Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


New Music: Cjamoker f/ Mabeste – Sijaona

IMG-20151116-WA0004

Ngoma mpya ya rapper Cjamoker aliomshirikisha Mabeste, ‘Sijaona.’

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

New Music: Cjamoker f/ Mabeste — Good Time

Sikiliza au download ngoma mpya ya Cjamoker aliyomshirikisha Mabeste, Good Time.

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Mabeste — Usiwe Bubu

Rapper Mabeste ameachia ngoma mpya iitwayo ‘Usiwe Bubu’ anayowataka wazazi kutonyamazia masuala mbalimbali yanayotokea kwenye familia zao. Usikilize hapa.

 

10 years ago

Bongo5

Mabeste: Mabeste asimulia mke wake alivyougua kwa muda mrefu hadi kudhani atampoteza

Rapper Mabeste ameeleza kwa urefu jinsi mke wake alivyougua kwa muda mrefu mara tu baada ya kujifungua mtoto wao wa kwanza, Kendrick. Mabeste amesema mke wake ambaye pia ndio meneja wake alizidiwa hadi ikafika wakati akahisi atampoteza. Kupitia Instagram, hivi ndivyo alivyoandika: “Wabongo hawakosi cha kusema! Okay its true my fans nime wa promise sana […]

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

GPL

MAYA: SIJAONA WA KUZAA NAYE

Stori: imelda Mtema Msanii mahiri wa filamu za hapa Bongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amefunguka kuwa katika pitapita zake zote bado hajaona mwanaume ambaye anaweza kuwa naye na kumzalia mtoto kwani wote anawaona ni waluwalu. Staa wa Bongo Buvi Mayasa Mrisho, alimaarufu 'Maya'. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni Maya alisema kuwa hakuna kitu anachokitamani kama kupata mtoto lakini kila akifikiria mtu anayeweza kupata...

 

9 years ago

GPL

JOKATE: SIJAONA WA KUMWAMINI KIMAPENZI

Brighton Masalu LICHA ya kuzagaa kwa tetesi juu ya uhusiano wake na msanii wa Bongo Fleva, Ali Kiba, mwanamitindo Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amesema kutokana na kuumizwa na mapenzi mara kwa mara, kwa sasa hajaona mwanaume wa kumuamini hivyo anaelekeza nguvu na akili zake kwenye kazi.....Soma zaidi====>http://goo.gl/tNbHBG

 

9 years ago

Bongo Movies

Jokate: Sijaona wa Kumwamini Kimapenzi

LICHA ya kuzagaa kwa tetesi juu ya uhusiano wake na msanii wa Bongo Fleva, Ali Kiba, mwanamitindo Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amesema kutokana na kuumizwa na mapenzi mara kwa mara, kwa sasa hajaona mwanaume wa kumuamini hivyo anaelekeza nguvu na akili zake kwenye kazi.

Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, Jokate alisema ni ngumu kwa watu kuamini kuwa amekuwa akiumizwa na mapenzi mara kwa mara, kutokana na muonekano wa urembo alionao, lakini ukweli unabaki kuwa, anaumizwa na...

 

9 years ago

Bongo Movies

Gabo:Sijaona Muigizaji wa Kushindana Naye

Msanii wa filamu aliyejizolea umaarufu miaka ya hivi karibuni, Salim Ahmed maarufu kwa jina la Gabo amesema haoni msanii anayempa changamato.

Akizungumza kwenye kipindi cha Take One cha Clouds TV, Gabo alisema wengi wamekuwa wakimwambia anaringa kutokana na kuwaambia ukweli.

“Kwa hapa Tanzania sijui ndio maana wanasema mimi naringa,” alisema Gabo alipoulizwa ni msanii gani anayempa changamoto.

“Nyuma alikuwa Single Mtambalike, sasa hivi sijaona wa kumtazama na kunipa changamoto tuweze...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani