Nyalandu arejesha fomu za wadhamini aliowapata katika mikoa yote Tanzania Bara na Visiwani
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu akiteremka kwenye Coaster mara baada ya kuwasili makao makuu ya ofisi za CCM Dodoma kwa ajili ya zoezi la kuruisha fomu.
Baadhi ya wanachama wa CCM waliomsindikiza Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, kurejesha fomu za kuomba kuteuliwa kuwania urais kwa tiketi ya CCM mjini Dodoma, jana.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amerejesha fomu za wadhamini aliowapata katika mikoa yote Tanzania Bara na Visiwani ambazo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi13 Nov
Semina ya wakuu wa Mikoa na Wilaya Bara na Visiwani yamalizika Zanzibar
![](https://3.bp.blogspot.com/-Pfi0KuibkUk/VGS9ye8h2fI/AAAAAAAGw-s/7qvCmqZA51U/s640/unnamed%2B(23).jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-PntW3tRnQt4/VGS9yOeNNdI/AAAAAAAGw-k/uxo4scOyJgg/s640/unnamed%2B(22).jpg)
10 years ago
VijimamboNYALANDU ARUDISHA FOMU ZA WADHAMINI
10 years ago
Dewji Blog20 Jun
Makamba atunzwa kwao apata wadhamini kuliko mikoa yote aliyopita
Mh January Makamba alikua katika mkoa wa Tanga alipokulia na kuzaliwa, wakazi wengi wa Tanga Walijitokeza Kumpokea kwa Shangwe nyingi.
Wananchi wa mkoa wa Tanga wamejitokeza watu wengi kumdhamini kuliko mikoa yote aliyopita ambapo jumla ya watu 15,043 wamejitokeza kwenye ofisi kuu za Chama cha Mapinduzi CCM mkoani humo kwa ajili ya kutafuta wadhamini wa fomu kuomba kuteuliwa na chama hicho kuwania urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015……Fuatilia matukio...
10 years ago
Mwananchi10 Jan
Ni Tanzania Bara vs Visiwani leo
10 years ago
MichuziDKT. MAGUFULI ATAPA WADHAMINI KATIKA MIKOA YA UNGUJA NA PEMBA, ZANZIBAR
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-G_xdTr3ggho/VXVLMb4yIMI/AAAAAAAHc80/6aVTU1KK0l0/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MAGUFULI AZIDI KUPATA WADHAMINI WENGI KATIKA MIKOA YA MWANZA NA GEITA
![](http://4.bp.blogspot.com/-G_xdTr3ggho/VXVLMb4yIMI/AAAAAAAHc80/6aVTU1KK0l0/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2EuJt8nLss4/VXVLNbu1HAI/AAAAAAAHc9A/WDXitC0BbKA/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FX9mijdaBs8/VXVLNn5D0pI/AAAAAAAHc9I/WzFn1v_UhvQ/s640/4.jpg)
10 years ago
Dewji Blog09 Jun
Waziri Membe apata wadhamini zaidi ya 800 katika mikoa ya Lindi na Mtwara
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kulia) akizungumza na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Mkoa wa Lindi, waliofika kwenye Ofisi ya CCM mkoani humo Juni 08.2015, kwa ajili ya kutia saini fomu za kumdhamini ili ateuliwe kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 300.(Picha zote na John Badi).
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa...
10 years ago
MichuziDKT.MAGUFULI AZIDI KUPATA WADHAMINI KATIKA MIKOA YA KILIMANJARO NA DAR ES SALAAM
10 years ago
VijimamboDKT. MAGUFULI AWASILI KISIWANI ZANZIBAR NA KUPATA WADHAMINI WENGI KATIKA MIKOA YA UNGUJA NA PEMBA