Ni Tanzania Bara vs Visiwani leo
Mashindano ya Kombe la Mapinduzi yanaingia katika hatua ya nusu fainali hii leo, wakati timu mbili kutoka Tanzania Bara, Simba na Mtibwa Sugar zitakapocheza dhidi ya mbili za visiwani Zanzibar, Polisi Zanzibar na JKU (Jeshi la Kujenga Uchumi)
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog02 Jul
Nyalandu arejesha fomu za wadhamini aliowapata katika mikoa yote Tanzania Bara na Visiwani
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu akiteremka kwenye Coaster mara baada ya kuwasili makao makuu ya ofisi za CCM Dodoma kwa ajili ya zoezi la kuruisha fomu.
Baadhi ya wanachama wa CCM waliomsindikiza Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, kurejesha fomu za kuomba kuteuliwa kuwania urais kwa tiketi ya CCM mjini Dodoma, jana.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amerejesha fomu za wadhamini aliowapata katika mikoa yote Tanzania Bara na Visiwani ambazo...
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
Bara na Visiwani tuache kushambuliana
WATU ambao huingilia mambo yasiyowahusu huambiwa: ‘Pilipili usiyoila yakuwashia nini?’ Hili ni onyo wanaloambiwa watu wanaoingilia mambo yasiyowahusu na zaidi wanapojifanya ndio wahusika wakuu. Nimeukumbuka usemi huu kutokana na kusikia watu...
10 years ago
Michuzi13 Nov
Semina ya wakuu wa Mikoa na Wilaya Bara na Visiwani yamalizika Zanzibar
![](https://3.bp.blogspot.com/-Pfi0KuibkUk/VGS9ye8h2fI/AAAAAAAGw-s/7qvCmqZA51U/s640/unnamed%2B(23).jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-PntW3tRnQt4/VGS9yOeNNdI/AAAAAAAGw-k/uxo4scOyJgg/s640/unnamed%2B(22).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ou8Q7e3eicw/Uu-JAcr-1WI/AAAAAAAFKqQ/1ReLs6n0yz8/s72-c/unnamed+(35).jpg)
Mawaziri wakutana na waandishi wa habari kuelezea maendeleo ya Elimu bara na visiwani
![](http://2.bp.blogspot.com/-ou8Q7e3eicw/Uu-JAcr-1WI/AAAAAAAFKqQ/1ReLs6n0yz8/s1600/unnamed+(35).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rDCAM0ZP9a8/Uu-JATEVwJI/AAAAAAAFKqU/5675oj3clH4/s1600/unnamed+(36).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hqOeXIrIRMk/Uu-JAouxp3I/AAAAAAAFKqY/RaoUMm0fvRg/s1600/unnamed+(37).jpg)
10 years ago
VijimamboRAIS MSTAAFU ALI HASSAN MWINYI AKABIDHI JEZI KWA MANAHODHA WA BARA NA VISIWANI WASHINGTON, DC
Balozi wa Tanzania nchini Marekami Mhe. Liberata Mulamula (wapili toka kushoto) akimtambulisha Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Bwn. Idd Sandaly na baadae kusalimiana na Rais msataafu Ali Hassan Mwinyi wakati alipokua akiwasili kwenye jengo la Ubalozi wa Tanzania siku ya Jumatano April 22, 2015 kwa ajili ya kukabidhi jezi kwa manahodha wa timu ya Tanzania Bara na Visiwani kwa ajili ya mtanange utakaochezwa siku ya Jumamosi April 25, 2015 katika maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa...
10 years ago
Vijimambo09 Dec
9 years ago
BBCSwahili16 Sep
Ligi kuu Tanzania bara kuendelea leo
10 years ago
BBCSwahili26 Dec
Ligi kuu Tanzania Bara kuanza leo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jxmvA08zmRoKxgOngCEAROpzfCxi6mnq8EAMB56BefuT9Lc4WfXmK2wyqABh4Cy7YmWi1otzrloiXMJCOrIrfyhRUGwYvxCp/LIGIKUU.jpg)
MECHI ZA LEO NA KESHO LIGI KUU YA TANZANIA BARA