Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ziara ya NHC na wakurugenzi wa Bodi Singapore

IMG_8978 Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya makazi Mh. George Simbachawene akiwa na wajumbe wa Bodi ya NHC na Watendaji wa NHC walipotembelea mji wa Bunggol wenye nyumba za wananchi (social housing estates) nchini Singapore kama sehemu ya ziara ya mafunzo.(Picha na Muungano Saguya-NHC) IMG_9018 Ujumbe wa Tanzania ukielezwa namna mji wa Singapore ulivyopangwa kulingana na matumizi mbalimbali ulipotembelea Mamlaka ya Uendelezaji Miji ya Singapore(URA) jana. IMG_9034 Ujumbe wa Naibu Waziri wa Ardhi,...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

UTEUZI WA MWENYEKITI NA WAJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI YA BODI YA KOROSHO TANZANIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, kwa mamlaka aliyopewa chini  ya kifungu cha 4(1) cha Sheria ya Korosho ya mwaka 2009  (Sura ya 203 ya Sheria za Tanzania), amemteua Mhe. Anna  Margareth Abdallah (MB) kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Bodi ya Korosho. 
Aidha, Mhe. Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika amewateua wafuatao kuwa wajumbe wa Bodi hiyo ya Wakurugenzi kwa mujibu wa kifungu  cha 4(1) cha Sheria ya Korosho ya mwaka 2009  (Sura ya 203 ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kasi ya Utekelezaji miradi ya NHC Mtwara yamhamasisha Mkurugenzi wa Bodi ya NHC

Mkurugenzi wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Subira Mchumo akielekeza jambo wakati wa ziara yake aliyoifanya kwenye mradi wa nyumba za gharama nafuu Masasi, mkoani Mtwara ambapo pamoja na mambo mengine amesifu kasi ya ujezi wa nyumba hizo unaozingatia viwango na muda na akawataka wafanyakazi wa NHC kuchapa kazi ili kufikia malengo yao waliyojiwekea. Kulia ni Mkurugenzi wa Fedha wa NHC, Felix Maagi, wa pili ni Eliaisa Keenja wa NHC, Meneja wa NHC mkoa wa Mtwara, Joseph John na Injinia...

 

10 years ago

Habarileo

Mradi wa gesi ‘waikuna’ Bodi Wakurugenzi TPDC

BODI ya Wakurugenzi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), imeridhishwa na maendeleo ya mradi wa ujenzi wa miundombinu ya gesi asilia ambayo imekamilika kwa asilimia 95.

 

10 years ago

Michuzi

Dk. Hussein ateuliwa kuwa mwenyekiti wa muda wa Bodi ya Wakurugenzi ya NBC

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imemteua Dk Kassim Hussein kuwa mwenyekiti wa muda wa bodi ya wakurugenzi.
Hatua hiyo imetokana na kuteuliwa kwa aliyekuwa mwenyekiti wa bodi ya benki hiyo, Profesa Mussa Assad, kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania . 
Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari iliyotolewa jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Muda wa NBC, Bwana Pius Tibazarwa alisema Dk Hussein atashika wadhifa wa uenyekiti wa...

 

10 years ago

Michuzi

Balozi Juma Mwapachu awa Mwenyekiti Bodi ya Wakurugenzi Airtel Tanzania

Balozi Juma Volter MwapachuKAMPUNI tanzu ya Bharti Airtel inayoongoza katika utoaji wa huduma za simu za mkononi ikifanyakazi katika nchi 20 Asia na Afrika, leo imemteua Balozi Juma Volter Mwapachu kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Airtel Tanzania.
Balozi Mwapachu ni Katibu Mkuu aliyepita wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, nafasi aliyoishika kati ya Aprili 2006 na Aprili 2011. Kabla ya uteuzi huu, Mwapachu alikuwa Balozi Mwakilishi Ufaransa na UNESCO.
Mwapachu ni mhitimu wa shahada ya...

 

5 years ago

Michuzi

ALIYEKUWA MWENYEKITI BODI YA WAKURUGENZI REA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA SERENGETI


Na Mwandishi Wetu, MpandaWAKATI Joto la uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika mwezi Oktoba Mwaka huu likizidi kupambana moto  hapa nchini,aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya wakala wa umeme vijijini(REA)Michael Nyagoga pichani ametangaza rasmi kugombea ubunge jimbo la Serengeti mkoani Mara.
Nyagoga ambaye  amewahi kuwa mjumbe wa bodi ya wakurugenzi wa taasisi mbalimbali hapa Nchini, ametangaza nia  ya kugombea nafasi hiyo jana kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi jana mjini...

 

11 years ago

Michuzi

BODI YA WAKURUGENZI MUWSA WATEMBELEA VYANZO VYA MAJI HIMO NA MOSHI

Wajumbe wa bodi wakiongozwa na mwenyekiti wao Shally Raymond (shoto)wakushuka vilima na kuluka vijito hatimaye wakafika mto Ghona katika mji mdogo wa Himo ambako kuna chemichemi ya maji inayotumika kwa ajili ya wakazi wa eneo hilo la himo. Wajumbe wa Bodi waiangalia Chemichemi hiyo huku wakipata maelezo toka kwa mkurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,Mhandisi Cyprian Luhemeja. Makamu mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya mamlaka ya maji safi na usafi wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Bodi ya ya Wakurugenzi wa DAWASA yatembelea eneo la mradi wa ujenzi wa Bwawa la Maji Kidunda

Modesta Mushi

Meneja Usimamizi, Uendeshaji na Mazingira toka Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) Bi.Modesta Mushi akiwaonesha wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) ramani ya maeneo yatakayoguswa na Ujenzi wa Mradi wa Bwawa la Kidunda lenye ujazo wa Mita milioni 190, wakati wa Ziara ya Bodi hiyo katika eneo la Mradi Mkoani Morogoro.

Mhandishi John Kirecha

Mkuu wa Msafara wa Timu ya Ulipaji fidia kwa Wakazi walio katika Eneo la Mradi Mhandisi John Kirecha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani