Nitatumikia taifa, wananchi — Masaju
RAIS Jakaya Kikwete amemwapisha George Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), huku mwanasheria huyo akiahidi uadilifu katika utumishi wake kwa wananchi na taifa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-KmEZK3uDRHI/VMZyc0nUGFI/AAAAAAAAM5o/391cb9-QvlA/s72-c/IMG-20150126-WA0033.jpg)
MWENYEKITI WA BAVICHA TAIFA CHADEMA AWAHUTUBIA WANANCHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-KmEZK3uDRHI/VMZyc0nUGFI/AAAAAAAAM5o/391cb9-QvlA/s640/IMG-20150126-WA0033.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mNSYOex0h8I/VMZydChCucI/AAAAAAAAM5s/94QaMrAFvSA/s640/IMG-20150126-WA0034.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PHKLzrzCKko/VMZydPzGpgI/AAAAAAAAM5w/KIh5-jkCjig/s640/IMG-20150126-WA0035.jpg)
Wananchi wa wilaya ya mufindi mkoani Iringa wamelalamikia ugumu wa...
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Hakuna taifa linaloendelea bila wananchi kulipa kodi
“IMEKUWA hulka kwa wafanyabiashara kuona sifa kukwepa kulipa kodi na hali inakuwa mbaya zaidi pale wananchi watakapokosa uzalendo katika suala zima la ulipaji kodi.” Hiyo ni kauli ya Meneja Msaidizi...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TJQ7QH8ZCmU/VhzpUGIVi1I/AAAAAAAH_ug/3Kp63Lglsh8/s72-c/1.jpg)
WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA YAENDELEA NA JUHUDI ZA KUWAINUA WANANCHI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-TJQ7QH8ZCmU/VhzpUGIVi1I/AAAAAAAH_ug/3Kp63Lglsh8/s640/1.jpg)
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2013/12/Picha_no_2.jpg?width=640)
POSHO KWA WAWAKILISHI WA WANANCHI NI KIKWAZO CHA MAENDELEO YA TAIFA
10 years ago
IPPmedia06 Jan
Masaju sworn in as AG
IPPmedia
IPPmedia
President Jakaya Kikwete swears in George Mcheche Masaju as Attorney General at State House in Dar es Salaam yesterday. The newly appointed Attorney General, George Mcheche Masaju was yesterday sworn in to succeed Fredrick Werema who ...
AG asks for time to study contractsDaily News
Kikwete appoints new attorney general, TANESCO chairpersonSabahi Online
Masaju is the newly appointed Attorney Generalspyghana.com
AllAfrica.com
all 8
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-bPVO-wKCjWk/VFNmtBqwZDI/AAAAAAADL8U/hL-6Lq0pvM4/s72-c/Uwezeshaji.jpg)
BARAZA LA TAIFA LA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI LACHOCHEA UBORA WA UTENGENEZAJI SAMANI NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-bPVO-wKCjWk/VFNmtBqwZDI/AAAAAAADL8U/hL-6Lq0pvM4/s1600/Uwezeshaji.jpg)
KAMPUNI ya Furniture Centre (FCDL), na Shirikisho la Watengenezaji Samani Nchini (TAWOFE), wamesaini makubaliano (MoU) kuongeza ubora wa bidhaa za samani zinazotengenezwa nchini na kuzifanya zipate soko ndani na nje ya nchi.Makubaliano haya yamekamilika ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi ikiwa ni mwendelezo wa Tathimini iliyofanywa na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kwa mkoa wa Dar es Salaam na mikoa ya jirani, katika kuiwezesha...
9 years ago
StarTV24 Nov
Serikali yakiri ukuaji wake wa uchumi wa taifa hauendani na hali halisi ya wananchi
Serikali imesema Uchumi wa Taifa umekuwa kwa asilimia saba kwa kipindi kilichopita ila kutokana na sera ya kuwekeza kwenye vitu visivyohusisha wananchi moja kwa moja kumepelekea ukuaji huo kutooneka wazi.
Kutokana na mchango wa pato la Taifa kwa Watanzania ambalo ni asilimia 70 waliopo vijijini na mashambani imebainika kuwa na mchango mdogo.
Katika maadhimisho ya siku ya Takwimu Afrika, kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha , Naibu katibu Mkuu Professa Aldof Mkenda amesema, kwa...
11 years ago
GPLNIGHT OF HOPE 2014: WANANCHI WAKIMIMINIKA NDANI YA UWANJA WA TAIFA MUDA HUU
5 years ago
MichuziTUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YAHAMASISHA WANANCHI KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamiiTUME ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) imesema imeridhishwa na muamko wa wananchi katika mikoa yote ambao wameuonesha kwenye uandikishaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.
Kwa mujibu wa NEC Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani walikuwa wamepewa fursa hiyo ya kujiandikisha kuanzia Februari 14 hadi Februari 20 mwaka huu ambapo wananchi wengi wa mikoa hiyo wamejitokeza huku wale ambao bado hawajiandikisha...