Vitu 10 mwanamke anavyotakiwa kuvifanya baada ya kupewa talaka
1.USIINGIE KATIKA UHUSIANO MWINGINE GHAFLA Wapo wanaojikuta wakianzisha uhusiano mengine ghala bila kutulia. Kipindi hiki siyo cha kuanzisha uhusiano mwengine. Inashauriwa kutulia kwanza na kutafakari kabla ya kuanzisha uhusiano mwingine kwani kwa kuharakisha unaweza kujikuta unaingia katika uhusiano ambao utakutesa maisha yako yote.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Jul
Ernestine: Mwanamke aliyeweka rekodi ya kunyanyua vitu vizito
10 years ago
Bongo Movies19 May
Baada ya Kupewa Onyo na BASATA, Shilole Afunguka
Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ ameeleza kusikitishwa na kitendo cha yule aliempiga picha zile akiwa stejini akitumbuiza kwani ilikuwa ni bahati mbaya na sio makusudi.
Shilole amesema kuwa hata yeye hakupenda kile kilichotokea jukwaani wakati akitumbuiza Ubelgiji hivi karibuni, kwa sababu ilikuwa bahati mbaya na hakudhamiria kukaa uchi kama wengi wanavyosema.
Shishi ambaye ni mama wa watoto wawili amesema kuwa nguo mpya aliyoivaa siku hiyo ndio ilimponza...
10 years ago
Bongo509 Dec
Drake adaiwa kulazwa hospitali baada ya kupewa kichapo na P.Diddy
10 years ago
Bongo504 Feb
Fanya vitu kwa usahihi na sio vitu sahihi tu!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jIhV2tSCZFUBYqpa*JOBR0zE-C7g-fAzMdyHetWbYVzSgiUZRomqU2nHqwruhZI5hKtKucQD3eZe5DKVIjjegKFHxUq2qmYR/ateseka.jpg)
ATESEKA KITANDANI MIAKA MITATU NI BAADA YA KUPEWA TAARIFA YA KIFO CHA BABA YAKE
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WnPbYMT2cxeDMOVhFyekVbwrkfl4bmJX8YQ1sUPP9O5YdBOuCkh54kaQu9U8SaX1KK8NV7bk0zB1qzx4SGikoyiuNHBSEGXS/MAUMIVU.jpg?width=650)
MWANAMKE KUSIKIA MAUMIVU WAKATI NA BAADA YA TENDO LA NDOA
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Baada ya miaka 11 bila taji la EPL, hizi ndio sababu 5 za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa taji hilo msimu wa 2015/2016
Headlines za Arsenal kufanya vizuri bado zinagonga vichwa vya habari vya magazeti mengi ya michezo dunini, Arsenal kwa sasa ndio timu inayopewa nafasi ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Uingereza msimu wa 2015/2016. Sababu za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa ubingwa sio kwa sababu kaifunga Man City. Hizi ndio sababu tano za Arsenal kupewa nafasi […]
The post Baada ya miaka 11 bila taji la EPL, hizi ndio sababu 5 za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa taji hilo msimu wa 2015/2016 appeared first on...