Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fahamu stahiki zako ardhi inapotwaliwa (2)

Taratibu za kutangaza ardhi iliyotelekezwa Ardhi iliyotelekezwa – Ni ardhi ambayo imegawiwa au inamilikiwa na mtu, lakini inakaa kwa muda mrefu bila matumizi yeyote. Sheria za ardhi zinatoa utaratibu juu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Fahamu haki, wajibu katika ardhi unayomiliki

Watu wengi wameonewa, kudhulumiwa na kunyanyaswa katika ardhi zao wenyewe kwa sababu ya kutojua haki na wajibu wao.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dk. Mwakyembe azindua matairi stahiki

WAZIRI wa Usafirishaji, Dk. Harrison Mwakyembe, amezindua matairi stahiki kwa mabasi ya abiria yanayotengenezwa na kampuni ya Michelin na kuitaka Mamlaka ya Udhibiti wa Viwango nchini (TBS), kuzuia bidhaa zisizostahili...

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete akerwa wananchi kutolipwa fidia stahiki

RAIS Jakaya Kikwete amewataka maofisa wa Serikali kuacha tabia ya kuwakopa wakulima masikini nchini kwa ujanjaujanja kwa kusingizia kuwa hawana fedha ya fidia mali zao ili kupisha ujenzi wa miradi mbalimbali ya Serikali.

 

9 years ago

StarTV

TALGWU waitaka serikali kuwalipa stahiki zao shilingi bil.18

Baadhi ya viongozi wa chama cha wafanyakazi Serikali za Mitaa TALGWU Mkoani Mwanza wameitaka serika kuwalipa stahiki zao haraka kiasi cha shilingi billion 18 ikiwa ni moja ya malimbikizo ya stahiki zao.ahadi ya serikali

Wamesema kuwa licha ya Rais wa jamuhuri wa Muungano wa Tanzania Mh.Jakaya Mrisho Kikwetwe kutoa tamko la kulipa malimbikizo ya madeni kuwalipa kabla ya juni 30 mwaka huu lakini mpaka sasa hayajafanyiwa kazi jambo ambalo wamesema linawaweka katika mgumu.

Madai hayo yametolewa...

 

10 years ago

Habarileo

Aliyeua kwa kucharanga mapanga korti yamkabidhi stahiki yake

MKAZI wa Kijiji cha Ingri Juu wilaya ya Rorya, Phillimon Agala (52) amehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kumuua Seleman Gershon kwa kumkatakata kwa mapanga.

 

9 years ago

Michuzi

Serikali kuanza kutumia Nguzo za Zege Utoaji Tenda uzingatie sifa stahiki: Chambo

Wizara ya Nishati na Madini kupitia Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) iko mbioni kuanza kutumia Nguzo za kusambazia Umeme za Zege ili kuondokana na nguzo za miti ambazo zina changamoto kadhaa ikiwa ni pamoja na kuvunjika, kuoza kwa kuliwa na wadudu na kuanguka hivyo kusababisha usumbufu kwa wananchi kukosa huduma muhimu ya umeme.
Hayo yalielezwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Omar Chambo alipokutana na Ujumbe kutoka Ujerumani Ofisini kwake hivi karibuni jijini Dar...

 

9 years ago

Dewji Blog

DC PAUL MAKONDA: Afanya ziara ya kushitukiza Kinondoni ataka wafanyakazi wapatiwe mikataba stahiki sehemu za kazi!

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati), akizungumza na wafanyakazi wa Gereji ya Spring City Enterprises inayomilikiwa na raia wa China iliyopo Mikocheni B Mlalakuwa  Barabara ya Mwai Kibaki Dar es Salaam leo, alipofika kusikiliza malalamiko yao mbalimbali yakiwemo ya kutokuwa na mikataba ya kazi licha ya kuwa kazini kwa zaidi ya miaka saba.  Makonda akiangalia kitambulisho dhaifu wanavyotumia wafanyakazi hao ambacho hakiwezi kutumimika kumuwekea mtu dhamana na shughuli...

 

10 years ago

Tanzania Daima

JK za kuambiwa changanya na zako 2015

RAIS Jakaya Kikwete ni zao la kundi la mtandao. Kundi hili liliongoza mapambano ya kidemokrasia ndani ya CCM kuanzia mwaka 1995 baada ya  kura za mwanasiasa huyo kutotosha kwenye kinyang’anyiro...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Badili maisha kupitia fikra zako

WATAALAMU wa masuala ya saikologia wanasema zaidi ya asilimia 95 ya maisha yetu ni matokeo ya fikra zilizopo ndani yetu na asilimia 5 ni mazingira yanayotunguka na vitu vingine. Kutokana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani