Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NGOMA AFRICA BAND LIVE ! in STUTTGART ,GERMANY14 March 2015 Africa Unite Party

Bendi ya maarufu Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni aka Anunaki aliens bendi hiyo inatarajiwa kutumbuiza katika onyesho maalumu la AFRICA UNITE PARTY litakalofanyika katika ukumbi wa VTS uliopo mtaa wa Augusburger Str.442 D-70327 mjini Stuttgart,nchini Ujerumani.Onyesho hilo limeandaliwana shirika la Afrikaktiv e.V wakishirikiana na shirika la Cabaret du Monde,Ngoma Africa band iliyozoeleka kwa kuwatia kiwewe washabiki wake kilakona duniani wataporomosha muziki moto moto na mdundo wao...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

NGOMA AFRICA BAND KUTUMBUIZA LIVE Katika Africa Unite Party Jumamosi 14 March 2015 MJINI STUTTGART, UJERUMANI

The Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni
Bendi hiyo inatarajiwa kutumbuiza katika onyesho maalumu la AFRICA UNITE PARTY litakalofanyika katika ukumbi wa VTS uliopo mtaa wa Augusburger Str.442 D-70327 mjini Stuttgart,nchini Ujerumani.
Onyesho hilo limeandaliwa na shirika la Afrikaktiv e.V wakishirikiana na  shirika la Cabaret du Monde,Ngoma Africa band iliyozoeleka kwa kuwatia kiwewe washabiki wake kila kona duniani wataporomosha muziki moto moto na mdundo wao maarafu kama " Extraordinary Bongo...

 

10 years ago

Vijimambo

NGOMA AFRICA BAND KUTUMBUIZA LIVE MJINI STUTTGART ,GERMANY

Bendi ya maarufu Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni aka Anunaki aliens bendi hiyo inatarajiwa kutumbuiza katika onyesho maalumu la AFRICA UNITE PARTY litakalofanyika katika ukumbi wa VTS uliopo mtaa wa Augusburger Str.442 D-70327 mjini Stuttgart,nchini Ujerumani.Onyesho hilo limeandaliwana shirika la Afrikaktiv e.V wakishirikiana na shirika la Cabaret du Monde,Ngoma Africa band iliyozoeleka kwa kuwatia kiwewe washabiki wake kilakona duniani wataporomosha muziki moto moto na mdundo wao...

 

10 years ago

Michuzi

NGOMA AFRICA BAND KUTUMBUIZA LIVE MJINI STUTTGART,GERMANY

Bendi ya maarufu barani ulaya Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni aka Anunaki aliens bendi hiyo inatarajiwa kutumbuiza katika onyesho maalumu la AFRICA UNITE PARTY litakalofanyika katika ukumbi wa VTS uliopo mtaa wa Augusburger Str.442 D-70327 mjini Stuttgart,nchini Ujerumani.Onyesho hilo limeandaliwa na shirika la Afrikaktiv e.V wakishirikiana na shirika la Cabaret du Monde, Ngoma Africa band iliyozoeleka kwa kuwatia kiwewe washabiki wake kila kona duniani wataporomosha muziki moto moto...

 

10 years ago

Michuzi

Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni walipoliweka jiji la Stuttgart chini yao



Na Paparazi wa Globu ya jamii Ughaibuni,
Bendi Maarufu ya Muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-Ughaibuni usiku wa Jumamosi ya 14 Machi 2015 walifanikiwa kufanya mavitu yao jukwaani na kuliweka jiji la Stuttgart,chini ya himaya na muziki wao,katika onyesho la Africa Unite Party.
pamoja na ulinzi ulioandaliwa lakini kikosi cha Ngoma Africa band kilikuwa "Fit on Fire",sheria za ughaibuni zinawaruhusu kutinga na viwalo ..kila nchi inautaratibu na sheria zakeKamanda Ras Makunja...

 

10 years ago

GPL

NGOMA AFRICA BAND KUKINUKISHA AUSTRIA JULAI 5, 2015

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band 'FFU' yenye makao nchini Ujerumani.…

 

10 years ago

Michuzi

SALAM ZA MWAKA MPYA 2015 KUTOKA NGOMA AFRICA BAND

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band a.k.a FFU-Ughaibuni a.k.a "watoto wa mbwa" au viumbe wa ajabu "Anunaki anunnaki aliens" yenye makao yake nchini Ujerumani, inatoa Salam za heri ya mwaka mpya 2015 kwa wadau wote popote pale mlipo,mwaka mpya 2015 uwe wa mafanikio ,Amani na Upendo kwa wote. HAPPY NEW YEAR 2015 ! HAPPY NEW YEAR 2015 !  msikose burudani kamili bofya www.ngoma-africa.com.moja ya show za Ngoma Africa band nchini Ujerumani.

 

10 years ago

Vijimambo

HERI YA MWAKA MPYA 2015 KUTOKA NGOMA AFRICA BAND

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-Ughaibuni aka "watoto wa mbwa" au viumbe wa ajabu "Anunaki anunnaki aliens" yenye makao nchini Ujerumani,inatoa Salam za heri ya mwaka mpya 2015 kwa wadau wote popote palemlipo,mwaka mpya 2015 uwe wa mafanikio ,Amani na Upendo kwa wote.HAPPY NEW YEAR 2015 ! HAPPY NEW YEAR 2015 ! msikose burudani kamili bofya www.ngoma-africa.com au http://www.ngoma-africa.com

 

9 years ago

Vijimambo

NGOMA AFRICA BAND KUVAMIA MARBELLA - SPAIN JUMAMOSI 12 SEPT 2015

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU- Ughaibuni inatategemewa kufanya onyesho maalumu katika Grande VIPsiku ya jumamosi 12 Septemba 2015,kule katika kisiwa cha mabwanyenye Marbella,kilichopo Spain. bendi hiyo imealikwa na VIP Yatch Club ya Marbella.Usikose kuungana nao at www.facebook.com/ngomaafricaband

 

10 years ago

Vijimambo

NGOMA AFRICA BAND YAFUNIKA INTERNATIONAL AFRICAN FESTIVAL TÃœBINGEN 2015

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band maaruka kama FFU-Ughaibuni au viumbe wa ajabu Anunnaki Alien's inayoongozwa na kamanda Ras Makunja,bendi hiyo yenye makao yake kule ujuerumani ,juzi iliuhakikishia ulimwengu tena kuwa mziki wao ni moto wa kuotea mbali! bendi hiyo ilifanikiwa kwa mara nyingine kuyafunika maonyesho ya kimataifa ya International African Festival-Tübingen 2015,yaliofanyika katika viwanja vya Fest Platz,jijini Tübingen,Ujerumani.
Bendi hiyo ilipanda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani