NYALANDU ARUDISHA FOMU ZA WADHAMINI
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu (katikati) akiwa na mkewe baada ya kurudisha fomu za wadhamini kwa ajili ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya ya CCM. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara, Rajabu Luhavi.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu (katikati) akiwa na mkewe baada ya kurudisha fomu za wadhamini kwa ajili ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya ya CCM. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara, Rajabu Luhavi.
Waziri...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2G3mYbFO8ko/VYjlnENqebI/AAAAAAAHioM/9FlK2tzE7HA/s72-c/unnamed%2B%252865%2529%2B-%2BCopy.jpg)
WAZIRI MAGUFULI ARUDISHA FOMU ZA KUOMBA KUGOMBEA URAIS KUPITIA CCM MARA BAADA YA KUKAMILISHA ZOEZI LA KUPATA WADHAMINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-2G3mYbFO8ko/VYjlnENqebI/AAAAAAAHioM/9FlK2tzE7HA/s640/unnamed%2B%252865%2529%2B-%2BCopy.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-laWDp0u2wjM/VYjlndsCbBI/AAAAAAAHioQ/TucGqV3_NSA/s640/unnamed%2B%252866%2529%2B-%2BCopy.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-64M6uLD_OFo/VYjlnO4pnHI/AAAAAAAHioU/7RcMNnw12sc/s640/unnamed%2B%252867%2529%2B-%2BCopy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NODrx5G4V1w/VYjln_mOoNI/AAAAAAAHioo/ECfeYXZYxhg/s640/unnamed%2B%252868%2529%2B-%2BCopy.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Jul
Nyalandu arejesha fomu za wadhamini aliowapata katika mikoa yote Tanzania Bara na Visiwani
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu akiteremka kwenye Coaster mara baada ya kuwasili makao makuu ya ofisi za CCM Dodoma kwa ajili ya zoezi la kuruisha fomu.
Baadhi ya wanachama wa CCM waliomsindikiza Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, kurejesha fomu za kuomba kuteuliwa kuwania urais kwa tiketi ya CCM mjini Dodoma, jana.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amerejesha fomu za wadhamini aliowapata katika mikoa yote Tanzania Bara na Visiwani ambazo...
10 years ago
Habarileo26 Jun
Muhongo arudisha fomu akisherehekea bethidei
ALIYEKUWA Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo jana alisherehekea siku yake ya kuzaliwa kwa kurudisha fomu ya kuomba ridhaa ya kuchagulia na CCM kugombea nafasi ya Urais wa Tanzania, huku akidai hatakiwi kuulizwa kuhusiana na masuala ya Escrow kwani hakutajwa mahali popote.
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
Maalim Seif arudisha fomu za ukatibu
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amerejesha fomu ya kugombea tena nafasi ya Katibu Mkuu wa chama hicho huku akisisitiza msimamo wake wa kuendelea kuwaunganisha...
9 years ago
GPLMAGUFULI ARUDISHA FOMU ZA URAIS NEC
11 years ago
Tanzania Daima13 Mar
Ridhiwani arudisha fomu kuwania ubunge
MBWEMBWE na tambo za shamra shamra mbalimbali zimetokea jana katika ofisi za Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Chalinze baada ya wagombea kurudisha fomu za kugombea ubunge. Majira ya saa tano...
11 years ago
MichuziRIDHIWANI ARUDISHA FOMU ZA UBUNGE CHALINZE
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t3tIV4vY4JqVx40AQmF8KgKXi2ZE4vSO1RUoB-s9R3CUyloRLrKFQJNCu-m3xg-MDssKTQ5GICpZAgJ0qVOp5ilWOZvtca*4/lowassa.jpg)
LOWASSA ARUDISHA FOMU ZA URAIS NEC
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/LOWASA-2.jpg)
LOWASSA ARUDISHA FOMU ZA KUWANIA URAIS CHADEMA