Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


New Music: Dullayo — Jitambue

Wimbo mpya kutoka kwa Dullayo unaitwa “Jitambue”

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

New Music: YP ft Dullayo — Manyamanyama

Huu ni wimbo mpya wa marehemu wa YP aliyomshirikisha Dullayo uitwao ‘Manyamanyama’, producer ni Zest wa Plexity records.

 

9 years ago

Bongo5

Video: Dullayo – Mazoea

Dullayo

Video mpya ya msanii wa bongo fleva Dullayo wimbo unaitwa “Mazoea”, Video imeongozwa na Pizzo Mtena.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dullayo asambaza ‘Makelele’

HATIMAYE mkali wa muziki wa Bongo fleva nchini, Abrahaman Kassembe ‘Dullayo’ amesambaza kazi yake mpya inayojulikana kwa jina la ‘Makelele’. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Dullayo alisema ameamua kuachia...

 

10 years ago

Habarileo

'Jitambue, pima VVU, jilinde usiambukizwe'

KAMPENI ya kuhamasisha Upimaji wa Virusi vya Ukimwi mahali pa kazi, imezinduliwa kitaifa mkoani Njombe huku baadhi ya watumishi wenye maambukizi hayo, wakilalamika kutelekezwa.

 

9 years ago

Mwananchi

JITAMBUE: Je, una malengo katika maisha?

Je, leo unapofikiria maisha yako yaliyopita unafurahi na kuridhika kuwa uliyaendesha vizuri au hauridhiki? Watu wengi husikitika hadi wakasema kama wengebahatika kupata nafasi kurudia maisha, wasingeishi kama walivyoishi sasa. Wanasema wangekuwa makini zaidi katika kupanga maisha yao ili kuyafanya yawe bora zaidi. Huenda hata wewe unafikiria hivyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dullayo ajivunia kipaji chake

MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abrahaman Kasembe ‘Dullayo’, amesema anajivunia kipaji alichonacho kwani hakiwezi kuchuja kama inavyokuwa kwa wasanii wengine. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Dullayo alisema,...

 

9 years ago

Michuzi

JITAMBUE KISHERIA UNAPOFUKUZWA KAZI KWA MAKOSA YA KINIDHAMU.

Na  Bashir  Yakub


Kisheria  yapo  mambo  mengi  ambayo  huweza  kubatilisha  mkataba  wa  ajira  kati  ya  mwajiri  na  mwajiriwa. Mkataba  wa  ajira  sawa  na  mikataba  mingine  yote huzaliwa,  huishi  na  hufa. Huzaliwa  pale  tu  unaposainiwa ,  huishi  pale  unapoanza  kutekelezwa  na  hufa   pale  yanapojitokeza  baadhi  ya  mambo  ambayo  yameainishwa  na  sheria  kama  mambo  yanayoua mkataba  wa  ajira. Aidha zipo  taratibu  maalum  za  kumaliza/kuua  mkataba  wa  ajira  na  hii ...

 

10 years ago

Mwananchi

JITAMBUE:Je unajua kuwa una haja ya kujifunza tabia mpya katika maisha yako?

Je unaweza kuandika orodha ya tabia zako zote? Kama unaweza kuziandika zitenge katika makundi mawili. Kundi moja liwe la zile ambazo zinakusaidia na zenye manufaa hata kwa watu wengine na kundi la pili ni zile ambazo hazina maana na hata zinawaudhi watu wengine. Kama utafanya zoezi hili kwa uaminifu huku ukiamini hakuna atakayeiona orodha yako kuna mambo mawili ambayo huenda ukafikiria kuyafanya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani