Ni muhimu kujua hasa watumiaji wa matairi vipara
Matairi ya gari muda wake rasmi wa matumizi ni miaka minne ( 4 ) tu toka yatengenezwe (Sio toka uyafunge kwenye gari yako).
Ikishapita miaka minne toka tairi litengenezwe linaweza kupasuka wakati wowote.
Jinsi ya kutambua tairi lilitengenezwa lini tafuta alama kwenye tairi iliyoandikwa kwa mfumo huu (*2603*) kuna kuwa na alama ya nyota mwanzo na mwisho wa hizo namba nne.
Namba mbili za kwanza zinaonyesha tairi lilitengenezwa wiki ya ngapi katika wiki 52 za mwaka na namba mbili za mwisho...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OcxvxG4wHxbX85-TIi1ZPfjlqYI9WS*wD*5Yx8dkqF6Fn2GCcj4B94WJ3Y443lD4rIjc8jJw-kp4AfdHRTTis3F9xxOKOCPp/mpekeec.jpg)
OYA MASELA SASA HIVI NI MWENDO WA VIPARA!
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
Dk. Mwakyembe azindua matairi stahiki
WAZIRI wa Usafirishaji, Dk. Harrison Mwakyembe, amezindua matairi stahiki kwa mabasi ya abiria yanayotengenezwa na kampuni ya Michelin na kuitaka Mamlaka ya Udhibiti wa Viwango nchini (TBS), kuzuia bidhaa zisizostahili...
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Achana na Lexus ya mabox, cheki na hii yenye matairi ya barafu !!(+Pichaz)
Kama kuna vitu vinayakimbiza maisha kwenye kasi ya ajabu, basi teknolojia nayo imo… uliipata ile ya Lexus iliyotengenezwa kwa mabox, ikafungwa mota alafu ikaingia barabarani na kutembea kama gari tulizozoea? Sasahivi nimekutana na hii ambayo jamaa wamekaa zao chimbo kubuni tu kitu tofauti… kilichobuniwa ni matairi yaliyotengenezwa kwa barafu, ubunifu umefanyika London Uingereza na kampuni […]
The post Achana na Lexus ya mabox, cheki na hii yenye matairi ya barafu !!(+Pichaz) appeared first...
10 years ago
Bongo Movies14 Mar
Wema: Kupendeza ni Muhimu Ila Kuelimika ni Muhimu Zaidi
Mrembo na Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu ameandika hayo mtandaoni mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu akiwa anapiga kitabu.
“Kupendeza ni muhimu ila kuelimika ni muhimu zaidi. Je, unajaribu kujifunza kitu kipya kila siku?” Wema alihoji na kuendelea “Elimu haina mwisho na mie binafsi najifunza mengi kwa kaka angu….
Jitahidi kujiendeleza kimawazo na hautakwama ukikutana na vikwazo!”…..
Nadhani kila mmoja wetu atauzingatia ujumbe huu, hongera sana Wema.
Mzee wa...
11 years ago
Tanzania Daima31 Jan
Nini hasa fahari ya waimbaji wa Injili?
”KILA mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe, kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe, kila mtu atatoa hesabu yake mwenyewe siku hiyo ikifika…” Hiki ni kipande cha wimbo ambao ulivuma na kupendwa...
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Fani yangu hasa ni ufundi wa magari
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Je, mkopaji ana haki zipi hasa kisheria?