Nina mashairi makali kuliko Rabbit, Kaligraph na Octopizzo wakiunganishwa — Juliani
Rapper wa gospel nchini Kenya, Juliani ameanzisha mjadala mkubwa kwenye mtandao wa Twitter baada ya kudai kuwa ni msanii pekee mwenye mashairi makali zaidi kuliko Rabbit, Kaligraph na Octopizzo wakiunganishwa.
Pamoja na kuonekana wazi kuwa Juliani alitweet ujumbe huo kama utani na kuchangamsha genge, kauli yake imezua mjadala mkubwa ikiwa pamoja na rappers hao kumjibu.
Octopizzo, Rabbit na Kaligraph
Haya ni mazungumzo yao.
The only one with more bars than the three combined is me!!...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo529 Oct
Video: Juliani — Wezesha Dada Inua Jamii
10 years ago
Bongo527 Oct
Chris Brown ana kipaji sawa na Michael Jackson na Tupac wakiunganishwa pamoja — Nick Cannon
11 years ago
BBC
The tale of Mandela's rabbit
11 years ago
BBC
Row over rabbit in Mandela statue
11 years ago
Bongo505 Sep
New Video: Rabbit Kaka Sungura — Uko tu Sawa
11 years ago
Bongo509 Oct
Rich Mavoko kufanya collabo na rapper Rabbit wa Kenya
10 years ago
Mwananchi07 Sep
Mashairi ya Muyaka
11 years ago
Bongo511 Aug
New Video: Octopizzo f/ M.I — Salute Me