NI WATAYARISHAJI, NI WAIMBAJI
![](http://api.ning.com:80/files/ge9WkNua4ToFKZJpDh8R1Sy-r5uoL5JFlsDnvkde-2n5mqjCtPzhRP6n7UI4mdsFcg1ZzgbgMle9HrZu5shQRLtmhEtdIh7M/BobJuniorbahashasha1.jpg?width=650)
Mwimbaji na Mtayar-ishaji wa Studio ya Sharobaro, Bob Junior. PAMOJA na kufanya kazi ya kutayarisha ngoma kali za wasanii mbalimbali wa Bongo Fleva lakini hata wao pia wamewahi kusikia na wanasikika kwenye nyimbo zao au walizoshirikishwa. Over the Weekend inakumegea baadhi yao; Mtayarishaji wa muziki wa Bongo Fleva, rapa, Mensen Selekta. JERRY BONIFACE ‘MESEN SELEKTA’ Ni mtayarishaji wa muziki wa Bongo Fleva, rapa,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Watayarishaji filamu nao waibuka
10 years ago
GPLWASAMBAZAJI NA WATAYARISHAJI WA FILAMU NCHINI UTATA MTUPU
9 years ago
Bongo504 Sep
Enrico aeleza faida na hasara za kuwepo watayarishaji wengi wa muziki
10 years ago
Bongo Movies12 May
Nisha Awapasha Watayarishaji wa filamu na Mastaa wa Bongo Movies, Yeye Aonyesha Njia
Hili naomba niwaulize ma- producers, mastaaa wengine,na mashabiki wote.. hivi mnajua kuna vipaji sana nje ya wanaojiita mastaa ila bado hawajapata nafasi??
Hivi ni kubaniwa ama nini hadi wengine hawaonekani? Kama sisi tungebaniwa tungetoka? Hebu tuacheni maringo na kusaidia wenye uhitaji .
Mnayemuona juu hapo (Pichani) anaitwa Jenifer Temu picha tu jinsi alivyovaa uhusika inajieleza ni kwa jinsi gani amevaa uhusika kwenye filamu ya Mtaa kwa Mtaa, si huyo tu wapo wengi katika wale 50...
9 years ago
Bongo523 Nov
COSOTA yaalika wasanii na watayarishaji wa muziki kwenye semina ya kujadili malipo ya matumizi ya kazi zao
![Muziki Pesa](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Muziki-Pesa-300x194.jpg)
Chama cha Hakimiliki Tanzania (COSOTA) kimewaalika wasanii wa muziki pamoja na watayarishaji katika semina ya kujadidi malipo ya matumizi ya kazi zao.
Semina hiyo itafanyika tarehe 25 siku ya jumatano, saa 4 asubuhi katika ukumbi wa Tanzania Commission For Science and Technology (COSTECH) Kijitonyama (Sayansi) jijini Dar es salaam.
Pia kwa msanii wa muziki pamoja na watayarishaji ambayo watapenda kushiriki wanatakiwa kuthibitisha uwepo wako kwa kutuma ujumbe mfupi (SMS) kwenda kwenye namba...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Waimbaji Injili waaswa
WAIMBAJI wa muziki wa Injili wametakiwa kurudia umoja na upendo aliowaachia Yesu ikiwa ni pamoja na kuzidi kumtumikia Mungu, kwani hawajui vilivyo mbele yao. Kauli hiyo ilitolewa hivi karibuni na...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Waimbaji Injili waaswa wajitafakari
MWIMBAJI chipukizi wa nyimbo za injili, Upendo Mollel amewaasa waimbaji wenzake nchini kujitafakari na kujipima kuwa mwaka huu watamtumikia Mungu kwa viwango gani. Akizungumza na Tanzania Daima katika mahojianio maalumu,...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Waimbaji Injili waliofunika 2013
KAMA utakuwa sahihi, huwezi kuwataja waimbaji wa nyimbo za Injili nchini na Afrika Mashariki bila kuyataja baadhi ya majina kutokana na mvuto na ubora wa kazi zao sokoni. Miongoni mwao...