NHC: Urasimu unachelewesha miradi ya nyumba
MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Nyumba nchini (NHC), Nehemia Mchechu ameomba halmashauri nchini kuondoa urasimu katika utoaji ardhi kuepusha unachelewesha wa mradi wa ujenzi wa nyumba za bei nafuu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
NHC yawaalika wawekezaji ujenzi miradi wa nyumba
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) limewaalika wawekezaji watakaoshirikiana nao katika ujenzi wa miradi ya nyumba inayofanyika nchini. Mkurugenzi wa Shirika hilo, Nehemiah Mchechu, alitangaza hayo jijini Dar es Salaam...
11 years ago
Michuzi07 Jul
RAIS DR. JAKAYA KIKWETE AFURAHISHWA NA MIRADI YA SHIRIKA LA NYUMBA (NHC)
![1w](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/1w1.jpg)
10 years ago
Dewji Blog07 May
Bodi ya NHC yatembelea na kukagua miradi ya ujenzi wa nyumba jijini Arusha
![](http://4.bp.blogspot.com/-6lro-IwdEGc/VUsmtQhKHsI/AAAAAAAAAZQ/omqzeXLpG5Q/s640/New%2BPicture%2B(1).png)
Ujumbe wa wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya NHC ukiwa eneo linalomilikiwa na NHC ambalo ujenzi wa Mji wa kisasa umeanza wakionyeshwa na Meneja wa NHC Mkoa wa Arusha Bw. James Kisarika chemchemu za maji yanayotiririka walipotembelea eneo hilo lenye hali ya hewa ya aina yake Jijini Arusha jana.
![](http://4.bp.blogspot.com/-zu4PmAkejKc/VUsmm0Ad9jI/AAAAAAAAAZI/knjxNUWielc/s640/New%2BPicture%2B(2).png)
Usa River ni Arusha Tanzania ambapo NHC Shirika lenye dhamana ya kujenga nyumba bora hapa nchini limeanza kupanga mji huo wenye mandhari na hali ya hewa ya kuvutia. Hapa wajumbe wa Bodi ya NHC na...
11 years ago
Michuzi12 Jul
JOPO LA WAHARIRI LATEMBELEA MIRADI YA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU WA NHC MTANDA, LINDI NA SHANGANI MTWARA
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/214.jpg?width=650)
JOPO LA WAHARIRI LATEMBELEA MIRADI YA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU WA NHC MTANDA, LINDI NA SHANGANI MTWARA
10 years ago
Dewji Blog04 May
Kasi ya Utekelezaji miradi ya NHC Mtwara yamhamasisha Mkurugenzi wa Bodi ya NHC
Mkurugenzi wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Subira Mchumo akielekeza jambo wakati wa ziara yake aliyoifanya kwenye mradi wa nyumba za gharama nafuu Masasi, mkoani Mtwara ambapo pamoja na mambo mengine amesifu kasi ya ujezi wa nyumba hizo unaozingatia viwango na muda na akawataka wafanyakazi wa NHC kuchapa kazi ili kufikia malengo yao waliyojiwekea. Kulia ni Mkurugenzi wa Fedha wa NHC, Felix Maagi, wa pili ni Eliaisa Keenja wa NHC, Meneja wa NHC mkoa wa Mtwara, Joseph John na Injinia...
10 years ago
Mwananchi08 Oct
DC akemea urasimu miradi ya jamii
9 years ago
VijimamboNHC YAZIDI KUPANUA MIRADI, PINDA AZINDUA JENGO LINGINE LA MAKAZI NHC PALACE ENEO LA VICTORIA JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
MichuziNHC YAZINDUA UUZAJI WA NYUMBA ZA BIASHARA NA MAKAZI ZA MOROCCO SQUARE,WAZIRI KIRUKI AIPONGEZA NHC KWA UFANISI
Waziri Kairuki aliyasema hayo juzi jijini Dar es Salaam alipokuwa akizindua mauzo ya nyumba za biashara na makazi zilizojengwa eneo la Morocco Square, Kinondoni, jijini Dar es Salaam.
Aliwapongeza Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu na wenzake kwa kazi nzuri...