Ni kimbunga Simba, Mtibwa Jamhuri leo
BAADA ya ushindi wa kishindo wa mabao 4-0 dhidi ya maafande wa JKT Oljoro katika mechi iliyopita, Wekundu wa Msimbazi, Simba, leo watashuka Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro, kuwavaa mabingwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Jan
Simba SC, Mtibwa Sugar kiama leo
Ni fainali ya aina yake ya Kombe la Mapinduzi baina ya vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Mtibwa Sugar na Simba.
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Simba yaipania Mtibwa Sugar leo Uwanja wa Taifa
Baada ya kushindwa kutwaa Kombe la Mapinduzi, Simba leo itashuka uwanja wa Taifa kumenyana na Mtibwa Sugar katika mchezo wa kirafiki ambao kiingilio chake ni Sh5,000.
10 years ago
Michuzi01 Nov
SIMBA YAZIDI KUELEMEWA NA DROO, YATOKA SARE NA MTIBWA 1-1 LEO...
![](https://3.bp.blogspot.com/-6Yo3vwX6h1Q/VFUZKdL7JKI/AAAAAAAAv2M/LKnQX78DPHU/s1600/Simba%2C%2BMtibwa.jpg)
11 years ago
MichuziSIMBA YAVUTWA SHATI NA MTIBWA SUGAR,YATOKA SARE YA BAO 1-1 MJINI MOROGORO LEO
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/YANGA-MTIBWA-2.jpg)
VPL: MTIBWA VS YANGA, UWANJA WA JAMHURI MOROGORO
Kikosi cha timu ya Yanga kinachomenyana na Mtibwa sugar, Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro. Kikosi cha timu ya Mtibwa Sugar. Donald Ngoma wa Yanga akichuana na mabeki wa Mtibwa.…
9 years ago
Vijimambo01 Oct
KUTOKA UWANJA WA JAMHURI MOROGORO HII NDIYO YANGA 2 MTIBWA 0
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Simba-vs-Yanga-1.jpg)
Baada ya kuvunja uteja kwa watani wao wa jadi Simba Taifa sasa waendeleza kuvunja uteja ndani ya uwanja wa jamhuri wakiwazamisha walima miwa wa mashamba ya mtibwa kwa bao 2 bila majibu. Mtibwa wapisha njia wenyewe kwa kulala na kipigo sawa na walichopewa Simba jumamosi iliyopita.Yanga sasa mambo mbele kwa mbele wazidi kuwa watamu uwanjani.
10 years ago
Vijimambo21 Sep
YANGA YA MAXIMO YACHARAZWA 2-0 NA MTIBWA SUGAR JAMHURI…JAJA AKOSA PENALTI
![](http://shaffihdauda.com/wp-content/uploads/2014/09/yanga-team-1-640x320.jpg)
MBRAZIL Marcio Maximo amepoteza mechi yake ya kwanza akiiongoza Yanga baada ya kukubali kipigo ‘swaafi’ kabisa cha mabao 2-0 kutoka kwa Mtibwa Sugar, uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro jioni hii.Katika mechi hiyo ya kukata na shoka, Mbrazil mwingine, Geilson Santos Santana ‘Jaja’ naye ameweka rekodi ya kukosa mkwaju wa kwanza wa penalti akiichezea Yanga katika mechi yake ya kwanza ya ligi kuu.
Mabingwa hao wa 1999 na 2000 wakiongozwa na mwanafunzi wa zamani wa Maximo, Mecky...
11 years ago
Mwananchi30 Jun
UCHAGUZI MKUU SIMBA: Aveva apata ushindi wa kimbunga
>Evans Aveva ameula baada ya kuchaguliwa kuwa Rais mpya wa klabu ya Simba katika uchaguzi mkuu uliofanyika jana kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Bwalo la Polisi, Oysterbay jijini Dar es Salaam.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania