New Music: Papaa Masai Ft. Tunda Man — Sioni Ajabu
Huu ni wimbo Mpya kutoka kwa Papaa Masai akimshirikisha Tunda Man ngoma inaitwa “Sioni Ajabu” Producer Fraga Studio Uprise Music
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo502 Dec
Music: Tunda Man – Mama Kijacho
![MAMA-KIJACHO](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/MAMA-KIJACHO-300x194.jpg)
Msanii Tunda Man ameachia wimbo mpya unaitwa “Mama Kijacho”. Studio A.M Records
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo501 Sep
Music: Delilah Ft. Tunda Man — Kichuna
Wimbo mpya wa msanii Delilah amemshirikisha Tunda Man Studio Rubi Records Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
11 years ago
GPLR.O.M.A, MO MUSIC, TUNDA MAN WAANGUSHA BONGE LA SHOO COCO
Mo Music akiwa na madensa wake wakianzisha shoo.
Tunda Man akifanya yake jukwaani.…
9 years ago
Bongo527 Oct
Music: Tunda Man & Matonya – Ugomvi
Huu ni wimbo mpya unaitwa “Ugomvi” wasanii Tunda Man na Matonyo. Studio Chaiderz Records Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Bongo510 Dec
New Music: Tunda Man — Achana na Mimi / Mapenzi Yale
Baada ya kufanya vizuri na wimbo “Msambi Nugwa” Tunda Mani amachia nyimbo mbili kwa pamoja nyimbo hizo ni “Achana na Mimi” na “Mapenzi Yale” hizi ntimbo zimefanyika Studio za A M Records na nyingine Producer ni Mesen Selekta
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/xS2qkaIBQjU/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zR-FkEEcSb*wPh4RIeakRBwfHw0NLYMMiWlmwsuzFWH8tt6CI-0note2z96wPDPDCQbtWueCvaY6eWoYzrTkNV9r2Ida7bJC/tunda.jpg)
TUNDA MAN YAMKUTA MAZITO
Na Shakoor Jongo
Memba wa Kundi la Tip Top Connection, Khalid Ramadhan ’Tunda Man’ amekutwa na mauzauza baada ya kupokea simu yenye namba zinazodaiwa kuwa za ajabu na kumsababishia atokwe damu puani, mdomoni na kupooza upande mmoja. Memba wa Kundi la Tip Top Connection, Khalid Ramadhan ’Tunda Man’ akiwa katika Hospitali ya Palestina. Chanzo makini kilicho karibu na msanii huyo ambacho kilikuwa...
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Tunda Man: Ukata ni tatizo
MSANII wa muziki wa kizazi kipya kutoka Tip Top Connection, Khalid Ramadhan ‘Tunda Man’, amesema kinachomfanya ashindwe kufanya mambo makubwa kwenye muziki ni ukata wa pesa. Akizungumza jijini Dar es...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d5hxC5etmnnau2eNgjtcNFay145VK6a*ik3ULovkIo44AaP05stxJCmhfhI-VMDLfn1QfQ-ZnZHXrccG8Stsc9MPc2ZBrjaN/fghdryery.gif)
VIBAKA WAMLIZA TUNDA MAN
Issa Mnally
VIBAKA ambao hawakufahamika mara moja mwishoni mwa wiki iliyopita, walivunja kioo kidogo cha gari la nyota wa Bongo Fleva, Khalid Ramadhan ‘Tunda Man’ na kumkomba vitu mbalimbali vikiwemo power window, kompyuta mpakato na fedha katika tukio lililotokea Kigamboni, jijini Dar es Salaam. Nyota wa Bongo Fleva, Khalid Ramadhan ‘Tunda Man’. Katika usiku ambao msanii huyo ilikuwa apande na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania