Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nigeria kulegeza msimamo wasichana waachiwe

SERIKALI ya Nigeria inasema kuwa iko tayari kuzingatia mbinu zote, zitakazowezesha kuachiliwa huru na salama kwa zaidi ya wasichana 200 wa shule, waliotekwa nyara na wanamgambo wa Kiislamu wa Boko Haram.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Walimu Kenya wakataa kulegeza msimamo

Walimu watishia kuendelea na mgomo ikiwa hawatapewa nyongeza ya mshahara

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Serikali zimeanza kulegeza masharti ya kukabiliana maambukizi, Je kulegeza masharti ni hatari kiasi gani?

Nchini Uingereza watu wameanza kurejelelea shughuli zao za kawaida, watu kukutana, baadhi ya watoto wanarejea shuleni, maeneo ya maonyesho ya magari yanafunguliwa, na masoko kufunguliwa tena.

 

11 years ago

BBCSwahili

Nigeria yashinikizwa kuwaokoa wasichana

Mwanaharakati, Malala Yousafzai kukutana na rais Goodlack Jonathan kushinikiza hatua zaidi ili kuwakoa wasichana waliotekwa na kundi la Boko Ha

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria yawakumbuka wasichana wa Chibok

Nigeria imeadhimisha siku mia tano tangu wasichana wa shule ya upili ya Chibok walipotekwa nyara na wapiganaji wa Boko Haram

 

11 years ago

BBCSwahili

Wito wa kuwaokoa wasichana Nigeria

Mashambulio ya wapiganaji wa Boko Haram na wasiwasi wa kiusalama yameugubika mkutano wa uchumi duniani Nigeria.

 

11 years ago

Habarileo

Alaani utekaji wasichana Nigeria

Balozi Seif Ali IddMAKAMU wa Pili wa Rais Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd amesema Serikali inaungana na Chama cha Majaji Wanawake Duniani (IAWJ) kulaani vitendo vya ukatili na utekaji kwa wasichana nchini Nigeria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Msako wa wasichana 100 Nigeria

Vikosi vya usalama katika jimbo la Borno vinawatafuta wasichana wa shule waliotekwa na watu wanaoshukiwa kua wa kundi hilo hilo

 

11 years ago

BBCSwahili

Msako wa wasichana waendelea Nigeria

Maafisa wa usalama, wawindaji na walinzi wanaendelea kuwatafuta karibu wasichana 100 wa shule waliotekwa nyara kaskazini mashariki mwa Nigeria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel yasaidia Nigeria kuwatafuta wasichana

Kikosi cha Israel cha kukabiliana na ugaidi kinatarajiwa kujiunga na juhudi za kuwatafuta zaidi ya wasichana 200 waliotekwa nyara nchini Nigeria na wanamgambo wa kundi la Boko Haram.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani