Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


New Music: Gosby — Noma

Wimbo mpya kutoka kwa Gosby utakuwa unapatika katika Mix tape yakempya wimbo unaitwa “Noma”

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

New Music: Gosby — Drunk In Love (Remix)

Gosby ameachia ngoma nyingi kupitia utaratibu wa kuachia ngoma mpya kila wiki kutoka kwenye mixtape yake ijayo MissTape. Awamu hii amefanya remix ya wimbo wa Beyonce na Jay Z ‘Drunk In Love’.

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Gosby f/ Meek Mill — O To 100/ The Catch Up Remix

Ngoma mpya ya Gosby kutoka kwenye mixtape yake ‘MissTape’ yenye nyimbo nyimbo takriban 15. Gosby aliiambia Bongo5 kuwa kila wiki atakuwa akitoa ngoma moja. Hii ni O To 100/ The Catch Up Remix aliyomshrikisha Meek Mill.

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Wakazi f/ Gosby & Mic Lon – Usinshike Mkono (Explicit)

Wimbo mpya kutoka kwa rapper Wakazi akiwashirikisha Gosby na Mic Lon, unaitwa ‘Usinshike Mkono’

 

10 years ago

GPL

FIESTA 2014: KAMA NOMA NA IWE NOMA!

Stori:  Waandishi Wetu Kama noma na iwe noma! Tamasha la Serengeti Fiesta 2014, wikiendi iliyopita lilifunga mitaa ya Jiji la Dar na viunga vyake ambapo burudani ya kufa mtu ilidondoshwa kwenye Viwanja vya Leaders, Kinondoni jijini Dar na kugubikwa na matukio kibao nyuma ya pazia, likiwemo la msanii kutoka Nigeria, Davido ‘kupafomu’ pamoja na serikali kumkataza, Ijumaa Wikienda lina ripoti kamili.… ...

 

11 years ago

Dewji Blog

AUDIO: New Single by Gosby Feat. Ommy Dimpoz — Naogopa

#naogopa

The single is titled ‘Naogopa’ and features Ommy Dimpoz. The track was produced by Nahreel, additional instrumentals by Erasto Machine, mixed and mastered by Marco Chali.

 

10 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee awa msanii wa pili Tanzania kuwa na akaunti ya VEVO, baada ya Gosby

Vanessa Mdee a.k.a Vee Money amekuwa mwanamuziki wa pili Tanzania kupata akaunti ya VEVO kwaajili ya kuweka video zake. VEVO ni mtandao mkubwa namba moja duniani unaohusika kuhifadhi na kurusha kazi za wanamuziki maarufu duniani kama kina Nicki Minaj, Beyonce, Jay Z na wengine. Gosby ndiye alikuwa msanii wa kwanza wa kizazi kipya kupata akaunti […]

 

9 years ago

Global Publishers

Ulevi noma

konda1Konda huyo akiwa amelewa chakali.

Mashaka Kisusi, Mwanza
CHAPOMBE! Kondakta wa daladala moja la Wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza amejikuta akiponzwa na ulevi baada ya bosi wake kuamua kumfukuza kazi mara moja, kufuatia kulewa akiwa kazini na kushindwa kufanya kazi, Risasi Jumamosi linaripoti.

Konda2Tukio hilo lilitokea mchana wa Jumatano iliyopita katika mnada wa Masasi wilayani Misungwi mkoani hapa, wakati kondakta huyo alipokuwa katika foleni ya kupakia abiria na kuamua kunywa pombe ya viroba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani