NHC yaweka rekodi ujenzi wa nyumba
Shirika la nyumba (NHC) limeweka historia kwa kujenga nyumba zaidi ya nusu ya zilizojengwa kwa miaka 50 iliyopita ndani ya kipindi cha miaka mitano tu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-J1KuMNZ4gd8/U5dwf2_IUWI/AAAAAAAFpo0/wfMo_dYntrM/s72-c/unnamed+(57).jpg)
Shirika la Nyumba NHC leo limesaini mkataba wa ujenzi wa nyumba 5,000 na Halmashauri ya Wilaya Mpya ya Busokelo
11 years ago
Mwananchi01 Feb
NHC waibuka na ujenzi nyumba maalumu
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
NHC yawaalika wawekezaji ujenzi miradi wa nyumba
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) limewaalika wawekezaji watakaoshirikiana nao katika ujenzi wa miradi ya nyumba inayofanyika nchini. Mkurugenzi wa Shirika hilo, Nehemiah Mchechu, alitangaza hayo jijini Dar es Salaam...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-_13LfiA0Em0/VhKyIJznpZI/AAAAAAAAaao/-z6TM6l8jtI/s72-c/IMGS5660.jpg)
PINDA AKAGUA UJENZI WA NYUMBA ZA NHC KATAVI
![](http://3.bp.blogspot.com/-_13LfiA0Em0/VhKyIJznpZI/AAAAAAAAaao/-z6TM6l8jtI/s640/IMGS5660.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vkkyTT8UhwM/VhKyJJ0MxcI/AAAAAAAAaas/NEKqFky46Ak/s640/IMGS5445.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--2eU1GRxqlk/VhKyK_F1qRI/AAAAAAAAaa4/neXOGEYIxfw/s640/IMGS5512.jpg)
10 years ago
Dewji Blog07 May
Bodi ya NHC yatembelea na kukagua miradi ya ujenzi wa nyumba jijini Arusha
![](http://4.bp.blogspot.com/-6lro-IwdEGc/VUsmtQhKHsI/AAAAAAAAAZQ/omqzeXLpG5Q/s640/New%2BPicture%2B(1).png)
Ujumbe wa wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya NHC ukiwa eneo linalomilikiwa na NHC ambalo ujenzi wa Mji wa kisasa umeanza wakionyeshwa na Meneja wa NHC Mkoa wa Arusha Bw. James Kisarika chemchemu za maji yanayotiririka walipotembelea eneo hilo lenye hali ya hewa ya aina yake Jijini Arusha jana.
![](http://4.bp.blogspot.com/-zu4PmAkejKc/VUsmm0Ad9jI/AAAAAAAAAZI/knjxNUWielc/s640/New%2BPicture%2B(2).png)
Usa River ni Arusha Tanzania ambapo NHC Shirika lenye dhamana ya kujenga nyumba bora hapa nchini limeanza kupanga mji huo wenye mandhari na hali ya hewa ya kuvutia. Hapa wajumbe wa Bodi ya NHC na...
10 years ago
Dewji Blog17 Aug
Pinda akagua ujenzi wa daraja la Kigamboni na mradi wa nyumba za mashirika ya NSSF na NHC
Waziri Mkuu, Mizewngo Pinda akikagua ujenzi wa daraja la kigamboni jijini Dar es salaam August 16, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua ujenzi wa nyumba unaofanywa na Shirika la NSSF katika eno la Kigamboni jijini Dar es salaam August 16, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
10 years ago
Dewji Blog17 Oct
NHC yaelezea namna ilivyosaidia vijana kupitia mradi wa ufyatuaji wa matofali na ujenzi wa nyumba za gharama nafuu
Meneja wa Mkoa wa Tabora Bw. Erasto Chilambo, akimpa maelezo ya ujenzi wa nyumba za gharama nafuu Mkuu wa Mawasiliano na Huduma kwa Jamii Bi Susan Omari alipotembelea mradi huo ulioko eneo la Isikizya Wilayani Uyui jana. (Picha kwa hisani ya Kitengo cha Mawasiliano ya Umma na Huduma kwa Jamii cha Shirika la Nyumba la Taifa).
Mwonekanao wa nyumba za gharama nafuu zilizojengwa na NHC eneo la Isikizya Mkoani Tabora.
Meneja wa Mkoa wa Tabora Bw. Erasto Chilambo akiendelea kutoa maelezo ya...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-32kmGJ9oX54/U05tHkor3yI/AAAAAAAFbRo/clIZ83hj3K4/s72-c/18.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AZINDUA MRADI WA UJENZI WA NYUMBA 60 ZA NHC WILAYANI MLELE MKOANI KATAVI LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-32kmGJ9oX54/U05tHkor3yI/AAAAAAAFbRo/clIZ83hj3K4/s1600/18.jpg)
======== ====== =====
KATIBU Mkuu wa CCM amelipongeza Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kwa kasi ya ujenzi miradi ya nyumba za makazi na biashara kwenye miji mbalimbali hasa makao makuu ya wilaya mpya.
Kinana aliyasema hayo katika mji wa Inyonga...
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Hispania yaweka rekodi mpya