Chris Brown na Trey Songz watangaza kuanza tour yao ya pamoja January, 2015
Mastaa wawili wa R&B, Chris Brown na Trey Songz wote kutoka Virginia, Marekani, baada ya kutease kwa muda mrefu hatimaye Jumatatu ya wiki hii wametangaza rasmi tarehe ya kuanza kwa tour yao ya pamoja. Breezy na Songz wanatarajia kuanza tour yao waliyoipa jina la ‘Between The Sheets’ January 28, 2015. Katika show yao ya kwanza […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Vijimambo
CHRIS BROWN AND TREY SONGZ- LIVE-OCT 17-HOWARD HOME COMING
ADVANCE TICKETS AND VIP PACKAGE CALL "DMK" @ 301-661-6207

11 years ago
Bongo512 Jul
Picha: Drake na Chris Brown wamaliza beef yao, waonekana studio pamoja
Miaka michache iliyopita rapper Drake na Chris Brown walikua ni maadui wasiopikika chungu kimoja kutokana na penzi la mtoto Rihanna ambaye amewahi kuwa mpenzi wa kila mmoja wao. Picha mpya inayowaonesha Drake na Chris Brown wakiwa studio ni kiashirio tosha cha kumalizika kwa beef yao iliyopelekea ugomvi uliotokea kwenye club moja mwaka 2012. Kwa mujibu […]
11 years ago
Bongo518 Sep
Chris Brown azungumzia uhusiano wake na Karrueche na kuthibitisha kuwa wako pamoja na hawakuachana
Hivi karibuni Chris Brown na girlfriend wake Karrueche Tran waliripotiwa kuachana kwa muda kabla hawajarudiana tena, habari ambazo mara nyingi hua zinatolewa na vyanzo vya karibu na mastaa hao. Breezy amepata nafasi ya kusafisha kila kitu na kuthibitisha kuwa yeye na Karrueche wako vizuri licha ya kuwa walikuwa tayari wamethibitisha kwa picha mbalimbali za pamoja […]
11 years ago
Bongo517 Jul
Video: Drake na Chris Brown waigiza pamoja kwenye ‘skit’ ya tuzo za ESPY 2014
Siku chache zilizopita Chris Brown na Drake walimaliza tofauti zao zilizodumu kwa muda mrefu, na kushare picha wakiwa studio pamoja. Ishara nyingine ya kuzika kabisa beef yao imeonekana jana (July 16) kwenye tukio la tuzo za michezo ‘2014 ESPY Award’ zilizofanyika The Nokia Theatre, Los Angeles, Marekani ambapo Drake na Chris Brown wameigiza kipande kidogo […]
11 years ago
Bongo521 Jul
Producer aliyewakutanisha Chris Brown na Drake na kumaliza beef yao aeleza jinsi ilivyokuwa
Kama unakumbuka siku chache zilizopita picha iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonesha Chris Brown na Drake wakiwa studio pamoja, ndio ilikuwa ishara ya kwanza ya kuzikwa kwa beef ya mastaa hao iliyodumu kwa muda mrefu. Producer aliyeshiriki kwa sehemu kubwa kuwapatanisha ma ex hao wa Rihanna siku hiyo aitwaye Mally Mall, amesema kuwa aliwaita Drake […]
10 years ago
Bongo526 Oct
Chris Brown na mzazi mwenzie waweka tofauti pembeni kumlea pamoja mtoto wao Royalty
Chris Brown na mzazi mwenzie, Nia Guzman wamemaliza tofauti zao ili kushirikiana pamoja kumlea mtoto wao, Royalty mwenye umri wa mwaka mmoja. Vyanzo vilivyo karibu na Chris na Nia vimeuambia mtandao wa TMZ kuwa wawili hao hivi karibuni walikubaliana kumlea mtoto wao kwa amani. Wameamua kumpeleka pamoja kwenye mazoezi ya kuogelea, shuleni na michezo mbalimbali. […]
10 years ago
Bongo527 Oct
Chris Brown ana kipaji sawa na Michael Jackson na Tupac wakiunganishwa pamoja — Nick Cannon
Nick Cannon anaamini kuwa Chris Brown ana kipaji ambacho ni sawa na ukiwaunganisha Michael Jackson na Tupac. Kupitia Instagram Cannon alisema: Damn right I said it! The level of talent, passion, and artistic ability that this young man possesses makes @ChrisBrownOfficial a true legend amongst legends. A lot of times we don’t realize or acknowledge […]
11 years ago
Bongo521 Aug
New Video: Trey Songz — What’s Best For You
Hii ni video mpya kutoka kwa Trey Songz ngoma inaitwa “What’s Best For You”
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania