Ni rasmi sasa Costa ataichezea Chelsea
Aliyekuwa mshambulizi wa Atletico Madrid na Uhispania Diego Costa sasa atavalia jezi ya Chelsea msimu ujao.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili16 Jul
Diego Costa ajiunga na Chelsea
9 years ago
Mtanzania12 Nov
Higuain kumwondoa Diego Costa Chelsea
LONDON, ENGLAND
KLABU ya Chelsea imeanza kumfukuzia mshambuliaji wa Napoli, Gonzalo Higuain ambaye anaweza kuchukua
nafasi ya Diego Costa wakati wa dirisha dogo la usajili Januari mwakani.
Klabu hiyo imefanya maamuzi hayo baada ya kuona kwamba mchezaji wao huyo amekuwa na matukio mbalimbali ambayo hayaisaidia timu hiyo.
Kutokana na hali hiyo Costa ametakiwa kubadilika ili kuweza kuisaidia timu hiyo ambayo kwa sasa imekuwa na wakati mgumu katika michuano ya Ligi Kuu nchini England.
Hata...
10 years ago
BBCSwahili05 Apr
Chelsea yashinda huku Costa akijeruhiwa
9 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-u9PlDpPQ1d8/VgBWOb4SWOI/AAAAAAAADk4/lZF9dNswf8o/s72-c/costa1_3446940b.jpg)
CHELSEA STRIKER DIEGO COSTA CHARGED WITH VIOLENT CONDUCT BY FA
![](http://3.bp.blogspot.com/-u9PlDpPQ1d8/VgBWOb4SWOI/AAAAAAAADk4/lZF9dNswf8o/s1600/costa1_3446940b.jpg)
The FA has also charged Gabriel with improper conduct and both clubs with failing to control their players.Arsenal are to appeal Gabriel's dismissal and three-match ban
![](http://4.bp.blogspot.com/-n7RKsOEnaBs/VgBWcVMHh6I/AAAAAAAADlA/80QxW2fHUZg/s1600/_85671002_costa_gabriel_pa.jpg)
Costa has until 18:00 BST on Tuesday,...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-AhMNR_2acic/VZQOb_IyxLI/AAAAAAAACXQ/_Yq7SqMk1As/s72-c/Radamel-Falcao-Atletico-Madrid-Primera-Liga_2835116.jpg)
FALCAO ATUA RASMI CHELSEA
![](http://4.bp.blogspot.com/-AhMNR_2acic/VZQOb_IyxLI/AAAAAAAACXQ/_Yq7SqMk1As/s400/Radamel-Falcao-Atletico-Madrid-Primera-Liga_2835116.jpg)
Radamel Falcao amesaini mkataba wa kujiunga na klabu ya Chelsea na ataungana na timu yake mpya kwenye ziara ya kujiandaa na msimu ujao (pre-season) huko bara la America ya Kaskazini hii ni kwa muji wa ripoti.Mjomba pamoja na baba yake Falcao wamethibitisha kwamba, mkataba umeshasainiwa kati ya mshambuliaji huyo na klabu ya Chelsea.
Kwa mujibu wa gazeti la The Guardian, Chelsea wamekubaliana na Monaco kumsajili Falcao kwa mkopo wa mwaka mmoja lakini mkataba huo unakipengele cha kumsajili moja...
11 years ago
BBCSwahili14 Dec
Mourinho:Chelsea mambo shwari sasa
10 years ago
BBCSwahili08 Feb
Chelsea sasa yaongoza kwa pointi saba
9 years ago
Habarileo11 Sep
Kombe la FA sasa rasmi
SASA ni rasmi kuwa Kombe la Shirikisho zamani FA linarejea msimu huu baada ya Kampuni ya Azam Media Limited kusaini mkataba wa miaka minne na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kudhamini michuano hiyo kwa mkataba wenye thamani ya Sh bilioni 3.3.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/LIPUMBAS.jpg)
LIPUMBA SASA RASMI CCM