Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walimu Kenya wakataa kulegeza msimamo

Walimu watishia kuendelea na mgomo ikiwa hawatapewa nyongeza ya mshahara

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Nigeria kulegeza msimamo wasichana waachiwe

SERIKALI ya Nigeria inasema kuwa iko tayari kuzingatia mbinu zote, zitakazowezesha kuachiliwa huru na salama kwa zaidi ya wasichana 200 wa shule, waliotekwa nyara na wanamgambo wa Kiislamu wa Boko Haram.

 

10 years ago

BBCSwahili

Walimu wakataa kurudi kazini

Walimu ambao walilitoroka eneo la kazkazini mashariki mwa Kenya wakihofia mashambulizi kutoka kwa kundi la wapiganaji wa Al shabaab wamekataa kurudi eneo hilo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Serikali zimeanza kulegeza masharti ya kukabiliana maambukizi, Je kulegeza masharti ni hatari kiasi gani?

Nchini Uingereza watu wameanza kurejelelea shughuli zao za kawaida, watu kukutana, baadhi ya watoto wanarejea shuleni, maeneo ya maonyesho ya magari yanafunguliwa, na masoko kufunguliwa tena.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Kenya yabadili msimamo wake wa kuwarudisha nyumbani wanafunzi waliopo Wuhan China

Serikali ya Kenya imesema kwamba haitawarudisha nyumbani wanafunzi 75 wa Kenya walio mjini Wuhan China kufuatia mlipuko wa virusi vya Corona

 

10 years ago

Habarileo

Walimu Watanzania wakamatwa Kenya

WALIMU wawili wapya wa Shule ya Msingi Sang’ang’a kata ya Pemba tarafa ya Inchugu wilayani Tarime, mkoani Mara wanashikiliwa nchini Kenya kwa kosa la kuingia nchini humo bila kuwa na kibali.

 

9 years ago

BBCSwahili

Walimu wasitisha mgomo Kenya

Mgomo wa walimu nchini Kenya hatimaye umesitishwa.Walimu sasa watarudi shuleni ili kuendelea kufunza siku ya jumatatu.

 

9 years ago

Mtanzania

Walimu Kenya kurudi kazini leo

sossion-strikeNAIROBI, KENYA

VYAMA vya walimu nchini vimetii agizo la mahakama, na hivyo kutangaza kusitisha mgomo na kuwaomba walimu kuripoti kazini kuanzia leo.

Katibu Mkuu wa Chama cha Taifa cha Walimu (KNUT), Wilson Sossion aliwataka walimu wote waliokuwa kwenye mgomo kurudi darasani akisema kuwa leo ni mwanzo mpya wa muhula wa tatu.

Aidha Chama cha Walimu wa Taasisi za Kati (KUPPET) pia kiliwaomba wanachama wake kurejea kazini.

Hata hivyo, Sossion alisema bado wana hofu kuwa serikali inalenga...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahakama yasitisha mgomo wa walimu Kenya

Mgomo wa walimu nchini Kenya umesitishwa baada ya agizo la mahakama kwamba walimu warejee kazini wiki ijayo ikiwa afueni kwa wanafunzi

 

9 years ago

BBCSwahili

Kenya:Walimu kupewa nyongeza ya asilimia 60

Walimu nchini Kenya wana kila la wanatarajiwa kupokea nyongeza ya mshahara kwa hadi asilimia 60.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani