New Music: Fraga — Dunia Nzima
Huu ni wimbo mpya kutoka kwa Msanii na pia Producer Fraga wimbo unaitwa “Dunia Nzima”
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo523 Nov
Music: Fraga – Kitenge
![kitenge](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/kitenge-300x194.jpg)
Wimbo mpya wa msanii Fraga unaitwa “Kitenge”, Studio Uprise Music, Producer Fraga
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Bongo503 Oct
New Music: Fraga ft AT — Nitakuimbia
9 years ago
Bongo509 Oct
Music: Fraga — Kama Buzi
11 years ago
Bongo512 Aug
New Music: Fraga — Dada tina
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/kXKLP2DqrwA/default.jpg)
9 years ago
Bongo505 Nov
Music: Rachi — Team Nzima
![rachi](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/rachi-300x194.jpg)
Rachi ni mwanamziki chipkizi kutoka Dar es salaam anayefanya muziki wa bongo flava na rap. ameachia wimbo wake mpya unaitwa “Team Nzima”, Studio Cartel Studios.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
11 years ago
Dewji Blog14 May
Amnesty International: Mateso ni tatizo la dunia nzima
Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema (13.05.2014) zaidi ya nusu ya nchi zilizosaini mkataba wa Umoja wa Mataifa dhidi ya mateso miaka 30 iliyopita bado zinawatesa watu.
Zaidi ya nusu ya nchi zilizosaini mkataba wa Umoja wa Mataifa dhidi ya mateso miaka 30 iliyopita bado zinawatesa watu. Hayo yamesemwa na shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International katika ripoti yake iliyotolewa leo, likilaani kile lilichokiita kuwa ni mzozo wa kimataifa....
10 years ago
CloudsFM18 Nov
DIAMOND: MITANDAO YA KIJAMII IMESAIDIA KAZI ZANGU KUWAFIKIA MASHABIKI DUNIA NZIMA
Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platnumz mwenye ‘followers’ 489,881, kwenye twitter watu laki 131, na Instagram watu 291,643, You Tube ‘subcribers’ 76,134.
Hii inamaanisha Diamond ni msanii na Mtanzania wa kwanza mwenye wafuasi wengi kwenye mitandao ya kijamii maarufu.
Pia Diamond amefunguka jinsi mitandao ya kijamii inavyomsaidia katika kuuutangaza muziki wake na lebo yake kwa kumsogeza karibu zaidi na jamii ya watu wanaotumia mitandao hiyo dunia nzima.
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
www.TanzaniaBox.com yatangaza kurusha sehemu ya tamasha la Serengeti Fiesta mtandaoni dunia nzima
www.TanzaniaBox.com kwa kushirikiana na Clouds TV imetangaza kurusha mtandaoni moja kwa moja sehemu ya matangazo ya tamasha la Serengeti Fiesta 2014 ambalo mwaka huu litashereheshwa na mwanamuziki kutoka Marekani, T.I ambaye pia ni mshindi wa tuzo ya Grammy.
Tamasha hilo litafanyika katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam tarehe 18 mwezi wa kumi mwaka 2014
Kwa mujibu wa www.TanzaniaBox.com baadhi ya vipande vya sehemu ya tamasha la Serengeti Fiesta na matukio maalumu ya nyuma...