Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni Tanzania Bara vs Visiwani leo

Mashindano ya Kombe la Mapinduzi yanaingia katika hatua ya nusu fainali hii leo, wakati timu mbili kutoka Tanzania Bara, Simba na Mtibwa Sugar zitakapocheza dhidi ya mbili za visiwani Zanzibar, Polisi Zanzibar na JKU (Jeshi la Kujenga Uchumi)

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Nyalandu arejesha fomu za wadhamini aliowapata katika mikoa yote Tanzania Bara na Visiwani

NYALANDU AKITEREMKA KWENYE COSTER BUS KURUDISHA FOMU MAKAO  MAKUU DODOMA

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu akiteremka kwenye Coaster  mara baada ya kuwasili makao makuu ya ofisi za CCM Dodoma kwa ajili ya zoezi la kuruisha fomu.

NYALANDU AKIWA NA BAADHI YA WANA CCM WALIOMSINDIKIZA  KURUDISHA FOMU DODOMA

Baadhi ya wanachama wa CCM waliomsindikiza Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, kurejesha fomu za kuomba kuteuliwa kuwania urais kwa tiketi ya CCM mjini Dodoma, jana.

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amerejesha fomu za wadhamini aliowapata katika mikoa yote Tanzania Bara na Visiwani ambazo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bara na Visiwani tuache kushambuliana

WATU ambao huingilia mambo yasiyowahusu huambiwa: ‘Pilipili usiyoila yakuwashia nini?’ Hili ni onyo wanaloambiwa watu wanaoingilia mambo yasiyowahusu na zaidi wanapojifanya ndio wahusika wakuu. Nimeukumbuka usemi huu kutokana na    kusikia watu...

 

10 years ago

Michuzi

Semina ya wakuu wa Mikoa na Wilaya Bara na Visiwani yamalizika Zanzibar

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ Mhe,Haji Omar Kheri akitoa hutuba yake ya ufungaji wa Semina ya siku tatu kwa Wakuu wa Mikoa,Wilaya,Makatibu Tawala wa Mikoa ya Zanzibar na Baadhi ya Tanzania Bara iliyohusu Mahusiano na Mwingiliano katika siasa na Utendaji katika Ukumbi wa Sea Cliff Kama nje ya Mji wa Unguja. Baadhi ya Wakuu wa Mikoa Bara na Visiwani wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ Mhe,Haji Omar Kheri...

 

11 years ago

Michuzi

Mawaziri wakutana na waandishi wa habari kuelezea maendeleo ya Elimu bara na visiwani

 Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali zanzibar, Ali Juma Shamuhuna (kulia) akizungumza kwenye mkutano wa pamoja na Waziri wa Elimu na Ufundi wa Tanzania Bara, Shukuru Kawambwa, mkutano uliowashirikisha pia maofisa kutoka Wizara hizo mbili, ulifanyika kwenye makao makuu ya Wizara ya Elimu mjini Zanzibar. Kushoni ni Waziri wa Elimu na Ufundi wa Tanzania Bara, Dkt. Shukuru Kawambwa   Waziri wa Elimu na Ufundi wa Tanzania Bara, Dkt. Shukuru Kawambwa akizungumza  Mawaziri Ali Juma Shamuhuna na...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS MSTAAFU ALI HASSAN MWINYI AKABIDHI JEZI KWA MANAHODHA WA BARA NA VISIWANI WASHINGTON, DC


 Balozi wa Tanzania nchini Marekami Mhe. Liberata Mulamula (wapili toka kushoto) akimtambulisha Rais wa Jumuiya ya Watanzania  DMV Bwn. Idd Sandaly na baadae kusalimiana na Rais msataafu Ali Hassan Mwinyi wakati alipokua akiwasili kwenye jengo la Ubalozi wa Tanzania siku ya Jumatano April 22, 2015 kwa ajili ya kukabidhi jezi kwa manahodha wa timu ya Tanzania Bara na Visiwani kwa ajili ya mtanange utakaochezwa siku ya Jumamosi April 25, 2015 katika maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa...

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

BBCSwahili

Ligi kuu Tanzania bara kuendelea leo

Ligi Kuu Tanzania bara Itaendelea tena leo katika viwanja saba ikiwa ni michezo ya mzunguko wa pili

 

10 years ago

BBCSwahili

Ligi kuu Tanzania Bara kuanza leo

Ligi kuu ya Tanzania bara, Vodacom inaanza mzunguko wa pili leo baada ya kusimama tangu Novemba saba.

 

10 years ago

GPL

MECHI ZA LEO NA KESHO LIGI KUU YA TANZANIA BARA

Oktoba 4, 2014 Polisi Moro v Kagera Sugar - Jamhuri Coastal Union v Ndanda FC - Mkwakwani Simba SC v Stand United - Taifa Prisons v Azam FC - Sokoine Ruvu Shooting v Mbeya City - Mabatini Oktoba 5, 2014 Yanga v JKT Ruvu - Taifa Mtibwa Sugar v Mgambo JKT -…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani