ngoma ya baikoko toka mkoani tanga
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziTANGA UWASA YATOA VIFAA 85 VITAKAVYOTUMIKA KWA AJILI YA USAFI MKOANI TANGA
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Mhandisi Geofrey Hilly kulia akimkabidhi vifaa vya 85 vitakavyotumika kwa ajili ya usafi kwenye wilaya tatu zilizopo mkoani Tanga Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella kushoto ili viweze kusambazwa maeneo mbalimbali ikiwemo masokoni,hospitalini na stendi sambamba na kujenga masinki ya kunawia mikono kushoto ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Judica Omari na Meneja wa Ruwasa Mkoa wa Tanga Upendo Lugongo na wa...
11 years ago
CloudsFM09 Jul
Audio: Ngoma mpya toka kwa Usher ft. Nick Minaj

Ingawa bado ngoma ya "Good Kisser" inaendelea kufanya poa kwenye media mbali mbali, siku ya jana (July 8) Usher amedondosha ngoma nyine mpya amabayo amemshirikisha Rapper Nick Minaj ngoma inakwenda kwa jina la She Came To Give It To You
10 years ago
Michuzi25 Dec
salamu toka kwa FFU UGHAIBUNI THE NGOMA AFRIKA BAND

10 years ago
Michuzi30 Aug
10 years ago
Michuzi.jpg)
taswira za jiji la tanga toka kwa mdau wa globu ya jamii
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
Globu ya Jamii inamshukuru na kumpongeza sana mdau huyu kwa taswira hizi nzuri. Bahati mbaya hapendi jina lake lijulikane. Pia tunakaribisha aina...
10 years ago
GPL
MAPIGANO TANGA, NGOMA BADO NZITO WALE MAGAIDI WATAJWA KUWA NI MAKOMANDO
11 years ago
Michuzi
BAIKOKO, FFU UGHAIBUNI NA RAS JHIKO MAN KUMWAGA LAZI UJERUMANI
10 years ago
Mtanzania18 Feb
Mapya yaibuka mkoani Tanga
Na Amina Omari, TANGA
JESHI la Polisi nchini limesema katika msako unaoendelea katika mapango ya Mleni mkoani hapa, ambayo watu wanaodaiwa kuhusika katika matukio ya uporaji silaha walikuwa wamejificha, wamefanikiwa kukuta ngedere watatu wakiwa wamekufa huku wakiwa na majeraha.
Pamoja na hilo pia jeshi hilo limefanikiwa kumtia mbaroni mtuhumiwa mmoja ambaye wamemkuta na bunduki aina ya SMG ambayo ni mali ya jeshi hilo pamoja na risasi 20.
Akizungumza na waandishi wa habari jana mjini hapa...