Ernestine: Mwanamke aliyeweka rekodi ya kunyanyua vitu vizito
Ernestine “Ernie†Shepherd (77) Mwanamke mwenye umri mkubwa zaidi kuwahi kushinda taji la mnyanyua vitu vizito duniani, jambo lililomfanya aingizwe kwenye kitabu cha rekodi za dunia cha Guiness.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b2pfPBgRUjY/Xt3CkKHFZgI/AAAAAAALs-A/gI_w9ytOUr0dUd5ChlSC9c0a-WCCrIZdwCLcBGAsYHQ/s72-c/ww.jpg)
'MNYALUKOLO' ZAWADI MADAWILI: MWANAMAMA ALIYEWEKA REKODI LUKUKI JWTZ.
BY MZEE WA ATIKALI ✍️✍️✍️
1. Usuli
Duniani kote, kwa miaka mingi, imezoeleka kwamba Jeshini ni sehemu ngumu na ni ya wanaume pekee na pia ni lazma uwe "Mtu wa Vurumai"!. Hata hivyo, mambo yote hayo mawili si sahihi kwani wapo wanawake wengi nchi mbalimbali ambao wamejiunga na Jeshi na si "Watu wa Vurumai".
Mmoja wa wanawake hao ni Meja Jenerali Mstaafu ZAWADI MADAWILI, Mwanamama mtaratibu na mstaarabu, aliyekuwa na weledi wa hali ya juu katika kazi yake jeshini kabla ya kustaafu.
Mwanamama huyu,...
10 years ago
Mwananchi15 Feb
Vitu 10 mwanamke anavyotakiwa kuvifanya baada ya kupewa talaka
10 years ago
Bongo504 Feb
Fanya vitu kwa usahihi na sio vitu sahihi tu!
9 years ago
Global Publishers30 Dec
Niyonzima afanya vikao vizito usiku
Kiungo mchezeshaji, Mnyarwanda, Haruna Niyonzima.
Hans Mloli
Dar es Salaam
SAKATA la Yanga kuvunja mkataba wa kiungo wake mchezeshaji, Mnyarwanda, Haruna Niyonzima bado halijazima na sasa limechukua sura mpya baada ya kiungo huyo kudaiwa kuanza mikakati ya kujitetea na kuepuka baadhi ya vipengele vinavyombana katika suala la fidia.
Yanga imefafanua kuwa Niyonzima anapaswa kuilipa pia timu hiyo Dola za Marekani 71,175 (zaidi ya shilingi milioni 150) kwa kuwa amekiuka baadhi ya vipengele vya...
10 years ago
Mwananchi15 Oct
CCM yaanza vikao vizito Dodoma
10 years ago
Habarileo22 May
Vikao vizito vya CCM kuanza leo
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimejigamba kitatoka katika vikao vyake muhimu vya Kamati Kuu (CCM) na Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) vinavyoanza mjini hapa leo kikiwa imara kuliko hapo awali.
11 years ago
CloudsFM08 Jul
WITNESS NA OCHU WAANDAA SHINDANO LA KUNYANYUA VIPAJI
Msanii wa Hip Hop,Witness na mpenzi wake aitwaye Ochu Sheggy kwa pamoja wanajiita OCHUNESS wanaendeleza harakati za kuinua vipaji vya kuimba, kwa kuandaa shindano, na mshindi atapata fursa ya kurekodi audio bure r&b, reggae, gospel, hiphop, zouk.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-foNWzDqlmQ0/VQ-dzUb019I/AAAAAAAHMUA/IXxjvHAW8co/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
Mh. Ridhiwani Kikwete adhamiria kunyanyua michezo jimboni kwake
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo mkoani Pwani,Ridhiwani Kikwete ameendelea na ziara yake kwenye Jimbo hilo ambapo ameendelea kuangalia shughuli mbalimbali za maendeleo.
Mbali ya kuangalia masuala ya maendeleo pia kwenye suala la michezo hakuwa nyuma kwa kuweza kukabidhi jezi kwa kijiji cha Mboga ili kuendeleza michezo kwa vijana walioko kwenye kijiji hicho.
![](http://2.bp.blogspot.com/-foNWzDqlmQ0/VQ-dzUb019I/AAAAAAAHMUA/IXxjvHAW8co/s1600/unnamed%2B(16).jpg)