Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ngoma ya baikoko toka mkoani tanga

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

TANGA UWASA YATOA VIFAA 85 VITAKAVYOTUMIKA KWA AJILI YA USAFI MKOANI TANGA


Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Mhandisi Geofrey Hilly kulia akimkabidhi vifaa vya 85 vitakavyotumika kwa ajili ya usafi kwenye wilaya tatu zilizopo mkoani Tanga Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella kushoto ili viweze kusambazwa maeneo mbalimbali ikiwemo masokoni,hospitalini na stendi sambamba na kujenga masinki ya kunawia mikono kushoto ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Judica Omari na Meneja wa Ruwasa Mkoa wa Tanga Upendo Lugongo na wa...

 

11 years ago

CloudsFM

Audio: Ngoma mpya toka kwa Usher ft. Nick Minaj

Ingawa bado ngoma ya "Good Kisser" inaendelea kufanya poa kwenye media mbali mbali, siku ya jana (July 8) Usher amedondosha ngoma nyine mpya amabayo amemshirikisha Rapper Nick Minaj ngoma inakwenda kwa jina la She Came To Give It To You

 

10 years ago

Michuzi

salamu toka kwa FFU UGHAIBUNI THE NGOMA AFRIKA BAND

Bendi ya Muziki wa dansi Ngoma Africa Band aka FFU-ughaibu,yenye makao nchini Ujerumani ,inawatakia wadau wote popotepale MERRY X-MASS,msherehekee kwa Amani na Upendo.

 

10 years ago

Michuzi

taswira za jiji la tanga toka kwa mdau wa globu ya jamii

 Ankal pokea taswira hizi kutoka jiji la Tanga ushee na wadau. Hapa ni Tanga Yatch Club ambayo mandhari yake ni tamu kweli kama unavyojionea Mandhari ya ufukwe wa jiji la Tanga Tanga Yatch Club Bustani mwanana inayofadhiliwa na  Mkonge hotel ndiyo Kilimanjaro hotel yetu Karibu Tanga Moja ya shule kongwe na maarufu sana jijini Tanga Gereji yetu kuu.
Globu ya Jamii inamshukuru na kumpongeza sana mdau huyu kwa taswira hizi nzuri. Bahati mbaya hapendi jina lake  lijulikane. Pia tunakaribisha aina...

 

10 years ago

GPL

MAPIGANO TANGA, NGOMA BADO NZITO WALE MAGAIDI WATAJWA KUWA NI MAKOMANDO

Na Waandishi Wetu/Uwazi
YALE mapigano yaliyotikisa Mapango ya Amboni jijini Tanga kwa saa 48 kati ya watu wanaodaiwa na wananchi kuwa ni magaidi na majeshi ya ulinzi ya Tanzania bado ngoma nzito kufuatia baadhi ya wananchi kusema mengine mapya wanayoyajua kuhusu magaidi hao, Uwazi limechimba na kuchimbua. Polisi wakipambana na magaidi hao. Kwa mujibu wa baadhi ya wakazi wa Vijiji vya Mafuriko, Mikocheni, Majimoto, Kilomoni na...

 

11 years ago

Michuzi

BAIKOKO, FFU UGHAIBUNI NA RAS JHIKO MAN KUMWAGA LAZI UJERUMANI

Wasanii kutoka Tanzania wanatarajiwa kupamba maonesho makubwa mbalimbali nchini Ujerumani katika msimu wa joto. Waliopata nafasi hiyo ni pamoja na kikundi maarufu cha ngoma ya Baikoko kutoka mkoani Tanga (picha ya juu).   Wengine ni mwanamuziki nguli wa reggae, Jhikoman & Afrikabisa band kutoka Bagamoyo, Pwani (picha ya chini) ambaye amealikwa rasmi na Afrikative Organization kushiriki onyesho kubwa la International Africa Festival Tubingen 2014 yanayoanza 17 mpaka 20 julai 2014 huko...

 

10 years ago

Mtanzania

Mapya yaibuka mkoani Tanga

Na Amina Omari, TANGA
JESHI la Polisi nchini limesema katika msako unaoendelea katika mapango ya Mleni mkoani hapa, ambayo watu wanaodaiwa kuhusika katika matukio ya uporaji silaha walikuwa wamejificha, wamefanikiwa kukuta ngedere watatu wakiwa wamekufa huku wakiwa na majeraha.
Pamoja na hilo pia jeshi hilo limefanikiwa kumtia mbaroni mtuhumiwa mmoja ambaye wamemkuta na bunduki aina ya SMG ambayo ni mali ya jeshi hilo pamoja na risasi 20.
Akizungumza na waandishi wa habari jana mjini hapa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani