Ni bajeti ya uchaguzi
NA FREDY AZZAH, DAR ES SALAAM
WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya, ametoa mwelekeo wa bajeti ya mwaka wa fedha wa 2015/16 ya Sh trilioni 22.4 na kusema kipaumbele chake kitakuwa ni uchaguzi mkuu, maji na nishati.
Kwa mujibu wa Mkuya, bajeti hiyo haina miradi mingi mipya kwa kuwa itajikita kumaliza miradi ambayo haikukamilishwa na bajeti iliyopita.
Mkuya alitoa mwelekeo wa bajeti hiyo jijini Dar es Salaam jana mbele ya wabunge wa Bunge la Muungano.
“Katika bajeti hii, shilingi trilioni 16.7...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania11 Nov
Vyama vilivyozidisha bajeti ya uchaguzi kukiona
Patricia Kimelemeta na Grace Shitundu
OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, imevitaka vyama vya siasa vilivyoshiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, kuwasilisha ripoti ya matumizi ya fedha zilizotumika wakati wa kampeni, kulingana na matakwa ya Sheria ya Gharama za Uchaguzi.
Sheria hiyo imeweka viwango vya matumizi ya fedha, ambapo nafasi ya urais ni Sh bilioni 15, ubunge ni Sh milioni 33 hadi milioni 88 kulingana na jografia ya jimbo, huku nafasi ya udiwani ikiwa ni Sh milioni 2 hadi...
10 years ago
Mwananchi11 Jun
Bajeti ya Uchaguzi yaongezeka kwa asilimia 16
10 years ago
Mwananchi07 May
Bajeti ya Sayansi ‘yapigwa panga’ kusaidia Uchaguzi Mkuu
11 years ago
Mwananchi13 Jun
BAJETI 2014/2015: Bajeti yawagawa wabunge, CCM waipongeza, upinzani waiponda
11 years ago
Mwananchi14 Jun
MAONI BAJETI: Wananchi mikoani waiponda Bajeti 2014
10 years ago
Mwananchi02 Jun
UCHAMBUZI WA BAJETI: Bajeti ya Ujenzi imekidhi vigezo
5 years ago
MichuziUTUMISHI YAFANYA KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI KUJADILI TAARIFA YA MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA BAJETI WA MWAKA 2019/20 NA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA 2020/21
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro (katikati) akiongoza kikao cha Baraza la Wafanyakazi kujadili taarifa ya Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango wa Bajeti wa Mwaka 2019/20 na Mpango wa Bajeti kwa Mwaka 2020/21 kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Kituo cha Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma.
Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakimsikiliza Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais,...
11 years ago
Michuzi08 May
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yamefutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC na uchaguzi utarudiwa baada ya siku 90
Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.
Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.