Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


News On!: Msanii Diamond Platnumz amwanika mwanae Tiffah, NMB wasimamia shoo

ArOk5UyR2KVEDeq6aliNPmey_P9KW1TCIMW2pAklkrPY

“Huyu Ndio Binti yangu…Latiffah Binti Nasibu Abdul almaaruf kama @Princess_tiffah… Kila mmoja wetu anaweza kumfungulia mwanae NMB Junio Accont na kumuifadhia fedha kwa ajili ya masomo  na mahitaji yake ya baadae.

Furahi usalama wa fedha zako na riba ya kuvutia! Wapigie 080011223 kwa maelezo zaidi ama tembelea tawi lolote la NMB lililo karibu yako. Follow @nmbtanzania na Facebook page ya NMB Tanzania #NMBJUNIORACCOUNT” aliweka Diamond kwenye kurasa wake  kijamii wa Instagram.

Hii inafuatia...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Diamond Platnumz 'Baba mtarajiwa' aanza kukusanya midoli ya mwanae kuchezea!

Diamond Platnumz kama mwanaume yeyote yule anayetarajia kuwa baba kwa mara ya kwanza tena kupitia mwanamke ampendaye, amepania vilivyo kumkaribisha mwanae kwenye sayari ya dunia.Staa huyo ambaye hivi karibuni alikuwa nchini India, amepost picha akiwa supermarket kununua midoli kadhaa kwaajili ya mwanae huyo ajaye.“Ushamba huu, eti nimeshaanza kununua vitoy vya kuchezea,” ameandika Diamond kwenye picha hiyo.

 

10 years ago

GPL

DIAMOND PLATNUMZ ATUA NA ZARI MJINI SONGEA, APIGA SHOO KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 38 YA CCM

  Diamond Platnumz na madansa wake wakifanya vitu vyao kwenye uwanja wa Majimaji mjini Songea wakati wa sherehe za miaka 38 ya CCM leo.  …

 

10 years ago

GPL

DIAMOND PLATNUMZ, MZEE YUSUF WAAHIDI KUANGUSHA SHOO YA KUFA MTU DAR LIVE SIKUKUU YA X-MAS

Wanamuziki Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' na Mzee Yusuf (kushoto) wakipozi baada ya kufanya mahojiano na wanahabari leo. Wanamuziki hao wakionyesha mbwebwe zao mbele ya wanahabari (hawapo pichani).…

 

10 years ago

Bongo5

Diamond Platnumz ni msanii wa mwezi October, (#AoTM) wa MTV Base

Msanii wa muziki kutoka nchini Tanzania, Nasib Abdul aka Diamond Platnumz ndiye msanii wa mwezi huu wa kituo cha MTV Base. Katika kampeni hiyo iitwayo #AoTM msanii mmoja hufanyiwa kampeni ya mwezi mzima kwenye kituo hicho. Mwezi uliopita alikuwa Casper Nyovest wa Afrika Kusini. Diamond akiwa kwenye mtandao wa MTV Base Hivi karibuni MTV Base […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo yampongeza msanii Diamond Platnumz kwa kushinda tuzo ya Kimataifa

DSC_0048

Meneja wa huduma ya Tigo music, Balla Shareeph akiongea na waandishi wa habari kwenye mkutano wa kumpongeza msanii Nasibu Abdul maarufu ‘Diamond Platnumz’ kwa kupata tuzo ya msanii bora wa Afrika za MTV 2015 zilizofanyika mjini Durban, Afrika Kusini, Kampuni ya Tigo ilidhamini tukio hilo jana jijini Dar Es Salaam.

DSC_0105

Msanii Nasibu Abdul maarufu ‘Diamond Platnumz’ akiongea na waandishi wa habari kwenye mkutano wa kumpongeza kushinda tuzo ya msanii bora wa Afrika za MTV 2015 zilizofanyika mjini...

 

11 years ago

GPL

MPIGIE KURA MSANII DIAMOND PLATNUMZ KWENYE TUZO ZA MTV MAMA

KUMPIGIA KURA MSANII DIAMOND PLATNUMZ, INGIA: HAPA

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani