Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni jinsi gani unampenda?

HABARI msomaji wa safu hii ya Urafiki na Mahusiano. Karibu tena katika safu hii wakati tukiwa katika msimu wa Sikukuu ya Pasaka. Ni matumaini yangu wote waliopo katika mahusiano ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Jinsi gani unashiriki katika kujifunza kwa mtoto wako?

Je unashiriki vipi katika kujifunza kwa mtoto wako katika mwaka mpya wa masomo?

 

11 years ago

CloudsFM

Picha> Baadhi ya wasanii wa bongo movie wakielezea ni jinsi gani wanaiaminia Tanzania

Ray msanii toka Bongo Movie akielezea ni jinsi gani yeye anaiaminia Tanzania....Wolper msanii toka Bongo Movie akielezea ni jinsi gani yeye anaiaminia Tanzania....

Mchopa msanii toka Bongo Movie akielezea ni jinsi gani yeye anaiaminia Tanzania....

Uwoya msanii toka Bongo Movie akielezea ni jinsi gani yeye anaiaminia Tanzania....

 

10 years ago

GPL

UNAMPENDA, UNATAKA NDOA

Ni wiki nyingine ambapo Mwenyezi Mungu ametujaalia kukutana katika busati letu la mahaba kujadiliana mambo mbalimbali yanayohusu uhusiano wa kimapenzi. Ni matumaini yangu kuwa mada ya wiki iliyopita ilikuingia vizuri na sasa unayafanyia kazi yale tuliyojadiliana. Karibu tena tujadiliane kuhusu mada ya leo kama inavyojieleza; unampenda na unataka kumuoa lakini hujui pa kuanzia, unapaswa kufanya nini? Maendeleo ya teknolojia...

 

10 years ago

GPL

AMEKUSALITI, LAKINI BADO UNAMPENDA?-2

Ni wiki nyingine tena tunapokutana katika uwanja wetu huu mzuri wa kuzungumzia ishu za uhusiano wa kimapenzi. Wiki iliyopita niliiweka mada mezani juu ya nini cha kufanya inapotokea mwenzi wako amekusaliti ingawa ndani ya moyo wako bado unampenda sana. Inaonekana mada imewagusa wengi kwani nimepokea maoni kwa wingi, kila mmoja akieleza kwa uzoefu wake namna ya kushughulikia tatizo hili. Nakushukuru wewe uliyeshiriki kuchangia...

 

10 years ago

Vijimambo

AMEKUSALITI, LAKINI BADO UNAMPENDA?

Namshukuru Jalali kwa kuniwezesha kukutana tena na wewe msomaji wangu mpendwa wa safu hii nzuri ambapo tunajuzana, kushauriana na kuelimishana kuhusu mambo mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi.

Mada yetu ya leo, kama inavyojieleza kwenye kichwa cha habari, ni mambo unayopaswa kuyafanya unapogundua mpenzi wako amekusaliti wakati bado unampenda na unahitaji kuendelea kuwa naye katika uhusiano wa kimapenzi.

Vitabu vya dini zote vinaeleza kuwa kosa pekee linaloweza kuivunja ndoa, hata ile...

 

10 years ago

GPL

KAMA KWELI UNAMPENDA UNAKUBALIJE KUMUACHA KIRAHISI?

Ninachotaka kukizungumzia leo ni kuhusu watu kuachana katika mazingira ambayo wengi wasingetarajia. Zipo ndoa ambazo zimefungwa kwa mbwembwe sana lakini hazikudumu na ukiuliza utaambiwa chanzo ni mambo madogomadogo tena ya kuvumilika. Yapo ambayo kiukweli hayavumiliki kabisa. Kuna sababu ambazo ukitajiwa kuwa ndizo zilizosababisha  flani na flani kuachana, utasema hata ingekuwa wewe usingeweza kuvumilia lakini kuna nyingine...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani