Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NI WATAYARISHAJI, NI WAIMBAJI

Mwimbaji na Mtayar-ishaji wa Studio ya Sharobaro, Bob Junior. PAMOJA na kufanya kazi ya kutayarisha ngoma kali za wasanii mbalimbali wa Bongo Fleva lakini hata wao pia wamewahi kusikia na wanasikika kwenye nyimbo zao au walizoshirikishwa. Over the Weekend inakumegea baadhi yao; Mtayarishaji wa muziki wa Bongo Fleva, rapa, Mensen Selekta. JERRY BONIFACE ‘MESEN SELEKTA’ Ni mtayarishaji wa muziki wa Bongo Fleva, rapa,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Watayarishaji filamu nao waibuka

Lile sakata la kushushwa kwa bei za filamu, limeingia katika sura mpya baada ya watayarishaji wa filamu nchini kujitokeza na kutoa malalamiko yao kwa Bodi ya Filamu, kuhusu kutoshirikishwa katika vikao vinavyoendelea.

 

10 years ago

GPL

WASAMBAZAJI NA WATAYARISHAJI WA FILAMU NCHINI UTATA MTUPU

Baadhi ya waandaji wa filamu, Chiki Mchoma (kushoto), Wastara  na Jimmy Mafufu. Msanii Bond bin Suleman akichangia hoja. KUFUATIA baadhi ya wadau kutangaza kushusha bei ya filamu  nchini, baadhi ya wasanii, wasambazaji na watayarishaji wamejikuta wakigawanyika huku wengine wakionekana kukubali na wengine kupinga kitendo hicho.
Leo… ...

 

9 years ago

Bongo5

Enrico aeleza faida na hasara za kuwepo watayarishaji wengi wa muziki

Mtayarishaji mkongwe wa muziki hapa nchini, Enrico Figueiro wa studio za Sound Crafters, amezitaja faida na hasara zilizojitokeza kutokana na kuongezeka kwa watayarishaji wa muziki. Enrico amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio kuwa wasanii wamenufaika zaidi lakini muziki umeshuka kiwango. “Watayarishaji wa muziki wa sasa wengi ni vijana na hali ya computerized […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Nisha Awapasha Watayarishaji wa filamu na Mastaa wa Bongo Movies, Yeye Aonyesha Njia

Hili naomba niwaulize ma- producers, mastaaa wengine,na mashabiki wote.. hivi mnajua kuna vipaji sana nje ya wanaojiita mastaa ila bado hawajapata nafasi??

Hivi ni kubaniwa ama nini hadi wengine hawaonekani? Kama sisi tungebaniwa tungetoka?  Hebu tuacheni maringo na kusaidia wenye uhitaji .

Mnayemuona juu hapo (Pichani) anaitwa Jenifer Temu picha tu jinsi alivyovaa uhusika inajieleza ni kwa jinsi gani amevaa uhusika kwenye filamu ya Mtaa kwa Mtaa, si huyo tu wapo wengi katika wale 50...

 

9 years ago

Bongo5

COSOTA yaalika wasanii na watayarishaji wa muziki kwenye semina ya kujadili malipo ya matumizi ya kazi zao

Muziki Pesa

Chama cha Hakimiliki Tanzania (COSOTA) kimewaalika wasanii wa muziki pamoja na watayarishaji katika semina ya kujadidi malipo ya matumizi ya kazi zao.
Muziki Pesa

Semina hiyo itafanyika tarehe 25 siku ya jumatano, saa 4 asubuhi katika ukumbi wa Tanzania Commission For Science and Technology (COSTECH) Kijitonyama (Sayansi) jijini Dar es salaam.

Pia kwa msanii wa muziki pamoja na watayarishaji ambayo watapenda kushiriki wanatakiwa kuthibitisha uwepo wako kwa kutuma ujumbe mfupi (SMS) kwenda kwenye namba...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waimbaji Injili waaswa

WAIMBAJI wa muziki wa Injili wametakiwa kurudia umoja na upendo aliowaachia Yesu ikiwa ni pamoja na kuzidi kumtumikia Mungu, kwani hawajui vilivyo mbele yao. Kauli hiyo ilitolewa hivi karibuni na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waimbaji Injili waaswa wajitafakari

MWIMBAJI chipukizi wa nyimbo za injili, Upendo Mollel amewaasa waimbaji wenzake nchini kujitafakari na kujipima kuwa mwaka huu watamtumikia Mungu kwa viwango gani. Akizungumza na Tanzania Daima katika mahojianio maalumu,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waimbaji Injili waliofunika 2013

KAMA utakuwa sahihi, huwezi kuwataja waimbaji wa nyimbo za Injili nchini na Afrika Mashariki bila kuyataja baadhi ya majina kutokana na mvuto na ubora wa kazi zao sokoni. Miongoni mwao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani