Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Dullayo – Mazoea

Dullayo

Video mpya ya msanii wa bongo fleva Dullayo wimbo unaitwa “Mazoea”, Video imeongozwa na Pizzo Mtena.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Dullayo asambaza ‘Makelele’

HATIMAYE mkali wa muziki wa Bongo fleva nchini, Abrahaman Kassembe ‘Dullayo’ amesambaza kazi yake mpya inayojulikana kwa jina la ‘Makelele’. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Dullayo alisema ameamua kuachia...

 

10 years ago

Bongo5

New Music: YP ft Dullayo — Manyamanyama

Huu ni wimbo mpya wa marehemu wa YP aliyomshirikisha Dullayo uitwao ‘Manyamanyama’, producer ni Zest wa Plexity records.

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Dullayo — Jitambue

Wimbo mpya kutoka kwa Dullayo unaitwa “Jitambue”

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dullayo ajivunia kipaji chake

MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abrahaman Kasembe ‘Dullayo’, amesema anajivunia kipaji alichonacho kwani hakiwezi kuchuja kama inavyokuwa kwa wasanii wengine. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Dullayo alisema,...

 

9 years ago

Mtanzania

Johari: Sitaki filamu za mazoea

JOHARINA JANETH MAPUNDA (MSPS)

NYOTA wa filamu nchini, Blandina Chagula ‘Johari’, amesema anajipanga ili akitoa filamu ziwe nzuri zitakazoendana na matakwa ya mashabiki wake.

Johari alisema ukimya wake haumaanishi kuishiwa kisanaa bali ni mbinu anayoitumia kutafakari ili akirudi awe mpya kwa mashabiki na kwenye kiwanda cha filamu kwa ujumla.

“Unajua usifanye kazi kwa mazoea ili uonekane, unatakiwa kufanya kazi zenye hadhi na zikonge nyoyo za Watanzania ndiyo maana nipo kimya kwa muda ili nikirudi...

 

10 years ago

Mtanzania

Pluijm: Sitaki mazoea Yanga

PluijmNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Hans Van der Pluijm, amesema hataki kuwa na kikosi cha mazoea, hivyo wachezaji atakaowatema wanatakiwa kujifunza na kujifua upya ili aweze kuwarudisha tena kuitumikia klabu hiyo kipindi cha dirisha dogo.
Wachezaji wazawa wanaotajwa kupitiwa na panga la kuachwa ni Jerryson Tegete, Danny Mrwanda, Husein Javu, Said Bahanuzi, Nizar Khalfan, Omega Seme, Alphonce Matogo na Hamis Thabiti.
Pia huenda ikawatema wachezaji wake wa kigeni,...

 

11 years ago

Mwananchi

Waaswa kuondokana na kilimo cha mazoea

>Wakulima wameaswa kuondokana na kilimo cha mazoea, badala yake watumie kanuni bora za kilimo ili  waweze kuongeza kiwango cha uzalishaji na kipato katika familia zao.

 

9 years ago

Habarileo

Acheni kufanyakazi kwa mazoea-Ummy

SERIKALI imewataka watumishi wa sekta ya afya nchini kutofanya kazi kwa mazoea na badala yake kufanya kazi kwa bidii na uadilifu ili kufikia malengo yaliyowekwa. Hatua hiyo inaelezwa itasaidia kurahisisha maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa wananchi kwa kutoa huduma bora na zinazofikiwa kwa wakati.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani