SIMBA YAZIDI KUELEMEWA NA DROO, YATOKA SARE NA MTIBWA 1-1 LEO...
Hassan Ramadhan wa Mtibwa akijaribu kuudhibiti mpira huku akizongwa na Mohamed Hussein wa Simba, wakati timu hizo zilipopambana katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom, Uwanja wa Jamhuri, mjini Morogoro.Mchezo ulimalizika kwa droo ya 1-1
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziSIMBA YAVUTWA SHATI NA MTIBWA SUGAR,YATOKA SARE YA BAO 1-1 MJINI MOROGORO LEO
11 years ago
GPLSIMBA YATOKA SARE NA MTIBWA SUGAR
HATIMAYE ubishi wa timu ya Mtibwa na wekundu wa msimbazi Simba umemalizika leo hii uwanja wa taifa baada ya kuchoshana nguvu kwa kufungana sare ya 1-1. Matokeo hayo, yanaiongezea Simba na kufikisha pointi 31 kibindoni na kupanda nafasi ya tatu, sawa na Vinara Mbeya city wenye pointi 31. Mfungaji wa Simba ni Hamisi Tambwe dakika ya 50 kipindi cha pili na Mtibwa Sugar ni Hasani Mgosi dakika ya 40 kipindi cha kwanza. ...
10 years ago
BBCSwahili29 Oct
Yanga yatoka sare,Simba yapeta
Yanga ikiwa ugenini huko Shinyanga ilikwenda sare ya mabao 2-2 na Mwadui Fc.
11 years ago
Michuzisimba yatoka sare ya 1-1 na Stand United
MATOKEO YOTE YA LEO
SIMBA 1- STAND UNITED 1PILISI MORO 1- KAGERA...
11 years ago
GPLSIMBA YATOKA SARE NA COASTAL UNION TAIFA
Kikosi cha wachezaji wa Simba kilichoanza katika mchezo wa leo Kikosi cha wachezaji wa Coastal Union kilichoanza katika mchezo wa leo…
11 years ago
MichuziSIMBA YASHINDWA KUTAMBA MBELE YA COAST UNION,YATOKA SARE YA BAO 2-2
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
9 years ago
GPL
STARS YATOKA SARE YA BAO 2-2 NA ALGERIA LEO TAIFA
Wachezaji wa Timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ wakishangilia moja ya bao. Mashabiki wakishangilia. Mbwana Samatta akishangilia goli lake alilofunga dhidi ya Algeria. Timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imeeshindwa kuchomoza na ushindi baada ya kulazimishwa sare ya kufungana magoli 2-2 dhidi ya timu ya taifa ya Algeria kwenye mchezo wa kwanza wa kuwania nafasi ya kupangwa kwenye makundi kwa ajili ya kuwania...
11 years ago
MichuziAZAM YACHOMOA, YATOKA SARE NA YANGA LEO NESHNO
10 years ago
Michuzi
TAIFA STARS YATOKA SARE YA 1-1 NA UGANDA CRANES JIJINI KAMPALA LEO

Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania