Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


New Music: D Knob — Njaa ya Mkwanja

Baada ya Nishike Mkono D Knob ameachia ngoma hii Mpya inaitwa “Njaa ya Mkwanja” ngoma imefanyika katika Studio za Mwana Lizombe Records

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Tanzania

Mkwanja wa Okwi watua Msimbazi

MAMBO yamenoga Mtaa wa Msimbazi baada ya juzi kupokea malipo ya kiungo wao mshambuliaji Emmanuel Okwi, aliyeuzwa kwenye klabu ya Sonderjyske FC ya Denmark.

 Simba imepokea kiasi cha Dola 110,000 sawa na shilingi milioni 220, kama mauzo ya mchezaji huyo aliyesaini mkataba wa miaka mitano kuichezea timu hiyo.

Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Kamati ya usajili Simba, Zacharia Hanspope alisema wanashukuru kuona wamepata fedha hizo ambazo hivi sasa wanaweza kumsajili...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ndende Aonyesha Jeuri ya Mkwanja

MUIGIZAJI mkongwe wa filamu Bongo Hamisi Ndende amemzawadia mkewe gari kama shukrani kukubali kuolewa naye na kumzalia mtoto wa kike Hamida, msanii huyo alimtuza gari aina ya Paso mkewe Chau Uledi, katika shereha za harusi iliyofanyika hivi karibuni.

“Mara nyingi katika ndoa zawadi hutolewa na kama kamati au wazazi lakini mimi kwa upendo wangu nimeamua kumzawadia mke wangu zawadi ya gari mimi kama mimi kama shukrani kwa mke wangu kudumisha mapenzi yetu,” Ndende.

Ndende anasema kuwa...

 

10 years ago

Raia Tanzania

‘Mkwanja’ waitia wazimu Stand United

BAADA ya kuingia mkataba wa miaka miwili na kampuni ya madini Acacia Mining, uongozi wa timu ya Stand United ya Shinyanga, umesema una fedha za kumsajili mchezaji yeyote ndani ya Afrika Mashariki na Kati.

Mkataba huo uliosainiwa juzi umeifanya timu hiyo iliyopanda daraja msimu wa 2013/014, kupokea kiasi cha bil.2.4, kutoka kampuni hiyo.

Akizungumza na Raia Tanzania jana jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa ufundi wa kikosi hicho, Muhibu Kanu alisema, wanashukuru kuona neema nzuri...

 

11 years ago

GPL

TIKO: TUSIBADILI DINI KISA MKWANJA

Stori: Mayasa Mariwata
MSANII wa flamu za Kibongo, Tiko Kulungu amewaasa wenzake kuwa waepuke tabia ya kubadili dini kwa kufuata maslahi ya kifedha. Msanii wa filamu za kibongo Tiko Hassan. Akizungumza na Bongowood pasipo kuwataja majina, Tiko alisema tabia hiyo imekithiri.
“Wasibadili tu dini kwa kufuata pesa, kama umeamua kufanya hivyo basi uwe na mapenzi ya dhati kwa mhusika,” alisema… ...

 

10 years ago

GPL

OYA MWANA, MWENYE MKWANJA HANUNIWI!

Mambo vipi masela? Inakuwa nini watu wa Saa Godi? Dah! Siyo sekreti niliwamisi kinomanoma tangu lasti wiki arifu. Nanyaka mpo biye makachaa pamoko na mizinguo ya mgomo wa masuka na kitu cha mvua.  Bila kuwesti mataimu ngoja tucheki jamvini kama yaliyomo yamo au ni bosha. Ebana wana juzikati nimegongana na kichwa changu mmoko hivi ana mawe hatare bati yupo fulu stresi.   Msela anakuteli kuwa alizoeana dizaini na shori wa...

 

10 years ago

GPL

UNATAKA WACHEZE FILAMU YAKO? ANDAA MKWANJA HUU

Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Wema Sepetu. LUCY MGINA
KILA mwanamichezo au mwanamuziki hulipwa mshahara kulingana na kiwango chake, hali hii ipo hivyo pia kwa waigizaji na watu wengine wa kawaida.
Hali hii imekuwa ikiwapa morali zaidi wale wanaofanya kazi kujituma ili wapate mshahara mkubwa zaidi au kupewa kazi ya ziada tofauti na pale ulipozoea. Staa wa filamu za Kibongo, Kajala… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Gisele Bundchen:Mwanamitindo anayevuta ‘mkwanja’ mrefu zaidi

Fani ya mitindo imekuwa haipewi kipaumbele kikubwa nchini Tanzania na ukanda wa Afrika Mashariki kwa jumla.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani