Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni rasmi sasa Costa ataichezea Chelsea

Aliyekuwa mshambulizi wa Atletico Madrid na Uhispania Diego Costa sasa atavalia jezi ya Chelsea msimu ujao.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Diego Costa ajiunga na Chelsea

Mshambulizi wa Atletico Madrid,Diego Costa hatimaye amejiunga na Chelsea kwa miaka 5 ijayo.

 

9 years ago

Mtanzania

Higuain kumwondoa Diego Costa Chelsea

gonzalo-higuain-barça2014LONDON, ENGLAND

KLABU ya Chelsea imeanza kumfukuzia mshambuliaji wa Napoli, Gonzalo Higuain ambaye anaweza kuchukua
nafasi ya Diego Costa wakati wa dirisha dogo la usajili Januari mwakani.

Klabu hiyo imefanya maamuzi hayo baada ya kuona kwamba mchezaji wao huyo amekuwa na matukio mbalimbali ambayo hayaisaidia timu hiyo.

Kutokana na hali hiyo Costa ametakiwa kubadilika ili kuweza kuisaidia timu hiyo ambayo kwa sasa imekuwa na wakati mgumu katika michuano ya Ligi Kuu nchini England.

Hata...

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yashinda huku Costa akijeruhiwa

Kocha Jose Mourinho amesema kuwa ilikuwa hatari kumchezesha mshambuliaji Diego Costa baada ya kujeruhiwa wakati wa ushindi wa 2-1

 

9 years ago

Africanjam.Com

CHELSEA STRIKER DIEGO COSTA CHARGED WITH VIOLENT CONDUCT BY FA

Chelsea striker Diego Costa has been charged with violent conduct by the Football Association after his side's 2-0 win over Arsenal on Saturday.Costa, 26, put his hands in the face of Arsenal centre-back Laurent Koscielny prior to clashing with Gunners' defender Gabriel, who was sent off.
The FA has also charged Gabriel with improper conduct and both clubs with failing to control their players.Arsenal are to appeal Gabriel's dismissal and three-match ban
Costa has until 18:00 BST on Tuesday,...

 

10 years ago

Africanjam.Com

FALCAO ATUA RASMI CHELSEA


Radamel Falcao amesaini mkataba wa kujiunga na klabu ya Chelsea na ataungana na timu yake mpya kwenye ziara ya kujiandaa na msimu ujao (pre-season) huko bara la America ya Kaskazini hii ni kwa muji wa ripoti.Mjomba pamoja na baba yake Falcao wamethibitisha kwamba, mkataba umeshasainiwa kati ya mshambuliaji huyo na klabu ya Chelsea.
Kwa mujibu wa gazeti la The Guardian, Chelsea wamekubaliana na Monaco kumsajili Falcao kwa mkopo wa mwaka mmoja lakini mkataba huo unakipengele cha kumsajili moja...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mourinho:Chelsea mambo shwari sasa

Golkipa, Petr Cech, aliokoa mabao kadhaa katika kipindi cha pili cha mechi kati ya Chelsea Crystal Palace ambapo Chelsea ilishinda kwa mabao 2-1

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea sasa yaongoza kwa pointi saba

Mourinho amesema kwamba haoni uongozi wa alama 7 juu ya jedwali la ligi ya Uingereza ni fursa ya timu hiyo kushinda ligi

 

9 years ago

Habarileo

Kombe la FA sasa rasmi

SASA ni rasmi kuwa Kombe la Shirikisho zamani FA linarejea msimu huu baada ya Kampuni ya Azam Media Limited kusaini mkataba wa miaka minne na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kudhamini michuano hiyo kwa mkataba wenye thamani ya Sh bilioni 3.3.

 

9 years ago

GPL

LIPUMBA SASA RASMI CCM

Richard Manyota na Oscar Ndauka SIKU chache baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Haruna Lipumba kujiuzulu wadhifa wake huo, sasa mwanasiasa huyo mtaalamu wa mambo ya uchumi ametajwa waziwazi kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM), Uwazi Mizengwe ya Uchaguzi limedokezwa....Soma zaidi====>http://bit.ly/1UH6HT2

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani