasema mimi naringa,” alisema Gabo alipoulizwa ni msanii gani anayempa changamoto.
“Nyuma alikuwa Single Mtambalike, sasa hivi sijaona wa kumtazama na kunipa changamoto tuweze...