Chris Brown ana kipaji sawa na Michael Jackson na Tupac wakiunganishwa pamoja — Nick Cannon
Nick Cannon anaamini kuwa Chris Brown ana kipaji ambacho ni sawa na ukiwaunganisha Michael Jackson na Tupac. Kupitia Instagram Cannon alisema: Damn right I said it! The level of talent, passion, and artistic ability that this young man possesses makes @ChrisBrownOfficial a true legend amongst legends. A lot of times we don’t realize or acknowledge […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo527 Nov
Nick Cannon na Mariah Carey kula Christmas pamoja licha ya kuachana
Nick Cannon na mke wake wa zamani Mariah Carey watakuwa pamoja kwenye sikukuu ya Christmas. Wawiili hao waliofungua ndoa 2008, walitangaza kutengena mapema mwaka huu, lakini Nick amethibitisha kuwa hilo haliwezi kumzuia kutumia muda na Mariah kwenye sikukuu hiyo pamoja na watoto wao mapacha Monroe na Moroccan. Mapema wiki hii pia, Nick alikanusha kuwahi kuwa […]
11 years ago
Bongo512 Jul
Picha: Drake na Chris Brown wamaliza beef yao, waonekana studio pamoja
Miaka michache iliyopita rapper Drake na Chris Brown walikua ni maadui wasiopikika chungu kimoja kutokana na penzi la mtoto Rihanna ambaye amewahi kuwa mpenzi wa kila mmoja wao. Picha mpya inayowaonesha Drake na Chris Brown wakiwa studio ni kiashirio tosha cha kumalizika kwa beef yao iliyopelekea ugomvi uliotokea kwenye club moja mwaka 2012. Kwa mujibu […]
10 years ago
Bongo518 Sep
Chris Brown azungumzia uhusiano wake na Karrueche na kuthibitisha kuwa wako pamoja na hawakuachana
Hivi karibuni Chris Brown na girlfriend wake Karrueche Tran waliripotiwa kuachana kwa muda kabla hawajarudiana tena, habari ambazo mara nyingi hua zinatolewa na vyanzo vya karibu na mastaa hao. Breezy amepata nafasi ya kusafisha kila kitu na kuthibitisha kuwa yeye na Karrueche wako vizuri licha ya kuwa walikuwa tayari wamethibitisha kwa picha mbalimbali za pamoja […]
10 years ago
Bongo512 Nov
Chris Brown na Trey Songz watangaza kuanza tour yao ya pamoja January, 2015
Mastaa wawili wa R&B, Chris Brown na Trey Songz wote kutoka Virginia, Marekani, baada ya kutease kwa muda mrefu hatimaye Jumatatu ya wiki hii wametangaza rasmi tarehe ya kuanza kwa tour yao ya pamoja. Breezy na Songz wanatarajia kuanza tour yao waliyoipa jina la ‘Between The Sheets’ January 28, 2015. Katika show yao ya kwanza […]
11 years ago
Bongo517 Jul
Video: Drake na Chris Brown waigiza pamoja kwenye ‘skit’ ya tuzo za ESPY 2014
Siku chache zilizopita Chris Brown na Drake walimaliza tofauti zao zilizodumu kwa muda mrefu, na kushare picha wakiwa studio pamoja. Ishara nyingine ya kuzika kabisa beef yao imeonekana jana (July 16) kwenye tukio la tuzo za michezo ‘2014 ESPY Award’ zilizofanyika The Nokia Theatre, Los Angeles, Marekani ambapo Drake na Chris Brown wameigiza kipande kidogo […]
9 years ago
Bongo526 Oct
Chris Brown na mzazi mwenzie waweka tofauti pembeni kumlea pamoja mtoto wao Royalty
Chris Brown na mzazi mwenzie, Nia Guzman wamemaliza tofauti zao ili kushirikiana pamoja kumlea mtoto wao, Royalty mwenye umri wa mwaka mmoja. Vyanzo vilivyo karibu na Chris na Nia vimeuambia mtandao wa TMZ kuwa wawili hao hivi karibuni walikubaliana kumlea mtoto wao kwa amani. Wameamua kumpeleka pamoja kwenye mazoezi ya kuogelea, shuleni na michezo mbalimbali. […]
10 years ago
Bongo521 Aug
Mariah Carey na Nick Cannon watengana, talaka inafuata
Imebainika kuwa Mariah Carey na Nick Cannon wametangana tangu May mwaka huu na wamekuwa wakiishi mbalimbali. Mtandao wa TMZ umedai kuwa mawakili wa masuala ya talaka wamekuwa wakijadiliana nao kuhusiana na kugawana mali na nani ataishi na watoto wao na kwamba talaka imekamilika. Vyanzo vilivyo karibu na wanandoa hao vimedai kuwa Mariah na Nick wamekuwa […]
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-hlCsnJSFA2Y/VDQmJIpL4MI/AAAAAAADI5U/sq5AhicBD5g/s72-c/1412349144019_wps_24_Nick_Cannon_and_Mariah_Ca.jpg)
ALICHOKIFANYA NICK CANNON KUFUTA JINA LA MARIAH CAREY MGONGONI
![](http://3.bp.blogspot.com/-hlCsnJSFA2Y/VDQmJIpL4MI/AAAAAAADI5U/sq5AhicBD5g/s1600/1412349144019_wps_24_Nick_Cannon_and_Mariah_Ca.jpg)
Nick Cannon na Mariah Carey wakiwa kwenye mahaba nitoe roho Nick alijichora jina la Mariah mgongoni kuashiria kuwa mahaba nitoe roho yake yamefika kikomo. Sasa basi ni miezi inakatika toka wanandoa hao wamwagane kiroho baridi ni pale Mariah Carey alivyoshitukia kuwa Nick alikuwa na michepuko ya hapa na pale. Sasa jitiririshe na alichokifanya Nick kufuta jina la mama watoto wake huyo alilokuwa ameliandika mgongini kwake. Na alichokisema Mariah Carey live bila king'amuzi cha Azam hapa chini.
![](http://2.bp.blogspot.com/-yOxP3TTlNMs/VDQmJArC17I/AAAAAAADI5Q/uKhn0Iwg3wM/s1600/1412691346091_wps_1_UK_CLIENTS_MUST_CREDIT_AK.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XswnwlaLlAiOIuTPIM*BTKPRxBbSJLwj5BO0fxFRdxe*zMO8SdbniRRtnwzzKyBKXRmUcioZGGKLkLDGsu5TjFtj5CX6iplw/0313nickcannoncompletebacktattoolaunch3.jpg?width=650)
NICK CANNON AMFUTA ZAIDI MARIAH CAREY KWA TATTOO
Tattoo mpya ya Nick Cannon. Kushoto ni tattoo ya jina la Mariah Carey ikiwa mgongoni mwa Nick na kulia ni tattoo aliyochora baada ya kuachana naye. RAPPA, komedian na mwigizaji wa Marekani, Nicholas Scott "Nick" Cannon ameamua kumfutilia mbali mkewe wa zamani Mariah Carey kwa tattoo nyingine zaidi mgongoni mwake. Awali Nick Cannon (34) aliamua kufuta tattoo ya jina la mkewe Mariah Carey aliyeachana naye mwaka jana kwa tattoo ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10