New Video: J’odie — Right Now
Hii ni video mpya kutoka kwa Star wa Nigeria aliyefanya vizuri kwenye chati kubwa Afrika na Hits Single yake ya Kuchi Kuchi, J’odie kutoka Nigeria ametoa wimbo mpya unaitwa ‘Right Now’.
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo505 Nov
Video: J’odie — Butterflies
![Jodie wimbo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Jodie-wimbo-300x194.jpg)
J’odie kutoka Nigeria ameachia video mpya ‘butterflies’ ikiwa ni siku chache toka afunge ndoa na mume wake David Nnaji.Audio ya wimbo huu ilitoka mwezi April mwaka huu.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo504 Nov
Picha: J’odie (mwimbaji wa Kuchi Kuchi) afunga ndoa na meneja wake
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/David-Jodie-WEDDaily001-300x194.jpg)
Hit maker wa ‘Kuchi Kuchi (oh Baby), J’odie kutoka Nigeria amefunga ndoa na meneja wake David Nnaji ambaye pia ni mwigizaji wa Nollywood.
Ndoa yao ya kimila ilifungwa weekend iliyopita Oct.31, na sherehe kuhudhuriwa na watu wachache wakiwemo wana familia huko Nigeria.
J’odie ambaye jina lake halisi ni Joy Odiete alivishwa pete ya uchumba mwishoni mwa mwezi September na Nnaji, ambaye ni CEO wa label ya Dun Entertainment ambayo ndio ilisimamia album yake ya kwanza ‘African Woman’ iliyotoka...
9 years ago
Bongo528 Sep
Picha: Mwimbaji wa ‘Kuchi Kuchi’, J’odie wa Nigeria avishwa pete ya uchumba
10 years ago
Bongo507 Jan
‘Nitabaki bikra hadi nitakapoolewa’ — J’odie wa kuchi kuchi