Nigeria na Iran ni sare tasa
Mabingwa wa Afrika Nigeria ilitoka sare Tasa na Iran katika mechi yao ya kwanza huko Brazil
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili17 Jun
Iran na Nigeria zaambulia sare tasa
11 years ago
BBCSwahili23 Apr
Chelsea na Atletico sare tasa UEFA
11 years ago
BBCSwahili16 Jun
9 years ago
Mtanzania07 Sep
Kocha Nigeria afurahia sare na Stars
*Akiri mambo yalikua magumu upande wao
*Mkwasa asema timu yake imekosa uzoefu tu
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Nigeria ‘Super Eagles’, Sunday Oliseh, amefurahia matokeo ya suluhu katika mchezo wa kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) dhidi ya Taifa Stars ya Tanzania, akieleza wazi kuwa maji yalikua shingoni kwa upande wao.
Stars na Nigeria ambazo zimepangwa kundi G kwenye michuano hiyo, juzi zilitoshana nguvu na kuambulia pointi...
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/75559000/jpg/_75559709_iranteamphoto476796263.jpg)
World Cup: Iran v Nigeria
9 years ago
BBCSwahili04 Jan
Iran yaitaka Nigeria kumwachilia kiongozi wa Kishia
11 years ago
TheCitizen06 Jul
It’s wrong for Nigeria to seek Iran’s hand on housing
10 years ago
GPLNGWASUMA, TWANGA ZILIVYOMENYANA JANA NA KUTOKA ‘SARE=SARE’