Dk. Mwakyembe azindua matairi stahiki
WAZIRI wa Usafirishaji, Dk. Harrison Mwakyembe, amezindua matairi stahiki kwa mabasi ya abiria yanayotengenezwa na kampuni ya Michelin na kuitaka Mamlaka ya Udhibiti wa Viwango nchini (TBS), kuzuia bidhaa zisizostahili...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-pk9kp3f-4BU/VIHCKSjAfYI/AAAAAAAG1c0/QWMXkTLgmMI/s72-c/unnamed1.jpg)
WAZIRI WA UCHUKUZI DK. HARRISON MWAKYEMBE AZINDUA JENGO LA MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-pk9kp3f-4BU/VIHCKSjAfYI/AAAAAAAG1c0/QWMXkTLgmMI/s1600/unnamed1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-8tubJQEmrxE/VIHCKMPYDXI/AAAAAAAG1cs/Ji-JAEh3I5E/s1600/unnamed2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pZ14WeZS1fw/Xme4qHyqgsI/AAAAAAALifM/mgeRxGQajyoe9grVjjOuNH2r3aM28HX0QCLcBGAsYHQ/s72-c/04.jpg)
Waziri Mwakyembe azindua kikao cha wadau kujadili utekelezaji wa Mkataba wa UNESCO 2005
![](https://1.bp.blogspot.com/-pZ14WeZS1fw/Xme4qHyqgsI/AAAAAAALifM/mgeRxGQajyoe9grVjjOuNH2r3aM28HX0QCLcBGAsYHQ/s640/04.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/05-1.jpg)
10 years ago
Dewji Blog19 Feb
Ni muhimu kujua hasa watumiaji wa matairi vipara
Matairi ya gari muda wake rasmi wa matumizi ni miaka minne ( 4 ) tu toka yatengenezwe (Sio toka uyafunge kwenye gari yako).
Ikishapita miaka minne toka tairi litengenezwe linaweza kupasuka wakati wowote.
Jinsi ya kutambua tairi lilitengenezwa lini tafuta alama kwenye tairi iliyoandikwa kwa mfumo huu (*2603*) kuna kuwa na alama ya nyota mwanzo na mwisho wa hizo namba nne.
Namba mbili za kwanza zinaonyesha tairi lilitengenezwa wiki ya ngapi katika wiki 52 za mwaka na namba mbili za mwisho...
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Achana na Lexus ya mabox, cheki na hii yenye matairi ya barafu !!(+Pichaz)
Kama kuna vitu vinayakimbiza maisha kwenye kasi ya ajabu, basi teknolojia nayo imo… uliipata ile ya Lexus iliyotengenezwa kwa mabox, ikafungwa mota alafu ikaingia barabarani na kutembea kama gari tulizozoea? Sasahivi nimekutana na hii ambayo jamaa wamekaa zao chimbo kubuni tu kitu tofauti… kilichobuniwa ni matairi yaliyotengenezwa kwa barafu, ubunifu umefanyika London Uingereza na kampuni […]
The post Achana na Lexus ya mabox, cheki na hii yenye matairi ya barafu !!(+Pichaz) appeared first...
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Fahamu stahiki zako ardhi inapotwaliwa (2)
Taratibu za kutangaza ardhi iliyotelekezwa Ardhi iliyotelekezwa – Ni ardhi ambayo imegawiwa au inamilikiwa na mtu, lakini inakaa kwa muda mrefu bila matumizi yeyote. Sheria za ardhi zinatoa utaratibu juu...
10 years ago
Habarileo10 Aug
Kikwete akerwa wananchi kutolipwa fidia stahiki
RAIS Jakaya Kikwete amewataka maofisa wa Serikali kuacha tabia ya kuwakopa wakulima masikini nchini kwa ujanjaujanja kwa kusingizia kuwa hawana fedha ya fidia mali zao ili kupisha ujenzi wa miradi mbalimbali ya Serikali.
9 years ago
StarTV14 Aug
TALGWU waitaka serikali kuwalipa stahiki zao shilingi bil.18
Baadhi ya viongozi wa chama cha wafanyakazi Serikali za Mitaa TALGWU Mkoani Mwanza wameitaka serika kuwalipa stahiki zao haraka kiasi cha shilingi billion 18 ikiwa ni moja ya malimbikizo ya stahiki zao.ahadi ya serikali
Wamesema kuwa licha ya Rais wa jamuhuri wa Muungano wa Tanzania Mh.Jakaya Mrisho Kikwetwe kutoa tamko la kulipa malimbikizo ya madeni kuwalipa kabla ya juni 30 mwaka huu lakini mpaka sasa hayajafanyiwa kazi jambo ambalo wamesema linawaweka katika mgumu.
Madai hayo yametolewa...
10 years ago
Habarileo29 Mar
Aliyeua kwa kucharanga mapanga korti yamkabidhi stahiki yake
MKAZI wa Kijiji cha Ingri Juu wilaya ya Rorya, Phillimon Agala (52) amehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kumuua Seleman Gershon kwa kumkatakata kwa mapanga.