Mashairi ya Muyaka
Nimeandika maelezo mafupi kuhusu maisha ya washairi maarufu wa Kiswahili na mchango wao katika kukienzi na kukiimarisha Kiswahili. Â Washairi maarufu wa Tanzania niliotoa maelezo yao ni Sheikh Shaaban Robert, Kaluta Amri Abeid, Saadan Abdu Kandoro, Mathias Eugen Mnyampala na Mohamed Said Abdallah. Hawa ni wachache tu nilioweza kuwapata lakini wako wengine wengi. Washairi hawa wamechangia sana katika maendeleo ya Kiswahili kwani maandishi yao yanahusu masuala ya dini, siasa, wasia na...
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Utungaji wa mashairi ya Kiswahili
11 years ago
Bongo512 Jul
Video: Mashairi ya wimbo mpya wa Izzo Bizness ‘Walalahoi’
9 years ago
Bongo527 Oct
Tazama video ya mashairi ya wimbo wa Jors Bless ‘A Moment’
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wdk-9Zfi1k6V01nAgTUXFqKYFmLJeORpb7TDQZHptRliSyi9IhO2mcWtJs3CUaaDKiVoBOe9nJQvG-hg7fpFaFrSRJwVYfoz/2A3F8029000005783150288imagem20_1436126767798.jpg?width=650)
BOBBY BROWN AOMBA MSAMAHA KWA KUSAHAU MASHAIRI
9 years ago
Bongo514 Dec
Young Killer adai mashairi magumu yanawaponza rappers wengi
![msodoki youngkiller](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/04/msodoki-youngkiller-300x194.jpg)
Young Killer amesema nyimbo nyingi za wasanii wa hip hop zimeshindwa kufanya vizuri kutokana na kuwa na mashairi magumu ambayo humwitaji msikilizaji kutumia muda mwingi katika kutafakari mashairi mpaka kuelewa.
Young Killer ameiambia Bongo5 kuwa, hali hiyo inawafanya wasanii ambao walikuwa na style tofauti ya utunzi, kubadilika ili kwendana na mahitaji ya soko.
“Ngoma zenye mashairi mepesi ni rahisi sana kupenya kwa sababu huchukua muda mfupi shabiki kuishika na kulewa, wanaelewa kwa...
9 years ago
Bongo525 Sep
Drake azungumzia tetesi za kuandikiwa mashairi kwa mara ya kwanza
9 years ago
Bongo507 Sep
Nimesikitishwa na uzushi kuwa huwa naandikiwa mashairi yangu — Stamina
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGgY9t1iQR5IFOyxqFDHnWEq1RIUzNZZ085slwMyulArmIacvRUIoLPDoqLh0Fju5Ih*dQqPE9l56fZ6Q-cb5rbl/CHRISBROWN.jpg?width=650)
CHRIS BROWN AICHORA LAMBORGHINI YAKE MASHAIRI YA WIMBO WA 2PAC
9 years ago
Bongo511 Nov
Nina mashairi makali kuliko Rabbit, Kaligraph na Octopizzo wakiunganishwa — Juliani
![Juliani_650](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Juliani_650-300x194.jpg)
Rapper wa gospel nchini Kenya, Juliani ameanzisha mjadala mkubwa kwenye mtandao wa Twitter baada ya kudai kuwa ni msanii pekee mwenye mashairi makali zaidi kuliko Rabbit, Kaligraph na Octopizzo wakiunganishwa.
Pamoja na kuonekana wazi kuwa Juliani alitweet ujumbe huo kama utani na kuchangamsha genge, kauli yake imezua mjadala mkubwa ikiwa pamoja na rappers hao kumjibu.
Octopizzo, Rabbit na Kaligraph
Haya ni mazungumzo yao.
The only one with more bars than the three combined is me!!...