Nini kiliikumba ndege ya Ujerumani?
Wakaguzi wa kifaransa wamesema wamefanikiwa kukipata kifaa cha kurekodia sauti na maneno kutoka katika kisanduku cheusi .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Ndege ya Ujerumani iliangushwa makusudi
Rubani wa ndege ya Ujerumani ilioanguka katika milima ya Alps nchini Ufaransa siku ya jumanne alitaka kuiharibu ndege hiyo
10 years ago
Vijimambo27 Mar
NDEGE YA UJERUMANI ILIANGUSHWA MAKUSUDI {UBUYU}
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/26/150326134546_andreas_lubitz_640x360_imagemretiradadotwitter_nocredit.jpg)
Rubani wa ndege ya kampuni ya Germanywings ilioanguka katika milima ya Alps nchini Ufaransa siku ya jumanne alitaka kuiharibu ndege hiyo kulingana na maafisa wa Ufaransa.Kiongozi wa mashtaka katika mji wa Mersaille ,Brice Robin, akizungumza kulingana na habari aliyopata katika kijisanduku cha kunasa sauti katika ndege amesema kuwa rubani huyo alikuwa ndani ya chumba cha kuendesha ndege pekee.Rubani huyo kimakusudi aliishusha ndege hiyo kwa kasi huku rubani mwenza akiwa...
10 years ago
BBCSwahili05 Apr
Je,sheria za ndege Ujerumani zina dosari?
Shirika la usalama wa safari za ndege Ulaya lilielezea wasi wasi wake kuhusu kasoro za sheria za usafiri wa ndege Ujerumani
10 years ago
BBCSwahili24 Mar
Ndege ya Ujerumani yaanguka nchini Ufaransa
Ndege ya shirika la ndege la Ujerumani imeanguka katika eneo la milima ya Alps nchini Ufaransa ikiwa na abiria 142 na wahudumu 6
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qhmaNpdkdBuYd3JLPfVeR*rwCX*QWNccWNxS*sryCMGCxEYnuV7f9eKLRmGs8jRx6HN9Dz6DXH6vzootDsLQPYkh4eVh1vCA/GermanWings1.jpg?width=650)
NDEGE YA UJERUMANI YAANGUKA IKIWA NA WATU 150
Ndege ya shirika la ndege la Germanwing inayofanana na ile iliyoanguka. NDEGE ya abiria inayomilikiwa na shirika la ndege la Germanwing Airbus A320 imeanguka katika milima ya Alps nchini Ufaransa. Ndege hiyo ilikuwa imebeba abiria 142 na wahudumu sita ikitokea jijini Barcelona nchini Uhispania kuelekea Duesseldorf, Ujerumani. Ndege hiyo inayomilikiwa na shirika la ndege la Ujerumani Lufthansa chini ya nembo Germanwings...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*9fn6zx1i0LEcGaOI6IsTVu9MaAfcNj2kmG4UnAeJkq2PrsUc*34PCtDoPxYv8Dn0Y8Dg37QxZHtU-2F-0pmfX642e4e0roe/ndegeyaujerumani4.jpg?width=650)
NDEGE YA UJERUMANI: ZOEZI LA UTAFUTAJI MIILI LAENDELEA, KINASA SAUTI CHAPATIKANA KIKIWA KIMEHARIBIKA
Baadhi ya mabaki ya ndege ya Ujerumani aina ya Airbus A320 baada ya ajali. Helkopta ikielekea eneo la tukio kuendelea na uchunguzi. Kinasa sauti cha ndege hiyo kilichopatikana kikiwa kimeharibika. ZOEZI la utafutaji miili ya watu 150 waliopoteza maisha…
10 years ago
Vijimambo28 Dec
KUNA NINI AIRASIA NDEGE NYINGINE IKIWA NA ABIRIA 160 YA POTEA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/28/141228042821_airasia_640x360_afp_nocredit.jpg)
Shirika la ndege la AirAsia linasema kuwa limeanzisha shughuli ya kuitafuta ndege yake iliyopoteza mawasiliano na kituo cha kuelekeza safari za ndege dakika 45 baada ya kuondoka kwenye mji wa Surabaya nchini Indonesia.Zadi ya watu 160 walikuwa ndani ya ndege hiyo ya Airbus 320 iliyokuwa safarini kwenda nchini Singapore.
Wengi wa abiria waliokuwa ndani ya ndege hiyo wanatoka nchini Indonesia.
Msemaji wa wizara ya usafiri nchini Indonesia amesema mawasiliano yalipotea kati ya...
10 years ago
Vijimambo28 Mar
HIZI HAPA NDIYO NYATU NYATU ZA RUBANI WA NDEGE ILIYOANGUKA HUKO UJERUMANI
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/03/27/16/270CB06B00000578-3013743-image-m-93_1427474117272.jpg)
Rubani alikuwa na matatizo ya akili
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/27/150327101217_computer_640x360_getty_nocredit.jpg)
Viongozi wa mashtaka nchini Ujerumani wanasema kuwa wamepata ushahidi unaosema kwamba rubani wa ndege ya Ujerumani ilioanguka katika milima ya ALPS na kuwaua abiria 150 alikuwa amemficha mwajiri wake kuhusu ugonjwa anaougua.
Maafisa hao pia wamesema kuwa walipata kijikaratasi cha ugonjwa kilichokuwa kimekatwa ambacho kilimtaka rubani huyo kupumzika siku ya kuanguka kwa ndege hiyo.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/27/150327100302_lubitz_parents_house_640x360_ap_nocredit.jpg)
Hatahivyo hawakupata ujumbe wowote...
10 years ago
Vijimambo05 Mar
NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania