Fani yangu hasa ni ufundi wa magari
Anaitwa Abdallah Seif ukipenda unaweza kumuita King Kibadeni Mputa, mtoto wa Ilala aliyepachikwa jina la Mputa na Wangoni baada ya kuikacha Simba na kukimbilia kuichezea Majimaji ya Songea mwaka 1978.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo529 Dec
Mwana FA: Sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote (Video)
![12292738_1516860355279681_1179389451_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12292738_1516860355279681_1179389451_n-300x194.jpg)
Pengine hukuwa unalijua hili. Mwana FA hajawahi kuishi na baba yake katika maisha yake yote.
FA ametuambia hilo baada ya kumuuliza tofauti ya malezi aliyoyapata kutoka kwa baba yake na yale anayompa mwanae wa kike, Malikah.
“Mimi sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote,” anasema.
“Nimekuwa naruka ruka sana, mara nakaa kwa shangazi yangu, mara nakaa kwa babu yangu, kwa bibi yangu ndiyo kwetu ilikuwa, kwa shangazi yangu mwingine hivyo,” ameongeza.
“Experience niliyokuwa naiona ni kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-fWyZFEZucHg/U-sxP-7Rg2I/AAAAAAAF_IE/dQULh-NCqKI/s72-c/unnamed%2B(93).jpg)
Tamasha la Magari Tanzania (Autofest) limerudi na Matoleo Mapya ya Magari
![](http://2.bp.blogspot.com/-fWyZFEZucHg/U-sxP-7Rg2I/AAAAAAAF_IE/dQULh-NCqKI/s1600/unnamed%2B(93).jpg)
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Je, uongo ni fani?
11 years ago
Tanzania Daima31 Jan
Nini hasa fahari ya waimbaji wa Injili?
”KILA mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe, kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe, kila mtu atatoa hesabu yake mwenyewe siku hiyo ikifika…” Hiki ni kipande cha wimbo ambao ulivuma na kupendwa...
10 years ago
Dewji Blog19 Feb
Ni muhimu kujua hasa watumiaji wa matairi vipara
Matairi ya gari muda wake rasmi wa matumizi ni miaka minne ( 4 ) tu toka yatengenezwe (Sio toka uyafunge kwenye gari yako).
Ikishapita miaka minne toka tairi litengenezwe linaweza kupasuka wakati wowote.
Jinsi ya kutambua tairi lilitengenezwa lini tafuta alama kwenye tairi iliyoandikwa kwa mfumo huu (*2603*) kuna kuwa na alama ya nyota mwanzo na mwisho wa hizo namba nne.
Namba mbili za kwanza zinaonyesha tairi lilitengenezwa wiki ya ngapi katika wiki 52 za mwaka na namba mbili za mwisho...
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Je, mkopaji ana haki zipi hasa kisheria?
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Fani katika tamthiliya ya Orodha
11 years ago
Mwananchi30 Jan
Utalii wa fani ya picha uimarishwe
10 years ago
Raia Mwema15 Jul
Siku hizi kuna uchangudoa wa kisasa, wa kisiasa hasa
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.