Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Niyonzima afanya vikao vizito usiku

NIYONZIMANEW4Kiungo mchezeshaji, Mnyarwanda, Haruna Niyonzima.

Hans Mloli
Dar es Salaam
SAKATA la Yanga kuvunja mkataba wa kiungo wake mchezeshaji, Mnyarwanda, Haruna Niyonzima bado halijazima na sasa limechukua sura mpya baada ya kiungo huyo kudaiwa kuanza mikakati ya kujitetea na kuepuka baadhi ya vipengele vinavyombana katika suala la fidia.

Yanga imefafanua kuwa Niyonzima anapaswa kuilipa pia timu hiyo Dola za Marekani 71,175 (zaidi ya shilingi milioni 150) kwa kuwa amekiuka baadhi ya vipengele vya...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

CCM yaanza vikao vizito Dodoma

Vikao vya juu vya CCM vinaanza leo mjini Dodoma. Hoja mbalimbali zikiwamo ratiba ya Kura ya Maoni ya Katiba na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa zinatarajiwa kutawala.

 

10 years ago

Habarileo

Vikao vizito vya CCM kuanza leo

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimejigamba kitatoka katika vikao vyake muhimu vya Kamati Kuu (CCM) na Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) vinavyoanza mjini hapa leo kikiwa imara kuliko hapo awali.

 

9 years ago

Global Publishers

Waziri Nchemba Afanya Ziara Ya Kushtukiza Usiku Machinjioni Dar

Mwigulu (1)Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mhe. Mwigulu Nchemba akizungumza na viongozi wa machinjio ya Vingunguti – Dar mara baada ya kufanya ziara ya kushtukiza usiku wa kuamkia leo.Mwigulu (2)…akipewa maelekezo
Mwigulu (3)…akikagua machinjio hayoMwigulu (4) Mwigulu (5) WAZIRI wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mhe. Mwigulu Nchemba usiku wa kuamkia leo amefanya ziara ya ghafla na ya kushtukiza katika machinjio ya nyama Vingunguti jijini Dar es Salaam. Katika ukurasa wake rasmi wa twitter, Mwigulu amesema kuwa lengo la ziara yake hiyo lilikuwa ni...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND AFANYA MAJARIBIO DAR LIVE TAYARI KWA SHOO KALI YA TAMASHA LA WAFALME LEO USIKU

Msanii Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' akifanya majaribio ya vifaa ndani ya jukwaa la Dar Live. Diamond Platnumz na madansa wake wakifanya maandalizi katika jukwaa la kupanda na kushuka la Dar…

 

11 years ago

Mwananchi

Ernestine: Mwanamke aliyeweka rekodi ya kunyanyua vitu vizito

Ernestine “Ernie” Shepherd (77) Mwanamke mwenye umri mkubwa zaidi kuwahi kushinda taji la mnyanyua vitu vizito duniani, jambo lililomfanya aingizwe kwenye kitabu cha rekodi za dunia cha Guiness.

 

11 years ago

GPL

11 years ago

GPL

KOMBE LA DUNIA: USIKU WA WANAUME, ENGLAND NA ITALY SAA SABA USIKU

AADA ya Fainali za Kombe la Dunia kuanza juzi kwa mchezo kati ya Brazil na Croatia, leo kuna mechi nyingine kali kati ya England na Italia. Huu ni mchezo ambao mashabiki wa soka wanausubiri kwa hamu kubwa wakiamini pia utatumika kutoa majibu halisi ya fainali hizo zinazofanyika nchini Brazil.
England na Italia ni nchi ambazo ligi zake ni maarufu sana, huku zikiwa zinafuatiliwa kwa karibu sana na mashabiki wa soka duniani kote. ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani