Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni bajeti ya kutununulia mswaki, lakini tunang’olewa meno

NIMEKUWA nikijiuliza hivi ni lini Watanzania tutawawajibisha viongozi wetu ili waondokane na kuiga (Copy & Paste) bajeti ya kufikirika kwa kuongeza msururu, tarakimu au nadharia ya namba kiasi cha kuitwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

Kijana ang'olewa meno 232

Madaktari nchini India wametumia saa 7 kufanikisha upasuaji wa kinywa cha kijana Ashik Gavai mwenye umri wa miaka 17 aliyekuwa akipata maumivu ndani ya kinywani .

Dr Sunanda Dhiware, mkuu wa Kitengo cha tiba ya meno katika hospitali ya JJ mjini Mumbai ameiambia BBC kuwa wamefanikiwa kuyang’oa meno 232 kinywani mwa Ashik aliyeletwa hospitalini hapo akiwa amevimba taya huku akilalamika kwa maumivu makali.
Madaktari wamesema wamelazimika kutumia nyundo na tindo kuyatoa meno hayo na wakadai...

 

11 years ago

BBCSwahili

Maajabu:Kijana ang'olewa meno 232

Madaktari India watumia saa 7 kufanikisha upasuaji wa kinywa cha kijana Ashik Gavai meno 232

 

11 years ago

Habarileo

'Inatia uchungu kuona tembo anang'olewa meno'

WAFANYAKAZI watatu waliostaafu kazi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) wamewasihi wafanyakazi wa shirika hilo kufanya kazi kwa bidii ikiwemo kufichua mitandao ya ujangili wa wanyama unaofanywa na baadhi ya majangili.

 

11 years ago

GPL

KIJANA ANG'OLEWA MENO 232 NCHINI INDIA

Madaktari wakikagua meno aliyong'olewa kijana Ashik Gavai (17). MADAKTARI nchini India wametumia saa saba kufanikisha upasuaji wa kinywa cha kijana Ashik Gavai (17) aliyekuwa akipata maumivu ndani ya kichwa. Meno aliyong'olewa kijana Ashik Gavai (17). Dk. Sunanda Dhiware, Mkuu wa Kitengo cha tiba ya meno katika hospitali ya JJ mjini Mumbai ameiambia BBC kuwa wamefanikiwa kuyang’oa meno 232 kinywani mwa Ashik...

 

10 years ago

GPL

ANASWA AKITAKA KUIBA, ANG’OLEWA MENO KWA KOLEO

Na Mwandishi  Wetu Mbeya
Kijana aliyefahamika kwa jina moja la Musa hivi karibuni alichezea kichapo cha nguvu kisha kung’olewa meno kwa koleo baada ya kunaswa akitaka kuiba nyumbani kwa mtu. Kijana Mussa akiwa hoi baada ya kung'olewa meno. Tukio hilo lilitokea katika mji mdogo wa Tunduma uliopo wilayani Momba mkoani hapa ambapo kijana huyo alinaswa akiingia kwenye nyumba iliyopo Mtaa wa Tazara, Kata ya Kaloleni ya...

 

11 years ago

Michuzi

HAYA NDIO YANAYOENDELEA UWANJA WA TAIFA HIVI SASA,MECHI BADO HAIJAANZA LAKINI VITI ZAIDI YA 20 VYANG'OLEWA

 Katika hali isiyokuwa ya kawaida,Mashabiki wa timu ya Simba wameanza tena kung'oa viti vya kukalia uwanjani hapa na kuwatupia Mashabini wenzao wa Timu ya Yanga waliofurika kwa wingi uwanjani hapa,kwa kile kinachodaiwa kuwa hawataki kukaa nao sehemu moja.lakini kwa hali ilivyo hivi sasa Uwanjani hapa,ni dhahiri kabisa kuwa Mashabiki hao wa Yanga wanaweza kuujaza Uwanja huu hasa kwa jinsi wanavyozidi kuingia Uwanjani hapa.Uongozi wa Vilabu hivi viwili vikubwa hapa nchini unatakiwa kukaa...

 

11 years ago

Michuzi

WATU WATATU WAKAMATWA NA MENO 25 YA KIBOKO NA VIPANDE 8 VYA MENO YA TEMBO

Jeshi la Polisi Kanda Maalum limefanikiwa kukamata vipande zaidi ya ishirini (20) vinavyodhaniwa kuwa ni meno ya Tembo vilivyokuwa vimehifadhiwa nadni ya mfuko maarufu kwa jina la kiroba. Tukio hili lilitokea tarehe 30/04/2014 katika kiwanda cha Nondo Steel Master kilichopo eneo la Mbozi Road (W) kipolisi Chang’ombe (M) kipolisi Temeke baada ya Polisi kupokea taarifa kuwa katika kiwanda hicho kuna mfuko wa kiroba wenye bidhaa hiyo umefichwa. Baada ya taarifa hizo askari kikosi cha Upelelezi...

 

11 years ago

GPL

WATU WATATU WAKAMATWA NA MENO 25 YA KIBOKO NA VIPANDE 8 VYA MENO YA TEMBO

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam Kamishna Suleiman Kova akionesha sehemu ya  vipande 8 vya meno ya tembo vilivyodakwa huko Tabata Kisiwani jijini Dar es salaam
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam Kamishna Suleiman Kova akikagua gari linalotuhumiwa kutumika.…

 

10 years ago

Mwananchi

Vichokoa meno vizuri ila vyaweza kukuathiri fizi, meno

Matumizi ya vijiti vya kuchokoa meno maarufu kama ‘toothpick’ ni namna nyepesi zaidi ya kuondoa mabaki ya nyama, mboga za majani au matunda yaliyonasa katika meno badala ya kufanya hivyo kwa kidole ama kitu kingine.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani