Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NI MARUFUKU WATOTO KUMILIKI LESENI ZA MADINI

Kamishna Msaidizi wa Madini Kanda ya Kati Singida, Sosthenes Masolla (aliyesimama), akifungua semina kwa wachimbaji wadogo wa madini kuhusu mfumo mpya wa huduma za utoaji wa leseni za madini kwa njia ya mtandao. Semina hiyo ilifanyika mjini Singida Septemba 5, mwaka huu. Wengine pichani ni wataalamu kutoka Wizara ya Nishati na Madini. Kutoka kushoto ni Placid Kabyemera, Juma Masoud, Mhandisi Nuru Shabani, Mhandisi Gabriel Senge na Tantao Tantao.  Sehemu ya washiriki wa semina kuhusu matumizi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Wizara ya Nishati na Madini yazindua rasmi mfumo wa kielektroniki wakulipia leseni za madini

Ministry_of_Energy_and_Minerals_Building,_Dar_es_Salaam,_Tanzania

Na Jacquiline Mrisho- MAELEZO

Serikali kupitia Wizara ya Nishati na Madini imezindua mfumo wa malipo ya ada za leseni za madini kwa njia ya mtandao ujulikanao kama Online Mining Cadastre Transactional Portal (OMCTP).

Akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, Kamishna Msaidizi wa Madini anayeshughulikia leseni Bw. John Nayopa amesema kuwa mfumo huu wa kielektroniki unawawezesha wateja waliosajiliwa kutuma maombi ya leseni, kuhakiki taarifa za leseni wanazomiliki pamoja na...

 

9 years ago

Michuzi

RUKSA WACHIMBAJI WADOGO KUMILIKI LESENI KADRI WAWEZAVYO

 Ofisa Madini Mkazi wa Kahama, Bibi Sophia Omar, akifungua mafunzo kwa wachimbaji wadogo na wamiliki wa leseni za madini kuhusu matumizi ya huduma mpya ya utoaji wa leseni za madini kwa njia ya mtandao. Mafunzo hayo yamefanyika leo Septemba 11, 2015 mjini Kahama ikiwa ni mwendelezo wa mafunzo yanayotolewa na Wizara ya Nishati na Madini kwa wachimbaji wadogo nchi nzima.

Mtaalamu kutoka Kitengo cha Leseni cha Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Nuru Shabani, akiwasilisha mada kwa wachimbaji...

 

9 years ago

Habarileo

Ruksa wachimbaji wadogo kumiliki idadi yoyote ya leseni

SERIKALI imesema wachimbaji wadogo wa madini wanaruhusiwa kumiliki idadi yoyote ya leseni za madini ilimradi waweze kuzifanyia kazi.

 

11 years ago

Habarileo

Dk Mengi akana kumiliki eneo kubwa la madini

MWENYEKITI Mtendaji wa Kampuni za IPP Limited, Dk Reginald Mengi amekanusha kumiliki eneo kubwa la migodi. Akizungumza jana, Mengi alisema eneo analomiliki kwa ubia na Watanzania wenzake ni mgodi mmoja wa uchimbaji wa madini ya tanzanite lisilofikia hata kilometa moja ya mraba.

 

10 years ago

Michuzi

MAFUNZO KWA WACHIMBAJI WA MADINI KUHUSU MATUMIZI YA HUDUMA ZA LESENI ZA MADINI KWA NJIA YA MTANDAO — KANDA YA ZIWA NYASA- SONGEA (7/8/2015) NA TUNDURU (9/8/2015)

Wizara ya Nishati na Madini inaendelea na mpango wake wa Mafunzo kwa Wachimbaji Madini Nchini kuhusu matumizi ya Mfumo wa Huduma za Leseni kwa njia ya Mtandao yaani Online Mining Cadastre Transactional Portal (OMCTP). Pamoja na malengo mengine, Mfumo huo umeanzishwa ili kutekeleza agizo la Serikali la kutaka Wizara na taasisi za Serikali ziwe zinapokea malipo ya Serikali kwa njia za kielektroniki. Mafunzo hayo yanatarajiwa kutolewa kwa wachimbaji wadogo nchi nzima ili kuwajengea uwezo.

 

10 years ago

Mwananchi

Leseni uchimbaji madini zafutwa

Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA), umesitisha utoaji wa leseni za uchimbaji madini ya ujenzi katika Jiji la Dar es Salaam ili kuokoa mazingira.

 

11 years ago

Habarileo

'Wasio na leseni marufuku kuuziwa kemikali'

WAKALA wa maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali imepiga marufuku uuzaji wa kemikali kwa mtu yeyote asiye na leseni kutoka kwake. Kaimu Mkemia Mkuu wa Serikali nchini, Sebanito Mtega alisema hatua hiyo inatokana na kukamilika kwa kazi ya kusajili wauzaji na watumiaji wa kemikali nchini, kazi iliyokamilika Novemba 30 mwaka jana.

 

10 years ago

Habarileo

Leseni sita za uchimbaji madini zatolewa

SERIKALI imesema kuwa leseni zote za madini zikiwemo za utafiti, uchimbaji na zile za kuhodhi maeneo, zitakaguliwa baada ya miezi sita baada ya kutolewa kwa wamiliki ili kuhakikisha kuwa maeneo yaliyoombewa leseni, yanaendelezwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani