NIONAVYO: Chadema kumbukeni, lisemwalo lipo
>Hakuna ubishi kwamba kwa siasa za Tanzania, Chadema ndiyo chama kikubwa cha upinzani kinachokinyima usingizi chama tawala CCM.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies29 Dec
Lisemwalo..:Mahusiano ya Wastara na Bond
Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka huu wa 2014 niameona sio mbaya nikawapa ubuyu huu, wa kile kinachodaiwa kuwa mwigizaji wa filamu za hapa bongo, Wastara Juma sasa hivi anatoka na mtangazaji na mwigizaji Bond Bin Sinnan.
Mbali na wawili hawa kuwa na mahusiano ya kizazi, kwani walishaigiza pamoja filamu kama “Uamini Fudhaifu” iliyotoka mwaka huu ambayo ina dhima ya mapenzi na vichekesho, inasemekana kwamba wawili hawa wameshavuka mstari na kutengeneza mausianao ya mtu na mpenzi...
10 years ago
BBCSwahili12 Nov
Baba Mtakatifu:G20 kumbukeni maskini
11 years ago
Mwananchi22 Feb
NIONAVYO: Hili la ujangili ukweli unauma
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Zqeuj5ZwNG8/Xs5sVwcsfkI/AAAAAAALrvE/_oxuBiW5QBoku_TH5v7rT3VrmCs_jCo0wCLcBGAsYHQ/s72-c/cq5dam.thumbnail.cropped.750.422.jpeg)
MTAZAMO/HOJA/NIONAVYO- TAFITI KATIKA VYUO VYA KILIMO KUTIMIZA ADHMA YA UCHUMI WA VIWANDA
SEKTA ya Kilimo nchini imeendelea kuwa ni Sekta muhimu katika maendeleo ya uchumi wa wananchi na Taifa kwa ujumla hususan katika wakati huu tunapojizatiti kufikia uchumi wa viwanda. Katika kipindi cha miaka mitano, Pato la Taifa linalotokana na kilimo, kwa kutumia bei za Mwaka 2015 limeongezeka kwa asilimia 17 kutoka Tsh. Trilioni 25.2 Mwaka 2015 hadi Tsh. Trilioni 29.5 Mwaka 2019. Vilevile, sekta imeendelea kutoa ajira kwa Watanzania kwa...
11 years ago
BBCSwahili25 Feb
Jeshi la Nigeria 'lipo thabiti'
10 years ago
Mtanzania18 Feb
Filikunjombe: Ziwa Nyasa lipo salama
Na Mwandishi Wetu, Ludewa
MBUNGE wa Ludewa, Deo Filikunjombe (CCM), amewataka wananchi wanaoishi mwambao wa Ziwa Nyasa kufanya shughuli zao, kwani mazungumzo ya kutafuta amani kati ya Tanzania na Malawi yanakwenda vizuri.
Kauli ya mbunge huyo imekuja huku nchi hizo zikiwa zimefikishana mbele ya jopo la viongozi wastaafu wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), chini ya mwenyekiti wake Rais Mstaafu wa Msumbuji, Joachim Chisano.
Hayo aliyasema juzi katika mkutano wa hadhara...
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
Tatizo la ukatili wa kijinsia bado lipo
HIVI karibuni vyombo vya habari vimeripoti vitendo vya uka tili wa kijinsia mkoani Kagera kuongezeka. Taarifa hiyo iliyotolewa na Jeshi la Polisi ilieleza kuwa ukatili wa kijinsia umeongezeka kutoka matukio...
10 years ago
Habarileo22 Sep
Pinda: Bunge la Katiba lipo kisheria
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesisitiza kuwa hakuna sababu ya msingi ya kusitisha Bunge Maalumu la Katiba kwa kuwa mchakato wake unaoendelea sasa upo kisheria na ameomba waumini wa dini na viongozi wao kuombea ili uweze kumalizika kwa usalama.