Ngorongoro wapiga jeki tuzo za wanamichezo
MAMLAKA ya Hifadhi ya Ngorongoro ( NCAA), imetoa Sh 10, 486,000 kwa ajili ya kudhamini tuzo za Wanamichezo Bora waliofanya vizuri zaidi katika miaka 10 ya uongozi wa Rais Jakaya Kikwete katika hafla itakayofanyia Oktoba 8.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Mmw-kcctJ0c/Vfx4CXtHS3I/AAAAAAAH59Y/0-BDG4IVP1M/s72-c/download%2B%25282%2529.jpg)
MAMLAKA ya Hifadhi ya Ngorongoro yaipiga jeki taswa katika tuzo za Wanamichezo Bora
![](http://2.bp.blogspot.com/-Mmw-kcctJ0c/Vfx4CXtHS3I/AAAAAAAH59Y/0-BDG4IVP1M/s400/download%2B%25282%2529.jpg)
Tuzo hizo zinazoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA zinatarajiwa kufanyika Oktoba 8, mwaka huu ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam, ambapo pia TASWA itatoa Tuzo ya Heshima kwa Rais Kikwete ikiwa ni kuthamini mchango wake kwa sekta ya michezo katika uongozi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cLmxRny4Kcw/VH_2K8J0w1I/AAAAAAAG1Fo/o9PL5mg8qfw/s72-c/TASWALOGO.jpg)
KAMATI YA KUSIMAMIA TUZO ZA TASWA YATOA ORODHA YA WANAMICHEZO WANAOWANIA TUZO HIZO
![](http://2.bp.blogspot.com/-cLmxRny4Kcw/VH_2K8J0w1I/AAAAAAAG1Fo/o9PL5mg8qfw/s1600/TASWALOGO.jpg)
Usiku wa Tuzo utafanyika Desemba 12 mwaka huu ukumbi wa Diamond, Jubilee (VIP), Dar es Salaam, ambapo wanamichezo mbalimbali waliofanya vizuri kati ya Juni 2013 hadi Juni 2014 watakabidhiwa tuzo zao.
Ni imani yetu kwamba zaidi ya wanamichezo 40 watakabidhiwa tuzo zao siku...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MBjxXEXvjl0/VTiHb2YGa4I/AAAAAAAC3hQ/qDDHXN2ufuc/s72-c/Exim%2BPix%2B1.jpg)
Benki ya Exim yapiga jeki mbio za marathon Ngorongoro
![](http://3.bp.blogspot.com/-MBjxXEXvjl0/VTiHb2YGa4I/AAAAAAAC3hQ/qDDHXN2ufuc/s1600/Exim%2BPix%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-k3YMfVYSBa4/VTiHhjbjobI/AAAAAAAC3hY/mUovDxR81o8/s1600/Exim%2BPix%2B2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pRVxDxDVazs/XtjLiF5mUOI/AAAAAAALsls/WYMK7V0rwts085kaEwAwRCmIalriQlCmQCLcBGAsYHQ/s72-c/20200331_152936.jpg)
UMEMEJUA WAPIGA JEKI ELIMU SHULE YA SEKONDARI MORETO
Shule nyingi za Sekondari hususani za vijijini zimekuwa zikikabiliwa na ukosefu wa nishati ya kuendesha maabara na mwanga wa kujisomea kwa wanafunzi waishio katika mazingira ya shule (bweni).
Uhaba huo umesababisha maeneo hayo kutofanya vyema kimasomo kuliko wale wenye nishati hiyo.
Shule zinazojiweza zimeweka umemejua wakati baadhi ya zile zisizokuwa na uwezo huo hasa za umma zimekuwa zikifadhiliwa na wahisani mbalimbali kama ilivyo shule ya sekondari Moreto. Shule hii ya...
10 years ago
Habarileo28 Aug
Mbunge Moshi Vijijini awapiga jeki wapiga kura
MBUNGE wa Jimbo la Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro Dk Cyril Chami, ametoa jumla ya Shilingi milioni nne kwa kikundi cha Wanawake wa Kanisa la Katoliki la Kindi (WAWATA) kuwawezesha kwenye mradi wa mashine za kusaga na kukoboa mahindi.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nGTcCv7erQJxCeZQUHeath3-7miOSM5zvjq*R7XVotZ*2btP86Kco371JCqLFhtWMdxX0RvpP-t3rS5Iajdr4uQ*x8ZTOPAJ/TASWALOGO.jpg)
MABORESHO TUZO ZA WANAMICHEZO BORA TANZANIA
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
IPTL yaimwagia TASWA milioni 20 kuandaa tuzo za wanamichezo
Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), Harbinder Sigh Seth (kushoto) akikabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi Milioni 20 kwa Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), Juma Pinto (wapili kulia) ikiwa ni mchango wa IPTL kusaidia maandalizi ya Tuzo za wanamichezo bora nchini. Wanaoshuhudia kutoka kushoto ni ni Makamu Mweyekiti wa TASWA, Egbert Mkoko, Katibu Mkuu, Amir Mhando na Mwanasheria na...