Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni muhimu kujua hasa watumiaji wa matairi vipara

Car Tyres Warrington 1_0

Matairi ya gari muda wake rasmi wa matumizi ni miaka minne ( 4 ) tu toka yatengenezwe (Sio toka uyafunge kwenye gari yako).

Ikishapita miaka minne toka tairi litengenezwe linaweza kupasuka wakati wowote.

Jinsi ya kutambua tairi lilitengenezwa lini tafuta alama kwenye tairi iliyoandikwa kwa mfumo huu (*2603*) kuna kuwa na alama ya nyota mwanzo na mwisho wa hizo namba nne.

 Namba mbili za kwanza zinaonyesha tairi lilitengenezwa wiki ya ngapi katika wiki 52 za mwaka na namba mbili za mwisho...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

OYA MASELA SASA HIVI NI MWENDO WA VIPARA!

Mambo vipi wanangu wenyewe? Mzuka? Kitaa hiyo kwa ndichi hapo kati inakuwa nini? Kipande hii haiwi kitu. Hapa vumbi tu kama vipi karibu kwa jamvini rede kukisanua. Kwani kuna tatizo? Hakuna tatizo!
Festi sharauti ziende kwa masela na washikaji zangu wote mlioibuka pale kati Uwanja wa Taifa kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini. Aisee siyo sekreti ilikuwa mzuksi hatare sana. Bata zilipigwa hadi kuku wakaona mawivu daadeki! Bigi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dk. Mwakyembe azindua matairi stahiki

WAZIRI wa Usafirishaji, Dk. Harrison Mwakyembe, amezindua matairi stahiki kwa mabasi ya abiria yanayotengenezwa na kampuni ya Michelin na kuitaka Mamlaka ya Udhibiti wa Viwango nchini (TBS), kuzuia bidhaa zisizostahili...

 

9 years ago

MillardAyo

Achana na Lexus ya mabox, cheki na hii yenye matairi ya barafu !!(+Pichaz)

Kama kuna vitu vinayakimbiza maisha kwenye kasi ya ajabu, basi teknolojia nayo imo… uliipata ile ya Lexus iliyotengenezwa kwa mabox, ikafungwa mota alafu ikaingia barabarani na kutembea kama gari tulizozoea? Sasahivi nimekutana na hii ambayo jamaa wamekaa zao chimbo kubuni tu kitu tofauti… kilichobuniwa ni matairi yaliyotengenezwa kwa barafu, ubunifu umefanyika London Uingereza na kampuni […]

The post Achana na Lexus ya mabox, cheki na hii yenye matairi ya barafu !!(+Pichaz) appeared first...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema: Kupendeza ni Muhimu Ila Kuelimika ni Muhimu Zaidi

Mrembo na Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu ameandika hayo mtandaoni mara baada ya kuweka picha  hiyo hapo juu akiwa anapiga kitabu.

“Kupendeza ni muhimu ila kuelimika ni muhimu zaidi. Je, unajaribu kujifunza kitu kipya kila siku?” Wema alihoji na kuendelea “Elimu haina mwisho na mie binafsi najifunza mengi kwa kaka angu….
 Jitahidi kujiendeleza kimawazo na hautakwama ukikutana na vikwazo!”…..

Nadhani kila mmoja wetu atauzingatia ujumbe huu, hongera sana Wema.

Mzee wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nini hasa fahari ya waimbaji wa Injili?

”KILA mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe, kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe, kila mtu atatoa hesabu yake mwenyewe siku hiyo ikifika…” Hiki ni kipande cha wimbo ambao ulivuma na kupendwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Fani yangu hasa ni ufundi wa magari

Anaitwa Abdallah Seif ukipenda unaweza kumuita King Kibadeni Mputa, mtoto wa Ilala aliyepachikwa jina la Mputa na Wangoni baada ya kuikacha Simba na kukimbilia kuichezea Majimaji ya Songea mwaka 1978.

 

10 years ago

Mwananchi

Je, mkopaji ana haki zipi hasa kisheria?

Haki ni stahiki za kisheria ambazo mtu anapaswa azipate au apewe. Wajibu ni majukumu ambayo mtu anapaswa kuyatimiza katika kufanikisha au kukamilisha jambo fulani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani