Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ernestine: Mwanamke aliyeweka rekodi ya kunyanyua vitu vizito

Ernestine “Ernie” Shepherd (77) Mwanamke mwenye umri mkubwa zaidi kuwahi kushinda taji la mnyanyua vitu vizito duniani, jambo lililomfanya aingizwe kwenye kitabu cha rekodi za dunia cha Guiness.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

'MNYALUKOLO' ZAWADI MADAWILI: MWANAMAMA ALIYEWEKA REKODI LUKUKI JWTZ.


BY MZEE WA ATIKALI ✍️✍️✍️


1. Usuli

Duniani kote, kwa miaka mingi, imezoeleka kwamba Jeshini ni sehemu ngumu na ni ya wanaume pekee na pia ni lazma uwe "Mtu wa Vurumai"!. Hata hivyo, mambo yote hayo mawili si sahihi kwani wapo wanawake wengi nchi mbalimbali ambao wamejiunga na Jeshi na si "Watu wa Vurumai".

Mmoja wa wanawake hao ni Meja Jenerali Mstaafu ZAWADI MADAWILI, Mwanamama mtaratibu na mstaarabu, aliyekuwa na weledi wa hali ya juu katika kazi yake jeshini kabla ya kustaafu.

Mwanamama huyu,...

 

10 years ago

Mwananchi

Vitu 10 mwanamke anavyotakiwa kuvifanya baada ya kupewa talaka

1.USIINGIE KATIKA UHUSIANO MWINGINE GHAFLA Wapo wanaojikuta wakianzisha uhusiano mengine ghala bila kutulia. Kipindi hiki siyo cha kuanzisha uhusiano mwengine. Inashauriwa kutulia kwanza na kutafakari kabla ya kuanzisha uhusiano mwingine kwani kwa kuharakisha unaweza kujikuta unaingia katika uhusiano ambao utakutesa maisha yako yote.

 

10 years ago

Bongo5

Fanya vitu kwa usahihi na sio vitu sahihi tu!

Inawezekana unaanza kushaangaa kuna tofauti gani kufanya vitu kwa usahihi na si kufanya vitu sahihi tu. Hiki kitu inawezekana umekutana nacho kazini kwako au siku moja utakutana nacho katika majukumu ya kila siku hapo ofisini. Mara nyingi watu tunapenda kufanya vitu sahihi ila hatujali hivyo vitu sahihi tumevifanya kwa usahihi au lah. Maeneo ya kazi […]

 

9 years ago

Global Publishers

Niyonzima afanya vikao vizito usiku

NIYONZIMANEW4Kiungo mchezeshaji, Mnyarwanda, Haruna Niyonzima.

Hans Mloli
Dar es Salaam
SAKATA la Yanga kuvunja mkataba wa kiungo wake mchezeshaji, Mnyarwanda, Haruna Niyonzima bado halijazima na sasa limechukua sura mpya baada ya kiungo huyo kudaiwa kuanza mikakati ya kujitetea na kuepuka baadhi ya vipengele vinavyombana katika suala la fidia.

Yanga imefafanua kuwa Niyonzima anapaswa kuilipa pia timu hiyo Dola za Marekani 71,175 (zaidi ya shilingi milioni 150) kwa kuwa amekiuka baadhi ya vipengele vya...

 

10 years ago

Mwananchi

CCM yaanza vikao vizito Dodoma

Vikao vya juu vya CCM vinaanza leo mjini Dodoma. Hoja mbalimbali zikiwamo ratiba ya Kura ya Maoni ya Katiba na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa zinatarajiwa kutawala.

 

10 years ago

Habarileo

Vikao vizito vya CCM kuanza leo

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimejigamba kitatoka katika vikao vyake muhimu vya Kamati Kuu (CCM) na Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) vinavyoanza mjini hapa leo kikiwa imara kuliko hapo awali.

 

11 years ago

CloudsFM

WITNESS NA OCHU WAANDAA SHINDANO LA KUNYANYUA VIPAJI

Msanii wa Hip Hop,Witness na mpenzi wake aitwaye Ochu Sheggy kwa pamoja wanajiita OCHUNESS wanaendeleza harakati za kuinua vipaji vya kuimba, kwa kuandaa shindano, na mshindi atapata fursa ya kurekodi audio bure r&b, reggae, gospel, hiphop, zouk.

 

10 years ago

Michuzi

Mh. Ridhiwani Kikwete adhamiria kunyanyua michezo jimboni kwake

Na John Gagarini, Chalinze
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo mkoani Pwani,Ridhiwani Kikwete ameendelea na ziara yake kwenye Jimbo hilo ambapo ameendelea kuangalia shughuli mbalimbali za maendeleo.
Mbali ya kuangalia masuala ya maendeleo pia kwenye suala la michezo hakuwa nyuma kwa kuweza kukabidhi jezi kwa kijiji cha Mboga ili kuendeleza michezo kwa vijana walioko kwenye kijiji hicho.Mbunge wa Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo mkoani Pwani,Mh. Ridhiwani Kikwete  akimvalisha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani