Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WITNESS NA OCHU WAANDAA SHINDANO LA KUNYANYUA VIPAJI

Msanii wa Hip Hop,Witness na mpenzi wake aitwaye Ochu Sheggy kwa pamoja wanajiita OCHUNESS wanaendeleza harakati za kuinua vipaji vya kuimba, kwa kuandaa shindano, na mshindi atapata fursa ya kurekodi audio bure r&b, reggae, gospel, hiphop, zouk.

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Witness, Ochu Sheggy kuwanoa wasanii

RAPA Witness Mwinongi pamoja na mpenzi wake Ochu Sheggy, wanatarajiwa kuendesha semina ya wiki moja kwa ajili ya kuwafunza wasanii wa Bongo maadili na jinsi msanii anavyotakiwa kuishi. Akizungumza jijini...

 

10 years ago

GPL

WANAMUZIKI WITNESS NA OCHU WAFANYA MAHOJIANO NA GLOBAL TV ONLINE

Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya, Witness Mwijage (kushoto), akiwa katika pozi na mchumba wake Ochu Sheggy , muda mfupi baada ya kuwasili katika studio za Global TV Online, Bamaga-Mwenge jijini Dar. Ochu (kulia), akifafanua jambo wakati wa mahojiano na Global TV Online leo. Witness akijibu moja ya…

 

10 years ago

GPL

SHINDANO LA VIPAJI LA TMT KUHAMIA ARUSHA KESHO

Majaji wakitoa neno kwa washiriki (hawapo pichani). Tano bora ya washiriki kabla ya kuchujwa na kubakiwa watatu walioondoka na laki tano kila mmoja. Mmoja wa washiriki kutoka Mwanza akisubiri majibu kama atakuwa mshindi. LILE shindano la kusaka vipaji vya kuigiza lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents (TMT), leo lilifika…

 

5 years ago

Michuzi

UBALOZI WA INDIA NCHINI TANZANIA WAZUNGUMZIA SIKU YA KIMATAIFA YA MCHEZO WA YOGA ULIMWENGUNI KOTE, WAANDAA SHINDANO MAALUMU KUELEKEA JUNI 21,2020

 Balozi wa India nchini Tanzania Balozi wa India nchini Sanjiv Kohli(katikati) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu siku ya kimataifa ya mchezo wa Yoga ulimwenguni ambayo hufanyika kila Juni 21 ya kila mwaka ambapo ametumia nafasi hiyo kuhamasisha Watazania kujenga utamaduni wa kufanya mazoezi ya mwili.Wengine ni Mkurugenzi wa Kituo cha Utamaduni cha Swami Vivekananda  Santhoth Raja(kushoto) na Balozi Msaidizi wa Ubalozi wa India nchini Tanzania R.Chandramouli(kulia).  Balozi wa India...

 

10 years ago

GPL

SHINDANO LA KUSAKA VIPAJI LA TMT JIJINI DAR LAZIDI KUNOGA

Baadhi ya washiriki wa shindano la (TMT)wakijadili Script waliyopewa .
Baadhi ya wahudumu wa shindano wakiwa katika meza wakati wa usaili unaoendelea.
Jaji wa shindano hilo la TMT, Haji Salum 'Mboto' akifanya mahojiano na mshiriki wa shindano baada ya kutoka katika chumba maalum cha usaili hatua ya pili.…

 

11 years ago

GPL

SHINDANO LA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI LAENDELEA VYEMA SIKU YA LEO

Baadhi ya washiriki wakielekezwa cha kufanya mara baada ya kupita kwa majaji.  Majaji wa mashindano ya kusaka vipaji vya kuigiza Tanzania lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents wakiwa makini kutazama kipaji kilichokuwa kikionyeshwa na mmoja wa washiriki (hayupo pichani) wakati alipofika kuonyesha kipaji chake, Kushoto ni Jaji Mkuu Roy Sarungi, akifuatiwa na Ivon Chery (Monalisa) na Single Mtambalike (Rich Rich). ...

 

11 years ago

GPL

WAKAZI WA MWANZA WAJITOKEZA KATIKA SHINDANO LA KUSAKA VIPAJI VYA KUIGIZA

Jukwaa la majaji likiwa tayari kwa shindano la kusaka vipaji vya kuigiza Tanzania lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents ambalo linaanza leo mkoani Mwanza katika Kanda ya Ziwa.  Mafundi mitambo wakiwa tayari kwa kazi.   Kundi la kwanza la vijana waliojitokeza katika usaili wa…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani