Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NEW SINGLE; “Katika” by Irene Namubiru and Eppy

katika

“Katika” a song done in swahili language by the two above Ugandan artist… Its by great pleasure sharing it and asking in favor to consider this beautiful song with all you can to further its release

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

LIQUID PROMOTIONS Announces the release of Eppy’s Latest Track and Video Clip Paulina

Paulina

Paulina, performed in Swahili by Eppy, is a unique blend very of Bonga Flava and Benga.

Eppy, born in Uganda, is an award winning artist who recorded his first single in 1999 which got massive radio play and exposure. Between 1999 and 2006 Eppy successfully released music that blended reggae, dancehall, and hip-hop. This unique style landed him nominations and awards, the latest award he won being the ‘Pearl of Africa Music Awards’ in 2006.

In 2007 Eppy moved to Kenya where he has been...

 

9 years ago

MillardAyo

Hizi ndio single mbili za Matonya zilizompa mkwanja mrefu katika maisha yake ya muziki…..

Ninajua nina watu wangu ambao mtakuwa na hamu ya kufahamu stori za wasanii waliokuwa wakitamba enzi zile, sasa hapa stori ninayotaka kukusogezea ni hii kutoka kwa msanii mkongwe wa Bongo Fleva, Seif Shaban aka Matonya ambaye amefunguka kuhusiana na single mbili zilizompa mkwanja mrefu katika historia yake ya muziki. Akiongea exclusive interview na ripota wa […]

The post Hizi ndio single mbili za Matonya zilizompa mkwanja mrefu katika maisha yake ya muziki….. appeared first on...

 

11 years ago

Michuzi

TIMU YA TANZANIA MOVIE TALENTS KUWAKILISHWA NA JAJI SINGLE MTAMBALIKE KATIKA MAZISHI YA MAREHEMU ADAM PHILIP KUAMBIANA

Uongozi wa Kampuni ya Proin Promotions Limited na Timu nzima ya Kampuni ya Proin Promotions Limited ambao ni Waandaaji na waendeshaji wa Shindano la Tanzania Movie Talents tunapenda kutoa pole zetu za dhati kwa Wazazi wa Marehemu Adam P.Kuambia, Ndugu wa Marehemu , Jamaa, Marafiki kwa ujumla na Rais wa Klabu ya Bongo Movie, Ndugu Steve Nyerere kwa kuondokewa na Mmoja kati ya Wasanii Mahiri kabisa katika tasnia hii ya filamu nchini vilevile tunatoa Pole zetu kwa Wasanii wa sanaa ya Maigizo...

 

11 years ago

GPL

TIMU YA TANZANIA MOVIE TALENTS KUWAKILISHWA NA JAJI SINGLE MTAMBALIKE KATIKA MAZISHI YA MAREHEMU ADAM PHILIP KUAMBIANA‏

Uongozi wa Kampuni ya Proin Promotions Limited na Timu nzima ya Kampuni ya Proin Promotions Limited ambao ni Waandaaji na waendeshaji wa Shindano la Tanzania Movie Talents tunapenda kutoa pole zetu za dhati kwa Wazazi wa Marehemu Adam P.Kuambia, Ndugu wa Marehemu , Jamaa, Marafiki kwa ujumla na Rais wa Klabu ya Bongo Movie, Ndugu Steve Nyerere kwa kuondokewa na Mmoja kati ya Wasanii Mahiri kabisa katika tasnia hii ya filamu...

 

11 years ago

GPL

IRENE PAUL: TUMEBUMA KIMATAIFA

Stori: Imelda Mtema
MAJANGA! Mtoto mzuri Bongo Movies, Irene Paul amefunguka kuwa licha ya wasanii wa filamu kujitutumua lakini wameshindwa kuvuka mipaka ya Kimataifa. Mtoto mzuri Bongo Movies, Irene Paul Akieleza masikitiko yake, Irene alimtaja Lupita:
“Inaniuma sana kumuona Lupita Nyongo amevuka mipaka ya Kenya kikazi, sisi tunashindwaje?” alisema… ...

 

10 years ago

Mtanzania

Irene Uwoya aula viti maalum

f7d8b2e2ec0fec94d7385f158c725b9dNA BAKARI KIMWANGA, DODOMA

MSANII pekee wa Bongo Movie, Irene Uwoya, ameibuka kidedea kwenye uteuzi wa wagombea ubunge wa viti maalumu uliokamilishwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) jana.

Uwoya alipata nafasi hiyo baada ya jina la mtoto wa Meya wa Jiji la Dar es Salaam, ambaye pia ni mgombea wa CCM katika jimbo la Ubungo, Dk Didas Masaburi, Juliana Masaburi kukatwa.

Mtoto huyo wa Masaburi, alishinda kura za maoni kupitia kundi la Vijana akiwakilisha Mkoa wa Mara lakini baada ya kukatwa nafasi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani