NHC wakanusha mgogoro wa Bodi na mtendaji Mchechu
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) limekanusha madai kwamba Bodi yake mpya ya Wakurugenzi ipo kwenye mgogoro na Mkurugenzi wa shirika hilo, Nehemia Mchechu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi28 Jul
MHE. OMAR MJENGA AFANYA KIKAO NA MKURUGENZI MKUU NHC BWN. NEHEMIAH MCHECHU NA MKURUGENZI MTENDAJI WA KAMPUNI YA UJENZI YA DAMAC, BWN.SONIL VOHOR
![](https://1.bp.blogspot.com/-OCYa-tI_spU/U9VQVqSeuPI/AAAAAAACzwg/E2bIXHalb1Q/s1600/20140727_190328.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Mchechu akingiwa kifua NHC
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC), limesema bado Mkurugenzi wake, Nehemia Mchechu na menejimenti yake wana mikataba halali ambayo haijamalizika muda wake kama inavyodaiwa na mitandao mbalimbali ya kijamii. Kauli...
10 years ago
Dewji Blog04 May
Kasi ya Utekelezaji miradi ya NHC Mtwara yamhamasisha Mkurugenzi wa Bodi ya NHC
Mkurugenzi wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Subira Mchumo akielekeza jambo wakati wa ziara yake aliyoifanya kwenye mradi wa nyumba za gharama nafuu Masasi, mkoani Mtwara ambapo pamoja na mambo mengine amesifu kasi ya ujezi wa nyumba hizo unaozingatia viwango na muda na akawataka wafanyakazi wa NHC kuchapa kazi ili kufikia malengo yao waliyojiwekea. Kulia ni Mkurugenzi wa Fedha wa NHC, Felix Maagi, wa pili ni Eliaisa Keenja wa NHC, Meneja wa NHC mkoa wa Mtwara, Joseph John na Injinia...
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Mchechu aongoza wafanyakazi wake kufanya usafi katika majengo ya NHC
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akiongoza kwa vitendo zoezi la kufanya usafi katika majengo ya NHC na maeneo yanayozunguka barabara za Ali Hassan Mwinyi, Alikhan, Barak Obama na Magore UPANGA jijini Dar es Salaam leo. Menejimenti ya NHC imeamua kuwa kufanya usafi kwenye majengo ya Shirika ili kuonyesha kwa vitendo utekelezaji wa agizo la Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli wa kuitumia Sikukuu ya Uhuru na Jamhuri...
10 years ago
Dewji Blog31 Jan
Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Mchechu atembelea miradi Geita na Mwanza
Msimamizi wa mradi wa nyumba za gharama nafuu zilizojengwa na NHC Bombambili Geita Bw, Julius Ntoga (kulia) akitoa maelezo ya mradi huo kwa ujumbe wa Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Mchechu alipotembelea mradi huo jana. Mradi huo wenye nyumba 48 ni wa nyumba za kuuza na unakamilika Februari mwaka huu.
Ujumbe wa Mkurugenzi Mkuu wa NHC ukitembelea nyumba za gharama nafuu zilizojengwa eneo la Bombambili, Geita kwa ajili ya kuuzia wananchi.
Sehemu ya nyumba za gharama nafuu zilizojengwa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-t7fzP48jN30/U6fqRE4ZKpI/AAAAAAAFsZE/otg-vI1Wt9E/s72-c/Screen+Shot+2014-06-23+at+11.45.38+AM.png)
NDG. Nehemia Mchechu nyie mwenyekiti mpya wa Bodi ya SBL
Ndugu Nehemia Mchechu kwa sasa ni Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Nyumba la Taifa( NHC) . Bw. Mchechu anauzoefu mkubwa katika masuala ya fedha na usimamizi....
10 years ago
Michuzi28 Jan
Ziara ya Mkurugenzi mtendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa NHC mikoani
![New Picture (4)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/New-Picture-4.png)
![New Picture (5)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/New-Picture-5.png)
![New Picture (6)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/New-Picture-6.png)
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/New-Picture-4.png)
ZIARA YA MKURUGENZI MTENDAJI WA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA NHC MIKOANI
11 years ago
Michuzi17 Jun
Ziara ya NHC na wakurugenzi wa Bodi Singapore
![IMG_8978](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/06/IMG_8978.jpg)
![IMG_9018](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/06/IMG_9018.jpg)
![IMG_9034](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/06/IMG_9034.jpg)